Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania bara Simba leo wamecheza mechi ya kirafiki kama sehemu ya maandalizi ya LigiΒ inayotarajia kuanza wiki ijayo.
Simba wameialika klabu ya KMC katika uwanja wao wa mazoezi Mo Simba Arena kama sehemu ya kujiweka sawa kabla ya kurejea kwa Ligi. Kumbuka hapo jana KMC waliifunga Yanga magoli 3-0 kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar.
KMC walianza kupata goli la mapema kupitia Charles Ilafanya dk 30 kabla ya nahodha John Bocco kusawazisha dk 34 na kufanya kipindi cha kwanza kumalizika kwa 1-1
Kipindi cha pili mnamo dk 75 John Bocco aliwanyanyua tena mashabiki wa Simba kwa goli la pili kabla ya dk 88 Ajibu kuweka mpira wavuni na kufanya mechi kumalizika kwa 3-1.
David Pere
Simba wamenza kwa kishindo kwenye mechi ya kirafiki
Genia Sikaluzwe
Ni mwanzo mzr kwa Simba,wajiandae zaidi
lombo
hakuna kama simba kwa hapa TZ simba baba lao
Mwajuma
Mwanzo mzuri kwawana simba
mathayo sonje
hawa ndo mabingwa wa tanzania plimia ligi, anayebisha basi aendelee!!!!
Hamidu
Kwa Simba ndo kawaida Yao hata kwa mechi za kirafiki ushindi lazima.
mwakalosi
tumewalipia kipigo la liga fc
Magdalena
Simba asilimia nyingi wamekuwa wakifanya wakifanya vizuri Sana hongera kwao na mashabiki pia
Hidaya
This is simbaaaa
Gabriel
Hongera simba
Lydia Emmanuel Magoti
Akuna Kama Simba chama kubwa hilo
Shafii
Safi sana
Furahav
Simba inatisha sana.
Dorophina
Wajiandae zaidi mechi ndo zinaenda kuanza
Mariam mtandama
Simba ipo vizur sana
Aziza mushi
Simba bhana wapo vizuri sanaa Ila wazidishe juhudi maana Mambo ndio yanaanza Sasa.
Amani
Kwa wale wasio jua Simba Ina kikosi kipana Simba wamecheza mechi mbili kwa siku moja moja wameshinda goli 4_2 na nyingine 3_1 afu uje kuifananisha na young Africa a k a utopolo kwako mwalimu kashasha ila wa utopolo msikete mapovu pambaneni na timu yenu#meridianbettz
Mwanaidi
Simba wapo vizuri sana na wachezaji wanajituma sana uwanjani wanaumoja wote ndio mana wanaleta matokeo mazuri
Evaluziga
Simba wameanza kwa kishindo kwenye mechi ya kirafiki
Samiah
Simba kishindo kwenye mechi ya kirafiki
Antony Luseno
Hizi mechi za kirafiki uwa wachezaji wanacheza kwa kutokaza misuli ila simba inaonekana wapo imara
Hope mwaikuka
Simba juuuu
Salma
Aya bana bahati ilikuwa upande wao
Tahiya
Mwendo ni ule ule kama tulivyoishia ndio mwendelezo wake huo watoto wa kinondoni wamekutana na wahuni wa kkoo
Ester jackson
Ndani ya mwaka mmoja kama kmc wakajinowa vizuri ninaamini kuwa hakuna timu ya Tanzania itakayo ifunga
JULIANA
Simba oyeeee!
Theckla
Hongera kwao
Neema juma
Baada ya kusimama kwa mda ila simba wako bomba kabisa. Wameingia uwanjani kwa kasi ya ajabu hongera kwao
winfrida
ndo mchezo kuna kushinda na kushinwa poleni wana KMC hongereni SIMBA
felister
wamebahatisha tu awo Simba hawana lolote
isha
Simba juuuuu juuuuu tena juuuu zaidi
Warda
Yaani Simba hata kama unanjaa unashiba tu#Meridianbettz
Ester mmakasa
Hongera kwa Simba ila wasibweteke maana ndo kwanza wameanza.
Johnmary joel
Hongereni simba ni mwanzo mzuri#meridianbettj
Adelta
Mwanzo mzuri kwa Wana simba
Rehema Dickson
Safi Sana hii ndo simba bwana wanaonesha ni jinsi gan walikua wanajituma kufanya maziez ata kama michezo ilizuiliwa kwa muda apana chezea simba πͺ
Devotha
Ni friend match tu hiyo tusubiri ligi ianze
julieth boniface
Simba kama simba
Emmy cleopa
Hongera zenu simba
Ernest
Simba Mnyamaaaaa
Povel
Simba hawana mpnzan Tanzania
Caroline
Wamebahatishaaa
Kenani
Kwa matoke haya yanatia moyo
Theonestina
Piga kelele kwa Simba akeeee
Weweeeeeeee
Elika
Simba wako vizur walijipanga sana
Agness
Duuh Simba baba Lao
Zeiyana
Simba wamekutana na vibonde
Asia Abdy
Simba kama simba