Post ya Edinson Cavani aliyoweka katika akaunti yake ya Instagram yenye maandishi ya kukera kufanyiwa uchunguzi na chama cha mpira nchini Uingereza (FA)
Mshambuliaji huyo wa timu ya Manchester United aliweka ujumbe katika insta story yake baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Southmapton wenye mandishi “mshindi wa upuaji wa mwisho.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay Cavani alitumia maandishi ya kihispania kuweka katika instagram stori yake kwa mashabiki na tangu ifutwe ameaambiwa ilikuwa na maandishi ya kukera.
FA imesema imetarifiwa na watalishughulikia hilo wakati pia United imeripotiwa kufuatilia posti hiyo.
Cavani alifunga mara mbili katika dimba la St Mary’s Stadium akitokea benchi kipindi cha pili cha mchezo, ushindi huo una muacha Ole Gunnar Solskjaer katika nafasi nzuri na kusimama katika nafasi ya nane akiwa na alama 16 na mchezo mkononi.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!
Duu sio poa FA
Mbona wanamuandama sana cavani
Cavani Yuko vizuri
Cavani waswahili wanasema mdomo ulimponza kichwaa
Wamuache Cavan kwani kawakosea nini
Cavan ni balaa
Haya mtaleta majibu
cavan ni kiboko
Sio poa
mmh
Sijaona kosa hapo wanamuonea bure
Haya maneno mengine tuwage makini kabla ya kuongea
Duuh
Duuh sio powa kabisa
Hakuna lolote baya hapa
sio poa