Tuchel Apata Maswali Juu ya Hatima ya PSG.

Thomas Tuchel amepata maswali juu ya hatima ya timu ya Paris Saint Germain baada ya kupokea vichapo viwili mfululizo kutoka kwa Lens na Marseille tangu waanze mbio za kutetea ubingwa wa Ligue 1.

Metz watakutana na mabingwa hao siku ya Jumatano baada ya kupoteza kwa 1-0 dhidi ya Marseille siku ya Jumapili.

Baada ya mapumziko ya muda usiyopungua miezi mitatu kutokana na janga la Corona PSG walirudi kucheza na kufanikiwa kushinda mataji mawili kabla ya kufanikiwa kufika fainali ya Champions League na kufungwa na timu ya Bayern Munich ambao ndiyo mabingwa Champions League 2019-20.

Tuchel Apata Maswali Juu ya Hatima ya PSG.
Thomas Tuchel
Paris Saint-Germain washindwa kuanza vizuri msimu mpya wa Ligue 1.

Paris Saint-Germain  wameshindwa kuanza vyema msimu baada ya kufungwa na Lens katika mchezo wa kwanza baada ya kuwakosa nyota wao saba walikuwa karantini kwaajili ya kuepuka maambukizi ya COVID-19 na kufungwa tena 1-0 dhidi ya Marseille katika dimba la Le Classique.

Neymar,Levyvin Kurzawa na Leandro Paredes walitolewa nje kwa kadi nyekundu na wataukosa mchezo dhidi ya Metz PSG watakapo kuwa ugenini.

Tuchel ameshinda kombe la Ligue 1 katika misimu miwili na kuifikisha PSG fainali ya mashindano ya Ulaya msimu uliyopita.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

37 Komentara

    Hii corona ni hatari tuombe tu mungu atusaidie lihishe hili janga#meridiabettz

    Jibu

    Thomas lazima kichwa kiwake moto

    Jibu

    Naona Kama msimu wa utawala wa psg ufaransa kama utaanza kuanguk msimu huuu mpya timu zimejipanga kwl ila ngoj tuone mpka mwixho wa msimu

    Jibu

    Huu ugonjwa kiukweli wa Corona umerudisha nyuma sana mambo mengi katika sekita ya Michezo ,tuendelee kumwomba mungu atafungua baraka na kuupoteza ugonjwa huu

    Jibu

    Corona iishe tuu jamani

    Jibu

    Hii corona ni hatari jamn tumuombe mungu iishe tu#Meridianbettz

    Jibu

    Corona imeharibu radha yote ya mpira jaman

    Jibu

    Corona hatari sana

    Jibu

    PSG wana alingumu sana kwa sasa sijui hatima yao itakuaje

    Jibu

    Asikate tamaa njia mbadala muhimu!!

    Jibu

    Coronavirus sio poa inabidi kujikiga kwa kumaanisha#meridianbettz

    Jibu

    Colona ni noma

    Jibu

    Mmmh corona majnga kweli!!

    Jibu

    Wangeomba mechi isogezwe ili wenzao watoke karantini.waungane nao.sema ndo basi tena

    Jibu

    PSG wana wakati wa kutosha juu ya kujipanga tena vizuri wanaweza wakaanza vibaya na mwisho wa siku wakamaliza vizuri

    Jibu

    Hii corona hatari tu

    Jibu

    Duuh majanga kwa thomas

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Tuchel cha msingi aangalie wapi anakosea afanye marekebisho mambo yatakua poa tu kwani bado mapema.

    Jibu

    Corona imezingua sana

    Jibu

    Asikate tamaa mwanzo mgumu aongeze ufundi ili wasiendelee kufanya vibaya

    Jibu

    Mwanzo tu psg ishaanza vibaya msimu

    Jibu

    Aongezee juhudi hatakiwi kukata tamaa mapema hivi ndio kwanza msimu unaanza

    Jibu

    Bidii muhim

    Jibu

    Bidii inahitajika

    Jibu

    Apambane tuu

    Jibu

    msimu wa utawala wa psg ufaransa kama utaanza kuanguk msimu huuu mpya timu zimejipanga kwl ila ngoj tuone mpka mwixho wa msimu

    Jibu

    ,😋😋

    Jibu

    Psg Kwa sasa ipo vibay na matokeo mabov

    Jibu

    Corona Sio poa kabisa

    Jibu

    Corona siyo poa

    Jibu

    Tuchel cha msingi aangalie wapi anakosea afanye marekebisho mambo yatakua poa tu kwani bado mapema unaweza

    Jibu

    Soka limekuwa na changamoto sana, Uongozi wa PSG wanatakiwa kumpa muda Tuchel

    Jibu

    mwanzo mbaya kwa psg

    Jibu

    Lazima kichwa kiume PSG msimu huu kwann wameanza vibaya Tuchel lazima achekeche kichwa

    Jibu

    Tuchel aache mapepe mwazo mgumu uwenda huko mbele maajabu yanaweza kutoka timu ikafanya vizuri

    Jibu

    Naona Kama msimu wa utawala wa psg ufaransa kama utaanza kuanguk msimu huuu mpya timu zimejipanga kwl ila ngoj tuone mpka mwixho wa msimu

    Jibu

Acha ujumbe