Klabu ya Sevilla inayoshiriki ligi kuu ya nchini Hispania LaLiga wamemaliza usajili wa beki wa kushoto Marcos Acuna kutoka klabu ya Sporting CP, akiwa kama mbadala wa Sergio Reguilon.
Reguilon aliyekuwa Sevilla kwa mkopo msimu uliyopita na kufanikiwa kutwaa taji la Europa League walikuwa na matumaini ya kumsaini mchezaji huyo kutoka Real Madrid kwa msimu huu 2020-21.
Uongozi wa Sevilla watangaza Kumkosa Reguilon.
Lakini, kiongozi wa michezo Monchi alisema wiki iliyopita kwamba ni kama watamkosa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ambaye pia ameripotiwa kuwindwa na klabu ya Manchester United.
Na siku ya Jumatatu klabu hiyo ya LaLiga walithibitisha kutua kwa Acuna mzaliwa wa Argentina kwa dili ya mkataba wa miaka minne huku kitita cha €10m kikiripotiwa kulipwa kama ada ya uhamisho huo.
Acuna alitumia misimu mitatu na miamba ya ya Ureno, Sporting CP na kucheza mechi 134 katika mshindano yote.
Huu unakuwa ni usajili wa tano wa Sevilla katika dirisha hili la usajili baada ya kumsajili Ivan Rakitic kutoka Barcelona, Oscar Rodriguez, Yassine Bounou na Suso.
Sevilla ilimaliza nafasi ya nne katika LaLiga msimu wa 2019-20 na kufanikiwa kufuzu kucheza Champions League pia walishinda taji la Europa League na wanajiandaa kwaajili ya mchezo wa UEFA Super Cup dhidi ya Bayern Munich Septemba 24.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
marry
maamuz mazur
Emmy cleopa
Safi Sana kwa maamuzi waliyo yafanya.
Dorophina
Sevilla wamepata jembe litawafaa sana msimu huu
Sauda
Kijana anafaa sana
Shani
Wamempa mtu makini!!
Zeiyana
Sevilla wanazidi kujenga ukuata dhidi ya wapinzani wao tunasubir kuona mabadiliko makubwa sana msimu ujao
Nasra
Kijana yupo vzuri
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri kijana anajua
Tatu
Seville wamepata kitu sahihi acuna anajua mpira
Angelina
Acuna ni mchezaji mzuri naamini ataleta mabadiliko
magdalena
safi sana sevilla mmepata kiungo mzuri sana na atawaletea mabadiliko
Neema
Kijana yuko vzr sana
Flomena
Good news
Salma ngende
Maamuzi mazuri
Rama
Safiii usajiri mzuri wamefanya
Janeflora malisa
Saf sana
Fatuma kasomo
Mamuzi mazur
Latifa juma mohamed
Habari njema kwa mashabiki wa Sevilla ,maadui mjipange.
Hopemwaikuka
Namuelewa sana
aisha
Sevilla imeapata beki wa maana sana
Hidaya
Kijana yupo makini
Ernest
Bado Sevilla wana jambo lao tena 2020/2021
Faraja molell
Sevilla wamepata mtu wa kaz sas
Gabriel
sevilla mmepata kiungo mzuri sana na atawaletea mabadiliko
Povel
Congrat sign news player #Acuna 26🤝🤝🤝🤝
Rose kapinga
Maandalizi mazuri pongezi kwao!!!
farida ahmadi
Hongera Sana
Issa
Beki kisiki sevilla inatakiwa ijipange ichukue la liga
Sabrina
Sevilla wameopoa
Amiri Kayera
Imefany usajir mzur san
Rehema
Hongera yake
Saupha mohamed
Jamaa fundio
Tumaini kasalile
Hongera yake
Khadija
Hongera yake#meridianbettz
Theckla
Safiii
Mwajumah
Kijana anafaa sana
Fatina
Nice
Caroline
Hongera zakee
Samiah
Nice
Ester jackson
Asante kwa nakala
felister
maamuzi mazuri
David Pere
sevilla mmepata kiungo mzuri sana na atawaletea mabadiliko
Mwanahamisi
Nice