Miamba ya Ujerumani Bayern wanampango wa kubeba Bundesliga mara ya tisa mfululizo kwa msimu 2020-21 na usiku wa leo watawakaribisha Schalke katika dimba la Allianz Arena.
Mabingwa hao wa Ulaya wataendeleza utawala wao na wanaonekana kuwa imara na kutohofia wapinzani.
Ingawa watamkosa mchezaji Thiago Alcantara ambaye yupo njiani kuelekea Liverpool, Bayern tayari wana kikosi cha kuvutia na sasa kimezidi kuimarika baada ya kumuongeza Leroy Sane kutoka Manchester City.
Mabingwa hao wa Bundesliga walishinda michezo 21 katika mashindano na hawajapoteza tena tangu wapoteze kwa Borussia Monchengladbach mwezi Disemba mwaka uliyopita.
Bayern Munich chini ya kocha Hans-Dieter Flick.
Timu hiyo iliyo chini ya mwalimu Hans-Dieter Flick walishinda ubingwa wa Bundesliga kwa mara nyingine huku Robert Lewandowski akiwa ndiyo kinara wa upachikaji mabao katika ligi hiyo.
Mpoland huyo mwenye umri wa miaka 32 alitikisa nyavu za wapinzani mara 34 katika michezo 31 ya Bundesliga na kupata hat-trick katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Schalke mwezi Agosti 2019.

Schalke waligongelewa nyundo 5-0 katika dimba la Allianz Arena mwezi Januari na Bayern iliwaondoa katika michuano ya DFB Cup mwezi Machi.
Schalke walimaliza nafasi ya 12 katika Bundesliga baada ya kushindwa kupata ushindi katika michezo 16 walipoteza michezo 10 na kufunga mara saba pekee.
Licha ya Bayern kumkosa Kingsley Coman ambaye kajichimbia nyumbani kutokana kuwa na COVID-19, Schalke watakabiliana na vita ngumu pale Allianz.
Idadi ndogo ya mashabiki wataruhusiwa kushuhudia mechi za Bundesliga,msimu huu lakini jioni ya Leo gemu itapigwa bila mashabiki.
Meridianbet tumekuwekea odds za ushindi katika mechi hii GUSA HAPA kufanya ubashiri wako.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Ni bayern wataendelea kutoa kichapo tu na ubingwa ni kitu chepes msimu huu tena
Gud news
bayern akikaa vizuri akajipanga anaweza akabeba tena ubingwa ila awe makini sana asijisahau sana
Safii sana
Buyern sio poa
Bayern wapo vizuri sizani kama wataweza kuipoteza nafasi hii
Bayern mnajua kunipa raha kweli na matokeo yenu mazur
Bayern wamejipanga vizur na ndoman wanaendelea kutoa kichapo!!
Bayern wataenderea kuwapa kichapo naubingwa kuhupata kwa malanyingine
Bayern wakikaza watachukua ubingwa.
Sidhani kama Bayern ana wakusimama mbele yake
Bayern wakijipananga vizur wanachukua tena ubingwa
Bayern wanamatokeo mazuri sana sizan kam wataikosa nafac hii#Meridianbettz
Bayern wakijipanga vema wanaendelea kung’ara.
Bayern Munich msimu uliopita walimaliza vzur na kuanza vzur labda tuangalie msimu wao huu wamejiandaa vp
Vzr
Good news 👍@meridianbettz
Mechi itakuwa ngumu sana hii
Pesa nyepesi tuu nacheza Bayern to win and 3+
Asante kwa uchambuzi
Schalke wajipange
Buyern mko vizur sana
Bayern ni hatari sana
Bayern wataendelea kutetea ubingwa
Vizur
Habari nzuri
Mambo ni moto bundasliga
Bayern kazeni kurudi nyuma mwiko
Iko poa
Iko gud
Mechi kali sana
Watatoka kwer
safi bayern
Safi
Bayern Munich msimu uliopita walimaliza vzur na kuanza vzur labda tuangalie msimu wao huu wamejiandaa vipi