Diego Simeone kocha mkuu wa Atletico Madrid alilaumiwa kwa kipigo cha 2-0 dhidi ya majirani zao wa jiji la Madrid, Real Madrid kwenye LaLiga siku ya Jumamosi.
Baada ya kutofungwa katika mechi 26 siku ya mchezo wa debi Real iliharibu rekodi hiyo Casemiro aliweka kambani na bao la bahati mbaya la kujifunga la Jan Oblak katika dimba la Estadio Alfredo Di Stefano.
Kocha wa Atletico Simeone alikubali jukumu la upotezaji, ingawa timu yake bado inashikiria usukuni kwenye jedwali la LaLiga.
“Kocha alikosea katika njia yake na katika kutafuta mechi,” aliiambia Movistar +, kupitia AS.
“Alijaribu kuingilia kati kuboresha kile alichokuwa akiona.”
Atletico ilishindwa kupiga shuti hata moja lililoelekea lango katika kipindi cha kwanza cha mchezo wa LaLiga kwa mara ya pili wakiwa chini ya Simeone tangu msimu wa 2013-14.
Atletico watakutana na Cardassar katika Copa del Rey siku ya Jumatano kabla ya kumkaribisha Elche siku tatu baadaye.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Issa
Simeone game ilimshinda
[email protected]
Game ilikua tafu sana
samiah
Simchezo ilikuwa
Tatu
Game kali
warda
Nilifurahi sana Real kuwafunga Atletco Zidane kidogo atakuwa kwenye nafasi nzuri
Rahma
Game ilikuwa atali
Lydia Emmanuel Magoti
Game ilikuwa sio poa
aisha
Game mbona ilikua simpo sana
Dorophina
Diego alikwama wapi
Adelta
Game ilikuwa kali
Theonestina
Pole yake
Shakila mrope
Game ya kibabe