Kocha mkuu wa Napoli Gennaro Gattuso bado haja anza kuelekeza mawazo yake kunako ligi ya Mabingwa Ulaya, ambako anamchezo wa marudiano dhidi ya timu ya Barcelona, anataka kumalizana kwanza na Serie A akiwa katika nafasi nzuri.
Napoli waliicharaza Roma 2-1 siku ya Jumapili nakukaa katika nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi, wakiwa na rekodi ya kushinda michezo minne kati ya mitano iliyopita.
Watakutana na Barca kwa mchezo wa marudiano nchini Ureno mwezi Agosti ikiwa mchezo wa kwanza walikwenda 1-1 Napoli akiwa katika dimba la nyubani mwezi Februari.
Gattuso ambaye kwa upande wake atakutana na Genoa siku ya Jumatano , amesema kwa sasa hakuna haja ya kuanza kujiandaa dhidi ya wababe hao wa LaLiga.
“Bado kuna muda,” alisema hayo baada mchezo wao na Roma kumalizika Napoli wakiwa wametoka kifua mbele kwa kuziweka kibindoni alama tatu.
“Tuna mwezi mmoja mbele,lazima tufikirie kumaliza ligi tukiwa katika nafasi za juu na kuongeza nguvu kwenye miguu yetu . Ni swala fulani la kutumia akili Zaidi.
“Siku hizi nataka kuiweka vyema timu kwa sababu wachezaji wengi wataendelea kuwepo klabuni hapa tunahitaji kujenga akili ya kushinda.”
Yuko vzr huyu kocha
ahsante kwa taarifa
hatri sana sema barce mdebwedo siku hizi
Yuko sahihi kitu cha msingi ni kuakisha kwanza ligi ya ndani upo kwenye nafasi ambayo unaweza shiriki tena msimu ujao.
Kocha yuko sahihi
Kuwaza ya kesho ni muhimu sana
Kocha yupo sahii
Ni mwanzo mzuri kwa Gattuso ambae hana muda mrefu kwenye Ukocha timu yake inafanya vizuri#meridianbettz
Ipo wazi wanatakiwa wafanye kweli kwa kuwa barca kwenye hatuo ya mtoano wanakuwa wabaya sana
Napoli watawaonyesha barca sababu gatuso ana uzoefu na timu kubwa na ligi ya ulaya anaufaham nao
Asanteh kwa taarifa
Yuko moto sana. Safi sana
Yupo vzr sana huyo kocha#meridianbettz
Kocha mzuri sana uyo
Barcelona siku hizi hakuna mabadiliko Tena
Kocha yuko sahihi
Kocha namkubali sana
Gattuso amekuwa na kikosi imara kabisa ambacho kinaweza kumsaidia kufanya makubwa kwenye soka na kuingiza jina lake kwenye historia
Ni mwanzo mzuri sana kwa Gatuso hakika atakua kocha bora
Namkubali Sana huyo kocha
Gattuso ni kocha mzuri sana.
Kocha mzuri
Ni super gattuso anacho sema kinaweza kikawa sie maana sio rahisi kusema nafikilia ligi ya mabingwa wakat bado ligi haijaisha lazima amalizane na serie A alafu aamishie akili zake uefa champions league
Gud update
Me naon katk mbin za wapinzani kuwasaikology ila ni mechi ngum kwao
Timu take ipo vizuri aiwaze Barcelona ya nini wakati Ana uhakika atapindua meza kibabe
Timu yake iko vizuri sana hawezi kuwaza kwingine ikiwa wachezaji wake wanafanya vizuri
Kiukweli ni lazima upambanie ligi ya ndani uhakikishe upo kwenye nafasi gani ya kushiriki ligi ya mabingwa msimu ujao kwa gatuso yuko sahihi kwa alicho kisema.
Ahahahaaaa….hawezi kupangilia mfumo wa wanyamaa
Maoni:Gattuso kocha mzuri
Kocha mzuri sanaa Gattuso
Kocha mzuri sana
Kocha yupo sahihi
Bado muda
Barcelona sikuizi wamedolola sana ndomana kocha hana wasiwasi
Angekutana nao kipindi hiki Angewatoa UEFA maana wamekuwa wabovuu
Tuna mwezi mmoja mbele,lazima tufikirie kumaliza ligi tukiwa katika nafasi za juu na kuongeza nguvu kwenye miguu yetu . Ni swala fulani la kutumia akili Zaidi.
Kocha yupo vizuri
Maoni:huyo ni kocha bora sana
Yuko sahihi kocha
Namkubali sana huyu kocha#Meridianbettz
Gattuso ni kocha yupo vizuri kinyama
Gattuso ni kocha ambae anajuwa majukumu yake
Gattiso anaimani na kikosi chake kwahiyo ana cha kuhofia
Yupo vizuri anajua nn anafanya
Kocha mzuri binafsi nakubali Sana kazi yake
Kocha mzur
Nice update 👍
Namkubar Sana uyo kocha
Kocha mzuri
Ayo ni mawazo mazuri
Kocha yupo sahihi#meridianbettz