Real Madrid wanapata penati nyingi sababu wana shambulia sana hii ni kwa mujibu wa kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone.
Rais wa Barcelona Josep Maria Bartomeu na mlinzi wa Barcelona Gerard Pique wamesema kwamba Madrid wamekuwa wakibebwa na maamuzi ya marefa kwa kupewa penati nyingi.
Zinedine Zidane alisema amechoka kusikia maneno kama hayo baada ya kuwafunga Athletic Bilbao 1-0 siku ya Jumapili, ikiwa ni mchezo wa pili mfululizo kushinda kwa penati baada ya maamuzi ya VAR baada ya Dan Garcia kumchezea madhambi Marcelo.
Madrid wamepata penati tisa katika ligi ya LaLiga kwa msimu huu wakati Athletic na Mallorca wakiwa wamepata penati kumi kila mmoja na Simeone anadhani ni kawaida kama timu itacheza vizuri katika mazingira kama hayo ili kupata maamuzi kama hayo.
“VAR inaonesha kila kitu, kabla tulikuwa hatuna uwezo wa kuona vitu ambavyo sasa tunaona. Waamuzi ni binadamu kama sisi kuna wakati wanakosea lakini kwenye VAR kila kitu kipo wazi.Alisema kwenye mkutano na wanahabari.
“Ni sawa kama wakikupa penati ni sababu upo katika nafasi ya kushambulia katika eneo la penati, kama wanavyo fanya Real Madrid.
“Maamuzi ya VAR yanaweza kukuuumiza au kukusaidia sasa ipo wazi kama ni offside, kama ni penati VAR inatujuza.
Atletico watakabiliana na Celta Vigo siku ya Jumanne lakini watamkosa nyota wao Joao Felix kufuatia kuwa na majeraha kwenye kifundo cha mguu.
Joao Felix amefunga magoli nane na kutoa asisti tatu katika michezo 34 katika mashindano yote tangu ajiunge na Atletico akitokea Benifica kwa kitita cha €126m.
Habari nzuri
Habari inavutia hii
Asantee kwa makara nzuri
Haki itendeke hapo
Madrid msimu huu wap vzr sana
Diego Simeone amekuwa na mtizamo chanya katika hili na hivyo ndivyo public figure unatakiwa kuwa#meridianbettz
Real madrid wako vizuri sana
N kweli jinsi unavyoshambilia ndio mpinzani wako anachanganyik!w
Habari njema
Huu ni ukweli dhahiri sababu wameshajuwa kuwa ubingwa ni wa kwao
Msimu huu madrid wako vizuri wanahitaji kombe la laliga
Hii ni habari mzuri
Habar njema.
Real wako vizuri mbele,ndomana wanapata hadi penalty.
Nidhahiri wameshajua ubingwa ni wakwao
Diego simeone yuko sahihi kabisa na kutupilia mbali kauli za rais wa Barcelona na beki wake gerrad pique kua Madrid wana bebwa Madrid n desturi yao kushambulia sana wanajua kivyovyote ile lazima beki za timu pinzan zitajichanganya kufanya makosa.ambayo yatawapa faida flan
Huo ndio ukweli samione ambao aliongea
Nikwer Madrid wanapamban mwanzo mwisho
Kumbe nlkua cjui ilo
Semion binge la kocha ,maana kauona ukweli Kama timu inashambulia lazima wapate penalty
Semione yuko sahihi Madrid kwa sasa kila mechi kwao ni fainali kikubwa wanachokihitaji ni ubingwa wa laliga.
Mawazo yake mbona kama sio mwanasoka? penalti inasababu ya kupatikana ,sio wachezaji kushambulia sana . Sema Meridian mnajua kutuhabarisha !
Madrid wapo vizur
Maoni:Huo ndio ukweli usio pingika
Safi sana Simeon maana uwezi pata penart ukiwa haupo sehemu husika.. kwaiyo hao wanao lahumu wafanye Kama Simeon alivyosema kwamba washambulie.
Ukweli ucyopingika
Habari njema
Madrid IPO vizurii
Real madrid wana timu nzur
Madrid wapo vizuri bila shaka kombe nilakwao
kusema kwamba VAR inawapendelea?
Ni sawa kama wakikupa penati ni sababu upo katika nafasi ya kushambulia katika eneo la penati, kama wanavyo fanya Real Madrid.
Nice
Maoni:Real madrid wanacheza mpira wakasi sana ndomana wanapata penat hao ni mafundi
Huyu ndo kaongea point sana#Meridianbettz
Me sijaona lefa alipo kosea kwa maana lefa si hanasheria zake na jinsi nwenyewe alaivyo somea ufanyaji wake wa kazi. wajipange tu nawao washambulie kama Real Madrid na wao wapewe penati wasianze maneno maneno
Real Madrid walijipanga vilivyo ni haki yaokupata penalty kama wachezaji wezao hawatakuwa makuni na ushambuliaji wao
Real madrid wanahitaji ubingwa tu ndiomaana wapo mbio sana wakiwa uwanjani
Hizi ni habari njema
ahsante kwa taarifa
Diego Simion yuko sahihi
Haya ni maneno tuu
Kweli kabsa wanajua kujituma
Kweli kabisah hanachoongea Diego Simeone hajaongopa amesema kweli kutokan na real Madrid alivyowaona ushambuliaji wao
Real Madrid iko vizuri Sana kwani wanacheza kitim sana
Madrid ni timu yenye mpira wa kushambulia ndio mana wanapata penati sana
Nice
Nice update 👍
Nice
Makala mzuri
Habari nzuri
Inawezekena kweli wanashambulia sana
Madrid msim huu n balaa wako vzur sana
Real madrid wapo vzr sana#meridianbettz