Oscar Garcia amefukuzwa na klabu ya Celta Vigo baada ya michezo tisa pekee msimu huu.
Celta Vigo wapo nafasi ya 17 mbele ya washika mkia kwa tofaauti ya alama moja wakiwa wamefanikiwa kushinda mchezo mmoja pekee nakukusanya alama 7 msimu unaondelea 2020-21.
Sare ya 1-1 dhidi ya Elche ili dhihirisha kuwa ndiyo mchezo wa mwisho kwa Oscar kuwa inchaji wa Celta Vigo.

“Oscar Garcia Junyent na benchi lake la ufundi hawatohusika na ukufunzi kwa RC Celta,” taarifa ya klabu ilisomeka.
“Klabu inawasilisha shukrani kwa kocha wa Catalan na timu yake, kwa kazi, taaluma na jitihada ambayo wameonesha wakati wakiwa RC Celta Vigo, ambapo waliunganisha wasifu wa timu katika msimu mgumu wa LaLiga 2019-20.
“RC Celta inamtakia kila la kheri Oscar Garcia na wasaidizi wake vyote katika taaluma ya ke na yeye mwenyewe binafsi.
Osacr ametumia miezi 12 kuwa na Celta Vigo na kutetea timu hiyo kutoshuka daraja licha ya kushindwa kupata ushindi wowote katika michezo saba ya mwisho msimu 2019-20.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!



Mwajumah
Bora ata walivyomfukuza tu mm naona walikua wanamchelewesha tu maana mtu hana maajabu yoyote yale
Adelta
Kocha oscar Garcia amekuwah na matokeo mabaya Sana ndani ya celta vigo msimu huuu bodi ya celta wamefany maamuzi sahihi kufanya mabadiliko pengne panawez leta tija au mabadiliko ndani ya kikos Cha celta vigo ndani ya msimu huuu
Khadija
Mbona mambo hayo
Johnmary jo
Jamani hii hatari#meridianbett#
Elika
Bora aende tuu
Ester jackson
Aende tu mana anataka kuipeleka timu kubaya zaidi
Fatina mfingi
Duuh jaman mbona hivyo tena!
Tatu
Wanemsamehe tu
Ernest
Celta Vigo imekuwa utopolo sana wanahaki ya kumfukuza kocha
Sadick
Timu inashindwa kupata ushindi nafasi ya Kocha inakuwa hatarini. Kwangu ndio kazi yenye pressure kabisa duniani
Povel
Kila la kheri oscar garcia
Issa
Celta vigo wamefanya mapema kumtimua
aisha
Hii kali ya mwaka
Hopemwaikuka
Jamanii sio poa kabsaa
Sabrina
Asante kwa kushiriki Oscar tunakutakia kila la kheri
Saupha mohamed
Good news
felister
majanga ayo
Sauda
Hatari sana
warda
Duu hii Celta-Vigo sio poa mbona wamemchelewesha sana kocha
magdalena
celta vigo hawakutaka kabisa masihara wanataka kitu kizuri
zeiyana
Osacar toka haingie clabuni celta virago hakuna mahajabu yoyote aliyo yafanya
Angelina
Sio poa