Uingereza itajaribu kuyafukuza mapepo ya usiku wa Euro mwaka 2016 wakati walipokutana na Iceland kwa mchezo wa kwanza tangu miezi 10 ipite.
Timu ya Gareth Southgate Three Lions itasafiri mpaka Reykjavik kwaajili ya mchezo wa ufunguzi katika michuano ya ligi ya Mataifa Ulaya mwaka huu huku ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa na Iceland 2-1 kwenye mashindano ya Euro miaka 4 iliyopita.
Hiyo ilikuwa ni aibu kubwa sana kwa timu ya Uingereza lakini mpaka sasa imepiga hatua kubwa katika ubora tangu iwe chini ya Mwalimu Southgate.
Uingereza ilifanikiwa kufika hatua ya nusu fainali katika kinyang’anyiro cha kombe la Dunia mwaka 2018 na kumaliza nafasi ya tatu kwenye mcihuano ya kwanza ya Nations League ikiwa imesheheni wachezaji vijana na wenye msisimko mwaka uliyofuatia.
Kikosi cha sasa cha England kina wachezaji kama Klyle Walker, Eric Dier, Harry Kane na Raheem Sterling watakao husika pia katika usiku wa mtanange huo kusini mwa Ufaransa.
Ni kama Phil Foden na Mason Greenwood wanaweza kuanza wakati Kalvin Phllips wa Leeds atakuwa mchezaji wa kwanza kucheza mchezo wa kwanza akiwa na timu ya taifa kabla hajacheza mchezo wowote wa Premier League, aliyewahi kufanya hivi alikuwa ni Wilfried Zaha mwaka 2012.
England ilifunga jumla ya magoli 38 mwaka 2019, idadi sawa na wakati walipofanikiwa kutwaa kombe la Dunia mwaka 1966.
Skipper Kane mwenye umri wa miaka 27 pia alifunga jumla ya mbao 10 katika mechi sita na timu ya taifa.
Lakini Iceland wanaendelea kupambana na hawajakata tamaa kwaajili ya mchezo huo, hata kama mashindano hayo ya Nations League siyo malengo yao makubwa.
Wana mchezo wa mtoano hatua ya nusu fainali mwezi ujao dhidi ya Romania katika michuano ya Euro 2020 kwa hiyo macho yao wameelekeza zaidi katika kufuzu kwa mara ya tatu katika mashindano makubwa.
Je wajua?
Iceland walipoteza michezo yao yote minne, kwenye mashindano ya Nations League mwaka 2018, na kufunga mara moja na kuruhusu magoli 13.
Bashiri mechi hii hapa Meridianbet kwa kufuata link Gusa Hapa
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Povel
Uchambuzi mzuri sana mm jamvi langu natumain England watapata matokeo kwny mchezo wa leo
Adelta
Iceland bado hawajakata Tamaa kwa sababu Wana malengo makubwa yakufanya@meridianbettz
magdalena
uingereza wakiitumia vizuri nafasi na kujipanga ipasavyo inaweza kuibuka na ushindi mzito sana
Zeiyana
Ukiangalia England wana kikosi kizuri..!tumesikia maajabu yaka kene ni mchezaji hanayejutuma sana akiwa uwanjani
Tatu
England wapo vizuri kikosi chake kiliwahi kuchukua ubingwa mwaka 1966 na kufunga magoli zaidi ya 38
felister
kikosi cha England kina wachezaji wazuri mpk sasa wanapigana ili timu ibaki kwenye ubora
Shani
England Kikosi mahiri!
Mwanahamisi
Ngoja niandae jamvi langu
Caroline
Uingereza ilipotoka na ilipo Sasa ..imepiga hatua kubwa
Janeflora malisa
Mambo mazur ngoj nitengeneze jmvi
Mwajumah
Uchambuzi mzuri sana England wana kikosi kizuri sana#Meridianbettz
Devotha
Kikosi cha uingereza kipo vizuri
Fatina mfigi
England kikosi chao kipo bomba !!
Ernest
Hii mechi inamagoli mengi sana vipindi vyote viwili
Dorophina
England Ni timu nzuri wakijipanga vizuri lazima watashinda kwa kishindo
Nasra
England imejitosheleza
aisha
Duuh hapa kazi ipo maana huu mtanange siwakitoto acha nimpe england lakini ninahofu asije akanichania
Elika
England iko vizuri sana
lombo
saf
Lydia Emmanuel Magoti
England leo anatikisa nyavu
Flomena
England wako vizuri sana nawaaminia sana
Saupha mohamed
England Leo anauwa mtu
Shafii
Karata yangu naitupa kwa england.
Tumaini kasalile
Safi
Sauda
England mabingwa
farida ahmadi
Asante kwa uchambuzi
Amiri Kayera
Itakua tafu game
Sadick
Mwaka 2016 Iceland ilianza kuvuna matunda ya kuandaa na kukuza vijana kwenye mchezo wa Soka na inaendelea na program hiyo ambayo imeifanya timu ya kuogopewa kiasi barani Ulaya#meridianbettz
Shani
England ni kamili kukiwasha
Latifa juma mohamed
Iceland bado hawajakata Tamaa kwa sababu Wana malengo makubwa yakufanya@meridianbettz
Hidaya
England sina wasiwasi nao
Hope mwaikuka
England kama nawaelewa hv
Genia Sikaluzwe
England Ni timu nzuri wakijipanga vizuri lazima watashinda kwa kishindo
David Pere
Uchambuzi mzuri sana mm jamvi langu natumain England watapata matokeo kwny mchezo wa leo
Tumaini kasalile
Safii
Isaya massawe
Uchambuzi umekaa vizuri
Rose kapinga
Mambo ya soka hayo
Khadija
Habari njema kwa mashabiki wa mpira#meridianbettz
Rehema
Safi
Sabrina
Ni uchambuzi mzuri tu
Ester jackson
Mechi ilikuwa bomba sana
warda
Mko Na habari nzuri sana
Samiah
Safi