Pierre-Emerick Aubameyang ameapa kuendelea na mtindo wake wa kucheza wakati wa kusherehekea wakati akijibu ukososaji kutoka kwa kiungo wa Real Madrid, Toni Kroos.
Akiongea kwenye podcast yake ya Einfach mal Luppen, ambayo alikuwa akiindesha akiwa na kaka yake Felix, Kroos alikuwa na lengo la kumkosoa mchezaji mwenzake namna wanavyo shangilia baada ya kufunga ni uzamani.
Alikumbushia usherekeaji wa Aubameyang, ambaye ahapo nyuma alikuwa akivaa barakoa ya Spiderman na Black Panther, alisema baba wa watoto wa tatu: “Nimeona niujinga kama kuna kitu kibaya kimefichwa ndani ya soksi zao.
“Aubameyang mara nyingi amekuwa akisherehekea kwa kuvaa mask, hapo ndipo nilipo ishia, sidhani kama ni mfano mzuri. Ni jambo lisilo na maana yoyote.
Mshambuliaji huyo wa Arsenal hajafurahishwa na alichokisema Kroos’ na yeye binafsi amemjibu mjerumani huyo kwenye mtanfdao wa Twitter.
“Hata hivyo @ToniKroos ana watoto?” alipost. “Kumbuka nimefanya kwaajili ya mtoto wangu wa kiume, nitafanya tena kama hivi mara chache.
“Nakutakia upate watoto siku moja na uwafanye wawe na furaha kama hivi watoto wa shule wanaongea na hawasahau #maskon #staysafe.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!
Tatu
Baba mzuri ni yule anayefajya mwanae awe na furaha wakati wowote
Adelta
Pongezi kwake yeye ni baba mzuri kwenye familia
Ester jackson
Good
Elika
Pongezi nyingi kwake
Dorophina
Habari njema
Magdalena
Baba kafanya jambo jema sana
Shakila mrope
Ongera san baba
Sadick
Tony Kroos hakuwa na sababu ya kutoa maoni kama hayo na sijui kwanini anakereka kiasi hicho. Wachezaji wengi wamekuwa na style tofauti za kufurahia magoli wanayofunga
Mwajumah
Pongezi nyingi kwake
Lydia Emmanuel Magoti
Pongezi zake Aubameyang ni kichwa chafamily nibaba bora
Fatina mfingi
Pongezi kwako!!
Shani
Kroos anakosea tu auba amefany kitu for funny na hivyo ni kuingilia maisha ya mtu binafsi
Rahma
Habari nzuli
Khadija
pongezi nyingi sana kwake
Hopemwaikuka
Gud to hear this
Zeiyana
Siku zote wachezaji hufurahia ushindi hunavyo jisikia wew kwa upande wa Aubamenyang hanafurahi na watoto wake kama moja wapo ya kukumbuku zake hapo baadae
Saupha mohamed
Habari njema
Povel
Kila mchezaj ana namna yake ya ushangiliaji
Neema
Habarii njema
Issa
Kroos auba anafanya vitu kwa mapenz yake na hiko si kitu cha kumhoji
Sabrina
Aubameyan ni baba bora anaependa Furaha ya moto wake nimeipenda sana
Fatuma kasomo
Habari njema
Sauda
Inapendeza sana
Angelina
Safi
aisha
Kroos hilo ni swala la mtu binafs mwenywe hivyo auba alifanya for funny
Chiku
Amemakinika