Hansi Flick na Manuel Neuer wanayo furaha kumkaribisha Leroy Sane katika klabu ya Bayern Munich siku ya IjumaaΒ lakini haraka sana wakabadilisha tahadhari yao na kugeukia fainali za DFB-Pokal.
Leroy Sane
Bayern wamethibitisha kuwa na kandarasi ya muda mrefu na Leroy Sane itakayo dumu kwa kipindi cha miaka mitano.
Lakini wababe hao wa Bundesliga hawakuwa na muda mrefu kulizungumzia swala hilo bali waliongelea maandalizi yao kwenye fainali itakayo wakuitanisha na Bayer Leverkusen siku ya Jumamosi jijini Berlin.
Flick alisema kuhusu usajili huo mpya:”Tumeufurahia lakini hatuna muda wa kuongelea kwa sasa kuhusu hili.”
Nahodha wa Bayern Neuer alipoulizwa kuhusu mchezaji mwenzake Sane lakini alisema kwa sasa yeye anaangalia zaidi katika kubeba taji lingine kwa msimu huu.
“Nina tumaini [Sane] anaweza kushinda Pokal akiwa na Bayern siku zijazo,” alisema ‘Sisi ni wachezaji wa Bayern tunafuraha kwamba atakuwa nasi msimu ujao.”
Flick anatumai kuwa na Niklas Sule kuhusuika na mchezo huo akishiriki vyema katika safu ya ulinzi pia alimzungumiza Kai Harvetz mchezaji wa Bayer Leverkuzen mchezaji mwingine wa Ujerumani kuhushwa na kutua Bayern.
Β Kai Harvetz
Kocha wa Leverkusen Peter Bosz amesema kwa upande wake hawezi kumuuza Harvetz mwenye umri wa miaka 21.
“Anaumuhimu sana lakini hawezi kushinda mchezo akiwa peke yake,” Bosz alisema ‘Sidhani kama mechi hii inaweza kuwa na Malengo yake ya baadaye.”
Bayern tayari wameshinda taji la Bundesliga kwa msimu wa 2019-2020 na wanatarajiaΒ kucheza fainali kwenye kombe la DFB Pokal dhidi ya Leverkusen Wikendi hii.
Shafii
Gud newz
Warda
Safi sana#Meridianbettz
Sadick
mmmh asante kwa taarifa
Winfrida
Ameongea kweli uwezi shika mambo mawili kwa wakati mmoja
Gabriel
Nice update π
Furahav
Habari nzuri.
Issa
Kweli umuhimu ni kudili na fainali kuliko kuwaza usajili kipindi hiki
Samiah
Good π
Omary lukumbi
Nice n upeo wa kufikilia kitu cha mbele hiki tayar kimekamilika sane ndan ya uzi wa Munich mabingwa wa bundasliga
Saupha mohamed
Safi sana
Salma
Habari nzuri
Njiku
Asante kwa habari
David Pere
Kuwaza final ni Jambo muhimu Sana kuliko kuwaza swala la usajili , sababu wakishachukua kombe watakuwa na pesa nyingi za kununua wachezaji wengi wazuri
Latifa juma mohamed
Ahsanteni meridian kwa makala nzur ya michezo
Aziza mushi
Habari nzuriπ
Evaluziga
Habari njema
Fatuma kasomo
Asante kwa habari
Amani
Kweli alikisema ukipata makombe mengi ata wachezaji ukiwataka upati shida Sana #meridianbettz
Hamidu
Asante kwa update za michezo#meridianbettz
isha
Hapo nimemkubali sana ni fainali kwanza ili wakipata pesa wanafanya wanachokitaka
Caroline
Sawa
Tatu
Hizo ni habari nzuri
Ester jackson
Kweli kabisa unatakiwa uangalie mbele sio kuangalia sasa big up nahoza
Zeiyana
Kweli kabic ni muhimu kuangalia fainal na sio usajiri tena ukiangalia na hali iliyokuwepo tumetoka kwenye majanga ya korona uchumi lazima uyumbe virabu vingi vimetikisika
Mwanahamisi
Habari nzuri
Genia Sikaluzwe
Habari njema hiyo
Fatina mfingi
Tumewasoma
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri
Magdalena
Tumeelewa ahsante kwa taarifa
Johnmary joel
Tunawashukuru sana kwa kutupa taarifa#meridianbett
Povel
Gud news
Rehema Dickson
ukiangalia na hali iliyokuwepo tumetoka kwenye majanga ya korona uchumi lazima uyumbe virabu vingi vimetikisika
Ernest
Natamani kuona Sane akiendeleza kufanya makubwa kama alivyokuwa Mancity
Hope mwaikuka
ππ mambo hayo
fatumakasom
Safi habari nzuri
Rehema
Gud news
Amiri Kayera
Kocha anaonyesh jinsi wana focus na mechi muhim
Devotha
Habari njema
Sabrina
Maoni:Hii ni habari njema
Janeflora malisa
Nice
Theckla
Yuko sahihi
Theonestina
Habari njema kwetu
Angelina
Habari njema