Angel Di Maria, Neymar,Leandro Paredes na Keylor Navas wamejumuishwa katika kikosi cha Paris Saint-Germain kwa mchezo wa Jumapili wa Ligue 1 dhidi ya Marseille baada ya kumaliza siku za kukaa Karantini.
Wachezaji hao waliukosa mchezo wa ufunguzi wa Ligue 1 msimu 2020-21 dhidi ya Lens mchezo ambao PSG ilipoteza kwa 1-0 siku ya Alhamisi baada ya kuwa na maambukizi ya COVID-19.
Majibu ya vipimo kwa Di Maria na wenziye
Lakini,wachezaji wote wanne wamepimwa na vipimo vilionesha hawana COVID-19 tena na kocha Thomas Tuchel kuelekea mchezo huo alisema kwamba wachezaji hao wamejumuishwa katika kikosi na watashiriki katika mazoezi.

Na sasa imethibitika kwamba washambuliaji wawili Neymar na Di Maria pamoja na kiungo Paredes na golikipa Navas ambaye ni chaguo la kwanza, watakuwa sehemu ya kikosi cha PSG chenye watu 21 katika dimba Classique.
Kylian Mbappe, Mauro Icardi na Marquinhos majibu yao yalionesha bado wana COVID-19 baada ya kupimwa tena wiki iliyopita na watakosa tena mchezo wa pili wa Ligue 1.
Akiongea kabla ya mechi, Tuchel aliulizwa kwanini mchezo mmoja wa mapema katika ratiba ya Ligue 1 ulisogezwa mbele.
“Nimeshangazwa kwa mechi muhimu kama ile kuwekwa ya tatu,” Aliwambia maripota.
“Nadhani gemu kama ile ilitakiwa iwekwe Oktoba au Novemba wakati timu zote zikiwa zimepata ladha ya ligi, binafsi sijaelewa kabisa maamuzi yaliyofanywa.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Jambo jema Kwa wapenz wa PSG
Hii habari nimeipenda mno
Wanyama hawa wakirudi kazini basi panachimbika Ufaransa PSG wanakua wanapata magoli mengi sana na ushindi kila mechi
Bora hata warudi tu maana PSG inawaitaji kikosi kiwe imara zaidi
Habari njema sana mana sasa timu inaenda kuwa mamba moja hawa ni tishio
Bora kina neymer warud dimbani kikosi Cha PSG kiendelee kuimarika.
Habari njema kwa mashabiki wa PSG
Mambo yatakua moto sana wakali wao wanarudi!!
Habari nzuri hizo#meridianbett
Nimefurahi sana Di Maria na Neymar kurejea#Meridianbettz
Good news
Bora walivyorejea waendelee kujihadhari na corona
Habari njema 👍@meridianbettz
Jambo zuri kwa wapenzi wa PSG
Nadhani gemu kama ile ilitakiwa iwekwe Oktoba au Novemba wakati timu zote zikiwa zimepata ladha ya ligi, binafsi sijaelewa kabisa maamuzi yaliyofanywa.#meridianbet
Vizur sana tunaowaona tena kwenye game
Safii sana
Hii itakua nasafi nzuri ya mbappe kuuguza majereha yake akirudi kwenye gemu hatakua yupo fiti
Mungu ni mwema
Habari nzuri kwao kulejea kikosini kuenderea kupambana
Ni Jambo zuri
Ni jmbn zur
vizuri
Safi sana
Vizuri
Tuchel naona hataki wachezaji wake wakae pembeni kawajuisha wote waingie kambini
Vzur wapge kaz sasa
Bado mambo sio mambo kwa upande wa PSG
Ni Jambo zuri
PSG wanakua wanapata magoli mengi sana na ushindi kila mechi
Safi sana hii inapendeza
Hapa psg wametimia na kuingia kwa hawa wachezaji ni timu itakua moto
Jambo zuri
makal nzr
Bora kina neymer warud dimbani kikosi Cha PSG kiendelee kuimarika
kila la kheri
Habari njema kwa PSG maana sasa klabu itachangamka maaan majamaa sio wa mchezo kabisa mechi hii dhidi ya Marseille hawatowaacha salama
Jambo zuri
bora wamerudi kikosini ili waendelee na mpira maana tulihisi psg imepwaya
Nice
Habar njema
Hbr njema
Wanyama hawa wakirudi kazini basi panachimbika Ufaransa PSG wanakua wanapata magoli mengi sana na ushindi kila mechi