Timo Werner ni mshambuliaji wa hadhi ya juu, magoli ya kikatili sana kwenye mazingira katili sana lakini alifanya kitu.
tulizoea kumuona Didier Drogba Yves Tebily akifanya vile, anatembea na mpira unasimama, anagusa ya kwanza, anatazama wavu anatikisa.
Timo kwenye bao la kwanza niliamini angepigia kushoto, kwenye sanaa ya ufungaji angeukataa msitu na kwenda na nyika, ila ikawa tofauti aliwafata na kwenda nao kisha bila tamaa akazikata kamba.
Bao la pili ni bora tena, mpira ukiwa katika move, pasi iliyo mwagwa na Jorginho ana uchop anakutana nao tena mbele anamalizia kwa kichwa,huwezi kumlaumu beki wala kipa, alitulia sana kama maji kwenye mtungi, katili sana huyu.
Kuna Kontena zima na Antonio Martial kwenye Timo mmoja, kuna fuso zima la Nketiah kwenye Timo mmoja.
Kuhusu matokeo nadhani hiyo kesi Lampard ajue namna ya kuwashawishi mashabiki na uongozi wa klabu ya Chelsea.
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.
zeiyana
timo werner siku zote ni mtuwa maajabu akiwa uwanjani
Adelta
Kijana Yuko vizuri
Angelina
Timo werner kweli mkatili
Lydia Emmanuel Magoti
Kijana amekuja kivingine anaitendea soka kihipasavyo
Fatina mfingi
Safii kijan
latifa juma mohamed
Kijana yupo fit.
magdalena
werner akishikaga mpira haangaliagii pembeni kabisa yeye anajua kupeleka tu na kufikia lengo
Tatu
Timo Werner hana huruma anapokuwa uwanjani
Mwajumah
Timo werner yupo vizuri
Elika
Hana huruma hata kidogo Timo
Janeflora malisa
Yupo good
Amiri Kayera
Hapa Chelsea imelamba dume
Fatuma kasomo
Gud news
lombo
saf
aisha
Namkubali sana
Povel
Timo werner goal GETa lakin ujio wake Epl naona anachanga moto katika ufungaj ndani ya EPl msimu huuu
Issa
Werner anlijua goli
Hopemwaikuka
Mtu mbad
Gabriel
Timo Werner yuko vzur
Saupha mohamed
Safiii
Sabrina
Timo werner anajua yuko vizur
Sauda
Werner fundi
Ernest
Werner bado hajakaa vizuri ndani ya EPL watu wanatarajia makubwa kutoka kwake