Kiungo wa Borussia Dortmund Reinier amepimwa na kukutwa maambukizi ya virusi vya corona, klabu hiyo ya Ujerumani imethibitisha.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 18, ambaye alijiunga na Dortmund kwa dili ya mkopo wa miaka miwili akitokea Real Madrid mwezi Agosti amefanyiwa vipimo vya COVID-19 bada ya kutoka kwenye majukumu na timu ya taifa ya Brazil ya vijana wenye umri chini ya miaka 21 wiki iliopita.
Reinier hakuwa sehemu ya kikosi cha Dorrtmund ambacho kilicheza na Hertha Berlin na kupata ushindi wa 5-2 wikendi iliyopita na hakuna mchezaji mwingine wa BVB ambaye amekutwa na maambukizi.
Dortmund imethibitisha habari hizo siku ya Jumatatu siku moja kabla ya mchezo wa Champions League na Club Brugge, na iliongeza kwamba kinda huyo alionesha dalili na kwa sasa amejitenga.
Ametumiwa mara saba na Lucien Favre na michezo yote alitokea benchi.
Reinier, ambaye ameshinda taji Campeonate Brasileiro na Copa Libertadores akiwa na Flamengo mwaka 2019bado hajafunga, kutoa asisti wala kutengeneza katika michezo mitatu ya Bundesliga na amefanikiwa kupiga shuti moja tu.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.
magdalena
duh pole sana kwake inambidi afate masharti ili aweze kupona haraka
Genia Sikaluzwe
Duuuuh pole yake
Sauda
Pole sana Reinier.
Ester jackson
Jamani pole sana
Angelina
Get well soon
Latifa juma mohamed
Pole Sana kijana.
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yake
Caroline
Pole Sana
Tatu
Pole sana
Janeflora malisa
Pol san
Issa
Corona ni tishio sana muda huu
Saupha mohamed
Dhuu pole sana
Hopemwaikuka
Ugua pole
Sania
Dah hii corona sasa ni shida
aisha
Pole sana
samiah
Pole sanaaa
Rehema
Pole
Rahma
Pole
Mwajumah
Pole sana
warda
Pole yake