Ronaldo na Mapumziko ya kifahari

Mshambulliaji myota wa klabu ya Manchester United Ronaldo amesafiri na familia yake kwenye Private Jet yenye thamani ya £20million kwenda kwenye visiwa vya Majorca ambavyo viko nchini Hispania.

Baada ya UEFA nations League kusimama, sasa ni muda wa mapumziko ambapo wachezaji wengi nchini ulaya wamesafiri kwenda sehemu mbalimbali kwa ajiri ya kupumzika na kufarahia na familia zao, ambapo Ronaldo ametengeneza vichwa vya habari kwa kusafirisha magari yake ya thamani kwenda nayo mapumzikoni.

Ronaldo

Cristiano Ronaldo amesafirisha gari yake yenye thamani ya £8.5milioni aina ya Bugatti Centodieci, ambayo ni miongoni mwa gari chache ambazo hutengenezwa kwa order maalum, pamoja na Mercedes SUV kwa ajiri ya familia yake ambazo zote zimeshafika kwenye visiwa vya Majorca.

Ronaldo amefikia kwenye hotel ambayo gharama zake kwa usiku mmoja ni £10,000, ndani yake kuna private villa, uwanja wa mpira, Gym binafsi, uwanja wa volleyball na Jacuzzi kadhaa,huku akiwa na familia yake ya watoto watano na mpenzi wake wa muda mrefu  Georgina Rodriguez

Ronaldo ni miongoni mwa wachezaji wawili wenye mikataba ya maisha na kampuni ya Nike, huku pia akiwa na mkataba maalum na kampuni ya magari ya Bugatti.


ALIYA’S WISHES

Bila shaka unatamani ushindi mkubwa, vipi kuhusu kujaribu Sloti hii ya Aliya’s Wishes? jaribu ushinde sasa.Kasino ya Mtandaoni

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.