Barcelona wamekamilisha usajili wa beki wa kulia Sergino Dest akitokea klabu ya Ajax kwa dau la €21m.
Dest mwenye umri wa miaka 19 amepata umaarufu katika ligi ya Eredivisie msimu 2019-20 , kwa kuisadia timu ya Ajax kumaliza nafasi ya kwanza kabla ya ligi hiyo kukatishwa kufuatia kuzuka kwa janga la virusi vya Corona.
Kiwango hicho kilipelekea timu mbalimbali zikiwemo Barcelona na Bayern Munich kuhitaji huduma ya beki huyo wakati huu wa dirisha la usajili.
Mara ya kwanza Bayern walionekana kuwa katika mazungumzo makubwa na Ajax, na ripoti zikidai kwamba Bavaria hawajafikia makubaliano na Ajax wala Dest.

Lakini Barcelona wamefanikiwa kumnasa kinda huyo kwa dau la €21m (£19m/$25m) dau kubwa kuliko lile la Bayern Munich.
Taarifa kutoka kwa miamba ya LaLiga kupitia tovuti rasmi ya klabu: ” FC Barcelona na Ajax wamefikia makubaliano ya uhamisho wa Sergino Dest.
“Mchezaji atasaini tena mkataba baada ya misimu mitano, mwishoni mwa msimu 2024-25.
“Sergino Dest ana viwango vyote vinavyohitajika katika safu ya ulinzi: Anashambullia inapohitajika ni mtu mwenye ubunifu.
Dest ametua Camp Nou kuziba nafasi iliyoachwa na beki wa kulia Semedo ambaye ametimkia katika klabu ya Wolves.
Dest ni mzaliwa wa Uholanzi lakini ameamua kufuata Upande wa baba yake U.S.A na aliiwakilisha United State, U-17 na U-20 kabla hajacheza mchezo wake wa kwanza na timu ya wakubwa Setemba 2019 dhidi ya Mexico.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
barcelona naona wanataka kujenga kikosi chao vyema ili waweze kurudisha ubora wao kama zamani
Gud news
Pongezi kwao Barcelona kumnasa jembe huyo
Kila lakheri dogo kapige kazi
Hongera kwa Barcelona
Ajax klabu bora yenye vipaji vingi vya vijana wenye umri mdogo natumaini watanyakua wachezaji wengi kutoka Ajax
Naona barca wako vizur kwenye upande wa usajiri tu..
Pongez kwa Barcelona
Barcelona pongezi kwenu
Hongereni sana Barcelona
saf
Hongera Barcelona kwa kupata saini ya Dest
dogo piga kazi
Pongezi kwa Barcelona
Barcelona wamewapg bao la kisigino
Barcelona safiii
Safi
Good news 👍
Jamani mwenyepesa si mwenzako hongereni barcelona#meridianbett
Safi sana barca
Good Barcelona
Nice
Sergino Dest ana viwango vyote vinavyohitajika katika safu ya ulinzi: Anashambullia inapohitajika ni mtu mwenye ubunifu.
hongera zao
asante Kwa taarifa
Dogo anatisha.
Natumaini ataitoa barcelona hapo ilipo na kuwapeleka ngazi ya juu sana.
Pongezi kwenu
Tunasubiri kuona kama Dest ataendeleza uimara wake kunako Spain au nae ni majanga tuu
Dest hatawafaa sana Barcelona maana barc wanaitaji wachezaji wenye uwenzo ili kukamilisha kikosi chao
Dest ni noma ya wachezaj wazur Sana kwny kikos cha Ajax natumain atakuwep namwendelezo mzuri hata kwny timu ya me mpya ya Barcelona
Dest ni mchezaji mzuri sana
Barcelona itakuwa moto wa kuotea mbali
Mwenye kisu kikar kala nyama
Barcelona safi
Kila la kheri
Ukiwa sokoni haitakiwi kushangaa.
Barca kumpata dest ni vizur
Safi
Hongera kwa Barcelona
Safii
barca wako vizur kwenye upande wa usajiri tu..
Safiiiii