Cavani Ashtakiwa na FA kwa Utovu wa Nidhamu.

Fowadi wa Manchester United Edinson Cavani ameshtakiwa kwa utovu wa nidhamu na Chama cha Soka juu ya utumiaji wa neno la ubaguzi katika chapisho la matandao wa kijamii.

Muuruguay huyo mwenye umri wa miaka 33 alituma ujumbe kwenye Instagram mwezi Novemba 29 ambao ulikuwa na neno ‘negrito’.

Alifuta chapisho hilo na akaomba msamaha, lakini Alhamisi FA ilitangaza kuwa ameshtakiwa.

FA ilisema: “Edinson Cavani ameshtakiwa kwa utovu wa nidhamu kwa kukiuka Sheria ya FA E3 kuhusiana na chapisho la mtandao wa kijamii mwezi Novemba 29, 2020.

“Inadaiwa kwamba, kinyume na Kanuni ya FA E3.1, maoni yaliyowekwa kwenye ukurasa wa Instagram wa mchezaji wa Manchester United FC yalikuwa ya matusi au yasiyofaa na au yaliyoumiza mchezo huo.

“Inadaiwa zaidi kuwa maoni hayo ni  “Uvunjaji wa kanuni “, ambao hufafanuliwa katika kifungu cha Sheria ya FA E3.2, kwani ni wazi au inamaanisha, kwa ubaguzi wa rangi.

FA ilisema Cavani atakuwa na ahadi Jumatatu, Januari 4 kujibu mashtaka hayo.


BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!

INGIA MCHEZONI!

17 Komentara

    Ubaguzi ni mbaya.sana.hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake

    Jibu

    Du hatari

    Jibu

    Duh!!kweli hatari sana

    Jibu

    Hii hatari sana

    Jibu

    duuh

    Jibu

    Hatua za kinidhamu lazima zifatwe

    Jibu

    Apewe adhabu

    Jibu

    Ubaguzi haufai kwa jamii bora sheria imechukua mkondo wake atajifunza

    Jibu

    Duu sio poa

    Jibu

    Ubaguzi haufai kwa jamii bora sheria imechukua mkondo wake atajifunza

    Jibu

    duh

    Jibu

    Hatari sana

    Jibu

    Sheria lazima ziheshimiwe

    Jibu

    Duu hatari sana

    Jibu

    Loooh

    Jibu

    KIK zingine bwana

    Jibu

    Duuh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.