Mikel Arteta anairudisha Arsenal kwenye ramani, inaonesha kucheza kwa ari, kujiamini na lengo lao linaonekana kabisa, ni muda mrefu umepitia mpaka watu kuanza kuihofia Arsenal tena
Mbinu ya Mikel itakuwa ile ile kamba ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Pep pale Wembley Julai 2020, kutomruhusu City kucheza langoni kwake na kukabia chini kabisa.
Kumkabia Guardiola juu kutaifanya Arsenal kutoruhusu City wazungushe mipira na kucheza mchezo wao, kilichokuwa kinawauwa wengi ni kumruhusu Pep acheze hii iliwatesa sana EPL, Mikel hajawahi kukubali hii.
Lakini kukabia kwenye eneo lake Arsenal itamlipa, kwanza ataruhusu presha na City watafika, kifuatacho wakipora mpira Arsenal wataondoka kwa kaunta na wana watu wenye mbio wenye uwezo wa kutumia magepi kama Pepe na PEA
City wana shida kubwa kwenye eneo la ulinzi haswa makosa binafsi, Eric Garcia, Kyle Walker na Benjamin Mendy, makosa yao wote yamezaa mabao, ila suala la safu mbovu ya ulinzi ni suala la kimfumo zaidi, kuna kitu hakipo sawa
Fowadi za City hazishuki kukaba kama zamani wapo taratibu, hawapress eneo la juu, Kiungo cha City kiko ovyo sana Rodri hajawalipa kabisa, Fernandinho sio yule tena amechoka, hii inapelekea presha langoni mwao muda wote, mtu kama Leroy Sane naona anakosekana, Pep anajifariji na unane mkamilifu.
Arsenal mbinu yao ya asili ni lupiga pasi na kaunta, hii hawatoacha, namwona Granit Xhaka akianza huyu ni mchezaji muhimu zaidi kuliko mchezaji yoyote pale Arsenal kwa mfumo wa Arteta, kwanza ni nguzo ya ulinzi na kiungo, anajua kutimiza majukumu yake, namwona pia na Elneny pembeni yake
Thomas Partey ni mchezaji mzuri ila kuanza kwenye mechi kubwa tena eneo linaloakisi mchezo mzima wa Arsenal sioni Arteta akicheza kamari hii, nawaza Pepe dhidi ya Mendy na Auba atapewa kazi na Kyle Walker bila shaka
Nawapa nafasi kubwa Arsenal ila safu yao ya ulinzi inanitatiza sana, makosa mengi sana, hawatowazuia City wasifunge kabisa, mechi hii ina mabao mengi na nafasi nampa Arsenal.
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.
Angelina
Itakuwa mechi kali sana
magdalena
man city wasilewe sifa arseanal ya sasa si ile ya mala kwanza wajipange sana
zeiyana
huu mechi si ngumu sana kwa arsenal kama watakua wamejipanga hipasavyo
Fatina mfingi
Duuh itakuwa mechi kali sio ya kitoto!!
jullie
noma sana
Adelta
Hii mechi Arsenal akijitahidi anaweza kushinda
Tatu
Man city wasipoangalia watapewa sita kama wezao
Lydia Emmanuel Magoti
Mmm hiyo mechi navyo hiyo haitabiliki kwasababu Arsenal anataka ushindi Man City anataka ushindi kwaio ngoja tuone mtanange huo
Sadick
Itakuwa mechi muhimu kuangalia na kubashiri na endapo wakati huu Arsenal ya Arteta itashinda basi mwanafunzi atakuwa ameiva
Amiri Kayera
Mechi kalii sanaa ya magor
Mwanahamisi
Mechi kali sana
aisha
Noma sana
Antony Luseno
Kwa mechi kama hii ubashiri wa uhakika ni magoli tu
Dorophina
Mechi itakuwa na upinzani mkubwa sana
Mwajumah
Itakua bonge la mechi ilo
Venerose
Big mechi
Issa
The gunners ni moto
Saupha mohamed
Mechi kalii
Ernest
Mechi ipo 50/50 kama Arsenal watatumia mapungufu ya Mancity basi wataibuka na ushindi
Hopemwaikuka
Kaliii kinyama
Samira
Hii mechi ipo 50/50
Povel
Don’t miss
Sauda
Bonge la mtanange
Sabrina
Hatari hii
Tahiya
Kivumbi na jasho
Sania
Usikose hii