Zinedine Zidane amepata ushindi wa mia moja katika LaLiga akiwa kama kocha mkuu wa Madrid siku ya Jumamosi.
Zidane alifikisha ushindi wa mia Madrid ilipo shinda 3-2 dhidi ya watu kumi wa Real Betis.
Mfaransa huyo, alisherehekea ubingwa wa pili wa LaLiga akiwa kama kocha mkuu wa Real Madrid msimu uliyopita,alifanikiwa kufikia idadi hiyo ya kushinda katika michezo 147 ya LaLiga.
Zidane amekuwa kocha wa pili kufikia idadi hiyo ya kushinda katikaa historia ya Madrid, nyuma ya Miguel Munoz(257).
Ikiwa ni mara ya pili kuinoa Real Madrid, Zidane – ambaye ushindi wake wa kwanza wa taji la LaLiga alipata mwaka 2016, ameona timu yake ikipata jumla ya magoli 342 na kufungwa magoli 142 pekee.
Madrid wamepata ushindi wao wa kwanza tangu pazia la LaLiga 2020-21 lifunguliwe, baada ya kulazimishwa sare ya kutofungana na Real Sociedad wiki iliyopita.
Baada ya Federico Valverde kufunga goli dakika ya 14, Betis walisawazisha na kupata goli la kuongoza ndani ya dakika tatu magoli yaliyofungwa na Aissa Mandi na William Carvalho kabla ya kipindi cha kwanza kumalizika.
Mchezaji aliyekuwa akimilkiwa na Barcelona Emerson alijifunga baada ya dakika tatu ya kipindi cha pili kabla ya kutolewa dakika 23 kabla ya kipyenga cha mwisho hakija pulizwa na Madrid walipata goli la tatu na la ushindi kupitia kwa Naodha wao Sergio Ramos dakika ya 82 ya mchezo na kumfanya Zidane afikishe idadi ya ushindi wa 100 (karne) akiwa na Madrid.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
aisha
Pongezi nyingi sana kwako zidane kwani wewe ni kocha uneyesitahili kuigwa kwa kazi yako
Zeiyana
Zidane ni kocha mwenye uwezo mkubwa na huwelewa wake akiwa kwenye himaya yake kwa kazi aliyo hifanya pale Real Madrid hanastaili pongezi
Shani
Hii no ndio Madrid haikuach salama
Ernest
Madrid msimu huu wapo vizuri sana japo walianza ligi kwa Suluhu
Lydia Emmanuel Magoti
Nivizuri Sana Zidane nikocha anaejua Nini anafanya kwenye kazi yake
Adelta
Zidane unastahili tunzo kwa kazi uliyofanya👏👏👏
Angelina
Goodnews
Aziza mushi
Madrid wapo vizuri
Hidaya
Pongezi kwa zidane
Fatina mfigi
Gud
Mwajumah
Hongera zidane
Samiah
Gud Zidane
Rose kapinga
Pongezi kwako mkongwe kwenye game
Issa
Madrid hii ndio tunaoitaka
Tatu
Pongezi kwao madrid
Gabriel
Pongezi kwa zidane
Nasra
Pongez kwao
Caroline
Hongera Sana Zidane
Hopemwaikuka
Gud job zidane
Sabrina
Hongera sana zidane huyu ni gwiji
Rehema
Good news 👍
Theonestina
Hongera yake
Amiri Kayera
Good record Kwa zizoo
Mariam mtandama
Hongera yake
Latifa juma mohamed
Hongera zake.
Saupha mohamed
Hongera
Sauda
Safi sana Zidane
Fatuma kasomo
Safi
Theckla
Hongera Sana zenadine
Khadija
pongezi kwa zidane kwa kisherekea ushind wako
Janeflora malisa
Vzr
Mwanahamisi
Hongera zidane
Elika
Zidane Yuko vizuri sanaaaaaaa
Povel
Congrat Zizzou🤝🤝🤝
magdalena
zidane anajituma sana na yupo makini sana na kikosi chake ataki kabisa kishuke viwango kimpira
Dorophina
Congratulation zidane
Salma ngende
Pongezi kwake
Neema
Hongera zidane
Mwanahamisi
Pongezi kwake
felister
hongera zidane
David Pere
zidane anajituma sana na yupo makini sana na kikosi chake ataki kabisa kishuke viwango kimpira