Boss wa timu ya taifa ya Uingereza Gareth Southgate anajutia kushindwa kutimiza ndoto yake ya utotoni ya kuichezea klabu ya Manchester Uinited.
Meneja huyu wa Uingereza amecheza mechi zaidi ya 400 kwenye Ligi Kuu ya Uingereza akiwa na klabu za Crystal Palace, Aston Villa na Middlesbrough. Pia amecheza mechi 57 za timu ya Taifa Uingereza.
Gareth Southgate amebainisha kuwa anajutia kutotimiza kutotimiza ndoto zake za tangia alipokuwa mtoto za kuichezea klabu ya Manchester United.

Tangia alipokuwa mtoto, bosi huyu alikuwa na mpango wa kuichezea klabu ya Man United katika soka lake la kulipwa. Hii ilikuwa ni moja kati ya ndoto zake mbili, nyingine ikiwa ni kuitumikia timu ya taifa, ndoto ambayo amefanikiwa.
Katika kufurahia kuichezea timu ya taifa, anasema mechi yake ya kwanza na timu ya taifa ya Uingereza ulikuwa ni wakati ambao hataweza kuusahau katika soka.
“Nilikuwa na malengo mawili. Nilitaka kuichezea Uingereza na Manchester United. Sikupata nafasi ya kuwachezea Manchester United, ni lengo moja kati ya mawili sio mbaya sana.”
-Gareth Southgate”
Ingia hapasasa kujumuika na kushinda Casino ya Meridianbet
Hapa Meridianbet tunatambua kuwa pesa ni mfalme na ndio maana tunakuletea gemu hii matata. Tazama na uone ni nini kinatokea kwenye ufalme wa pesa. Cheza sasa: https://t.co/bPSdYboEZ3 pic.twitter.com/z7KWda7r7p
— MeridianBetTZ (@MeridianBetTZ) June 22, 2020
Jamani ndo basi tena #Meridianbettz
Sio kila unachipanga razima kitimie
Majuto ni mjukuu
Ndio basi tena
Ametuonyesha mapenzi yake kwa Man Utd. Kwa sasa aweke bidii kwenye timu ya Taifa kuna vipaji vingi sana kuliko wakati mwingine wowote. Mashabiki wanataka kuona matokeo#meridianbettz
asijari tutampa heshima siku moja ya kuwa sehemu ya klabu
Jamani usijilaumu sana#meridianbettz
ila sio shukuru umetimiza ndoto ya kuchezea timu ya taifa. maana uwenda ungechezea Manchester. ungekosa ya taifa yote yote ni sawa.
Ndiyo hivyo inabidi ajue siokila Lengo lazima litimie
Duu! Hapo ndio basi tena
Bado muda haujaisha apambanie ndoto zake
Ulipoteza
Usijali kama ilipangwa hizo ndoto zitatimia tuu
Alikuwa uwezo jamaa Ndio maana hajatimiza ndoto zake
Asijali tutampa heshima siku moja#meridianbettz
Jamani ndio Basi Tena mliushaenda miaka ishapita aiwez kujiludia tena
Pole.
Mashabiki wanataka kuona matokeo#meridianbettz
Kawaida sio kila mtu hutimiza kila ndoto alizokuwa nazo katika maisha
halikupangwa litimie Kama lingekua limepangwa ungetimiza ndoto zako
Sio kila ndoto lazima itimie
Mwee pole yake
Mashabiki wanataka kuona matokeo
Duu ingekua safi sana hyo moja ya club kubwa dunian na nchi uingereza ila sio mbaya sana ndoto moja wapo katimiza ya kuichezea timu ya taifa
Mshika mawili moja umporonyoka unaona sasa kilicho mtokea garrth southgate alitaka ndoto zake mbili zitimie kitu ambacho hakukitimia sio mbaya kati ya ndoto mbili katimiza moja ya kuichezea timu yake ya taifa ya uingereza na kuwa boss wa timu wa uingereza safii kabisa
Garrett South gate asikate tamaa kabisah kwani siku zote majuto ni mjukuu hivyo basi hana nafasi nyengine tena ya kuendeleza kuchukua ubingwa
Duh kweli sio kila ndoto lazima itimie
Asante kw taarifa.. Nilikuwa sifahamu kamA kocha Southgate ilikuwa na ndo za kucheza man utd #meridianbettz
Sio mbaya hata huko alipo ameweza kutimiza ndoto zake saiz km bado anaipenda man u awe muwekezaji tu
Ajitahidi akizaliwa mara ya pili aitimize
Maoni:Gareth Southgate asijute sn sio kila ndoto lazima itimie aendelee kuiendesha vzur timu ya taifa ifanye vizur
Pole kwake, apambane atimize ndoto za ukubwani
Sio hata kumanage timu ya taifa ya uingereza ni ndoto kubwa zaidi, weng wanatak hyo nafas hawajaipata
Kila mwanadamu hua anandoto za kufika sehemu Fulani au kiwango Fulani katika maisha ila wahenga wanasema sio kila ndoto inatimia inamaana aliyo yafanya yanatosha
Ni Jambo la kumhuzunisha bosi huyo Kwan umri umeshaenda tena hawezi kurud tena utoto na kuanza kucheza mpira kwan wakati wake umeshapita tena muda haurud nyuma
Wakale wanasema c kila ndoto itatimia asijal kwa hilo
Siku zote hua hatutimizi zile ndoto zote ambazo tunatamani kuzifanya au kuzifikia
Pole sana
Kila ndoto sio lazima itimie ila kutokata tamaa ndo dalilii ya kurejeza uloyatarajia
Haikuwa bahati yake Gareth Southgate kukipiga katika kablu ya Man U.
YAh angekua na eshima Zaid kweny soka lake km angepat nafax man u
Ajipange upya
Pole kwake ila sio kila ndoto unayoifikiria basi itimie
Siyo wote wenye kutimiza ndoto zao asijilaumu sana
Bado ana nafasi asikate tamaa
Inaumiza sanaa hii kwa weng tu
Kilichobaki hapo kama anawatoto awafundishe wakiwa bado wadogo ili watimize ndoto ya baba yao.
Pole kwake…
Hiyo game walicheza na team gani?
Duuh asikate tamaa
Duuuuh hatari ila asikate tamaa
Pole
Sio ndoto zote tutazitimiza.nyingine tutaishia kuziota
Jaman ndio bas tena
Wakati ukishapita ndo ushapita ndoto yake ndo imeishia ivyo
Ndoto mja ulio ipata ndio ilikuwa ndoto yako ya halali na inaonekana hiyo ndiyo kilikuwa kipaumbele sana kuliko kuwa mcjezaji wa man united
Pole sana
Pole yake
Ila asikate tamaa azidi kupambana ndoto zake zitatimia
Ndo basi tena.pole
Poleee sana
Haikuwa bahati yake
Pole sana
Ajipange upya