Akanji: “Hatutawarahisishia Canada” Asema Haitakuwa Mechi Rahisi

Beki wa Switzerland Manuel Akanji amesisitiza kuwa kikosi chake kiko tayari kuwapa ugumu wenyeji Canada katika mchezo wa mwisho wa Kundi B wa mashindano ya Dunia, akionya kuwa hakuna mechi rahisi katika hatua hiyo ya mashindano.

Akanji: “Hatutawarahisishia Canada” Asema Haitakuwa Mechi RahisiCanada wanaingia kwenye mchezo huo wakiwa na morali kubwa baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Qatar, lakini Akanji amesema Switzerland haitakuwa timu ya kupuuzwa. “Tunajua wanataka kushinda, lakini sisi pia tunataka kushinda hapa. Hatutawarahisishia,” alisema.

Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa

Beki huyo aliongeza kuwa Switzerland italazimika kucheza kwa umakini mkubwa ili kupata matokeo. “Tutaweka juhudi zetu zote kesho. Nikifikiri tukionyesha kiwango chetu bora, tunaweza kushinda,” alisema, akisisitiza kuwa mchezo huo utakuwa mgumu kwa pande zote mbili.

Akanji: “Hatutawarahisishia Canada” Asema Haitakuwa Mechi RahisiSwitzerland inahitaji angalau sare ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele, wakati Canada wakihitaji ushindi au sare ili kumaliza kileleni mwa Kundi B na kufuzu hatua ya mtoano kwa mara ya kwanza.

Akanji: “Hatutawarahisishia Canada” Asema Haitakuwa Mechi RahisiAkanji aliongeza kuwa nguvu ya timu yao ni kushirikiana kwa pamoja. “Hatuna wachezaji watatu bora duniani kama mataifa mengine, lakini tunafanya kazi kama timu. Tunajifunza kutoka makosa yetu na kujaribu kuwa na uthabiti,” alisema, akisisitiza matumaini ya kufanikisha hatua ya 16 bora.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.