Thomas Tuchel amemsifu Moise Kean baada ya fowadi huyo kufunga goli lake la kwanza akiwa Paris Saint-Germain katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Dijon.
Kean, ambaye alijiunga na PSG kwa mkopo akitokea klabu ya Premier League Everton mapema mwezi huu, ametia baraka kwa kufunga siku ya Jumamosi kabla Kylian Mbappe aliyetokea benchi kuweka mbili kambani.
Kean aliyesajiliwa na Everton akitokea Juventus kwa dau la β¬27.5m mwaka 2019, alicheza kwa kuanza michezo sita pekee ya Premier League msimu uliyopita.
Baada ya PSG kujongea juu katika jedwali la Ligue 1, Tuchel amefurahia kiwango cha Kean ambaye amecheza mchezo wake wa tatu kwa PSG.
“Ameleta ukali kwenye mechi yetu, ni uimara wake ndiyo umeleta hamasa. Ni mchezaji mwenye ushindani,” kocha wa PSG aliongea na waandishi.
“Nafuraha aliweza kuonesha hilo hata kwenye mchezo dhidi ya Nimes na Dijon, ilikuwa ngumu sana kufanya hivyo dhidi ya Manchester United.
Kean alitoka kipindi cha pili na nafasi yake ilichukuliwa na Kylian Mbappe ambaye alifunga mara mbili katika mchezo huo.
Neymar ametoa asisti mbili na amehusika katika magoli nane dhidi ya Dijon kwenye Ligue 1 (amefunga goli 4 na asisti 4) ndiyo wapinzani wake pendwa kabisa katika ligi hiyo.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa meridianbet
Issa
Safi sana kean mwanzo mpya
Saupha mohamed
Good news
aisha
Imekaa powa sana
Sabrina
Kean yuko vizuri
Janeflora malisa
Safi
Povel
Congrats KEAN magoliπ€π€π€π€
Neema
Safii sana
Asia Abdy
Nice
Khadija
Nice
warda
Kean alinifurahisha sana
Adelta
Iko poa sana
Mwanahamisi
Safi
Latifa juma mohamed
Asante kwa taarifa nzuri.
Angelina
Goodupdate
Tatu
Tuchel anatakiwa kumtuza Hugo mchezaji na kumthami ameona kiwango cha juu
Elika
Safi sana
Mwajumah
Safi
Hopemwaikuka
Yuko vzur sanaa
Fatuma kasomo
Safi
David Pere
Dogo anajua sanaaa
Sauda
Kean anajitahidi sana
zeiyana
mwanzo mzuri kwa kean
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana kean