Willian na Pedro wameongeza mikataba ya muda mfupi wakiwa Chelsea mpaka mwisho wa msimu 2019-2020.
Winga hao kutoka klabu ya Chelsea wote wameongeza mikataba yao ambayo ilitakiwa kumalizika Juni 30,kutokana na kusimama kwa ligi na michezo mingine kufuatia kutokea kwa virusi vya Korona wamekubali kuendelea kutoa huduma klabuni hapo mpaka mwisho wa ligi tofauti na tarehe iliyopo kwenye kandarasi.
Chelsea wapo katika nafasi ya kwenye msimamo wa ligi ya EPL,pia wamefika robo fainali ya kombe la FA, ingawa kwenye ligi ya Mabigwa Ulaya wanaweza kuishia nafasi ya 16 bora baada ya kufungwa 3-0 na Bayern Munich.
Willian amekuwa katika kiwango kizuri chini ya kocha Lampard, amefunga goli tano katika Premier League kwenye michezo 29.Amekuwa akihusishwa na kutimkia Arsenal na Tottenham.
Pedro amecheza michezo tisa pekee kwenye EPL msimu lakini ataendelea kusalia darajani mpaka hatima yake ya kwenda kunako klabu ya As Roma ikiripotiwa tena.
Nyota hao wote walibakiza siku 7 kumaliza mikataba yao ya sasa klabuni Chelsea lakini Chelsea imelazimika kuwapatia mikataba ya muda mfupi kutokana na janga la Korona kufanya ratiba ya kalenda ya soka kuvurugika hivyo kufanya michezo ya msimu huu kusogezwa mbele mpaka kufikia kipindi ambacho kalenda ya soka ilikuwa inapinduka.
Chelsea watawakaribisha Manchester City darajani siku ya Alhamisi kwa mchezo wa Ligi ya EPL na nyota hao watakuwepo lilosini siku hiyo.
Magdalena
Pedro Bora aendelee kubaki apo Chelsea ili aendelee kuipansisha viwango
Caroline
Safi sana
Rehema
Asante kwa taarifa na meridianbet
felister
safi kama wamekubali kumaliza msimu wakiwa chelsea
Khadija
Safi sana#meridianbettz
Mwanahamisi
Safi sana
Dorophina
Sio mbaya hata kwa mda ligi itakapo isha maamuzi wanayo wao wap wanataka kwenda
Genia Sikaluzwe
Safi San kafanya vizuri
Sadick
Asante Pedro na Willian kwa huduma nzuri#meridianbettz
warda
Sio mbaya acha wazidi kuongeza kipato#Meridianbettz
Elika
Waendelee kubakia hapo hapo
Zeiyana
Bola wabaki tu wamalizie ligi tu so Chelsea wamakua wanafanya vizuri toka warudi kwenye mapunziko ya korona
Salma
Habari nzuri kwa mashabiki wao
Amani
Asante Pedro na Willian kwa huduma nzuri pia kwa juhudi zenu#meridianbettz
Evaluziga
Waendelee kukaa hapohapo
David Pere
Ni maamuzi mazuri sanaa maana ukiangalia na umri wao umeenda sanaa
Devotha
Vizuri sana
Tahiya
Iyo ni nzur kwa Chelsea
Hamidu
Bado ni wachezaji muhimu pale Chelsea
Wamestahili kubaki#meridianbettz
Gabriel
N habar njema sana kwa viungo hivyo kupata muafaka wa kuendelea kusalia club ya Chelsea Pedro na William hiko n kitu chema sana maana hadi sasa Chelsea inakamatia nafas ya nne EPL huku nafas ya kwanza ikishikiriwa na Liverpool ,ya pili man City na yatatu licester cty hivyo wapo nafasi nzur hivyo kwa wakongwe hao wanaweza kumalizia msimu wao wa mkataba na muda mfupi kufanya vzur zaid
Hv nice update 👍
# meridianbet Tanzania
Ester jackson
Safii sana kuendelea kumaliza msimu huu katika timu ya Chelsea ni habari zuri sana kwa sisi mashabiki zinatusisimua kiukweli mana wataendelea kuipambania Chelsea katika mda huu na ikiwezekana wabaki tu katika timu yao mana bado tunawahitaji
isha
Wamefanya vizuri sana
Issa
Ni safi kwa kuwa itawasaidia sana chelsea sababu hao ni wachezaji muhimu sana hasa kipindi hiki wakiwania nafasi za top 4
Povel
Gud news
Shafii
Ni Jambo zuri wataendelea kutanua kikosi Cha Chelsea na kuwasaidia kumaliza msimu wakiwa kwenye nafasi nzuri pale darajani
Ester mmakasa
Ni nzuri sana kwao kwa sababu bado wako fiti.
Hope mwaikuka
Uamuz mzur sana
Neema hassan
Wachezaji mahiri sana..pongezi kwao..
Omary lukumbi
Ni jambo zur kuongeza mkataba n kwa sabab ya kuisaidia Chelsea kujikita top four
Ernest
Willian na Pedro ni wachezaji wazuri sana tena wamekuwa msaada ndani ya Chelsea kwa muda mrefu
Sabrina
Maoni:Safi sana kwa kumalizia msimu chelsea
Amiri Kayera
Saf San tunawategemea
Johnmary joel
Bora aendelee kubaki hapo#meridianbett
Mwajuma
Habari njema kwa wapenzi wa Chelsea
Latifa juma mohamed
Nzur
Fatuma kasomo
Safi kwa kumalizia msimu Chelsea
mwakalosi
wamefanya jambo zuri sana na lakuwapa heshima kubwa pale darajani
Samira
Wamefanya jambo la heshima sana kwa timu yao ya Chelsea
Agness
Safi Sana inapendeza
Rehema
Imependeza hiyo
christopher
ils hao sio wa kuwaacha kabisa, mi naona pedro na willian wana mchango mkubwa pale chelsea
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana uwamuzi waho nimzuri wanderehe kubaki hapo hapo itakuwa vizuri sana
Emmy cleopa
Safi sana
Samiah
Uwamuzi wao mzuri hivyo waendelee kubaki hapo hapo
Furahav
Hii iko poa.
Theonestina
Vizur Sana
Asia Abdy
Ni vizuri