Meneja wa klabu ya Simba SC, Patrick Rweyemamu amethibitisha kuwa kiungo wao mshambuliaji Bernard Morrison hajasafiri na timu hiyo kwenda Afrika Kusini kutokana na kutokamilisha baadhi ya mambo yake
Patrick ameongeza kuwa nyota huyo anatarajia kusafiri ili kuungana na timu hiyo Afrika Kusini pindi atakapokamilisha taratibu zote
Kikosi Kamili kinachosafiri
Makipa:
Aishi Manula, Beno Kakolanya na Ally Salim
Mabeki:
Shomari Kapombe, Joash Onyango, Pascal Wawa, Ibrahim Ame, Erasto Nyoni, Gadiel Michael, Mohamed Hussein, Kennedy Juma na David Kameta.
Viungo:
Jonas Mkude, Rally Bwalya, Mzamiru Yassin, Luis Miquissone, Hassan Dilunga, Clatous Chama, Francis Kahata na Taddeo Lwanga.
Washambuliaji:
Medie Kagere, John Bocco, Ibrahim Ajib na Chris Mugalu.
Uongozi wa Simba umesema sababu iliyomfanya Morrison kushindwa kusafiri ni taratibu za hati ya kusafiria (visa), kwani raia kutoka Ghana anatakiwa kuingia Afrika Kusini akiwa na visa.
Morrison yupo katika hatua za mwisho kukamilisha upatikanaji wa visa na huenda leo au kesho (Jumatano), akaanza safari ya kuungana na wenzake Afrika Kusini.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
neema hassan
Kila la kheri
Venerose
Safari njema
Sarah
Safari njema
Magdalena
Tuanategemea matokeo mazuri kutoka kwenu
Mariam mtandama
Kila la kheli
[email protected]
Ata asipoenda
aisha
Kila la.kheri simba ya ushindi
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana mnajitoshereza
Amiri Kayera
Mabingwa wa nchi