Wasi Wasi wa Zidane Juu ya Hazard

Meneja wa Real Madrid Zinedine Zidane amebainisha kuwa ana wasi wasi juu ya mda ambao Eden Hazard ataendelea kusubiri kutokana na jeraha lake jingine.

Hazard amekuwa na kipindi kigumu kwa asilimia kubwa tangia alipofika Real Madrid, msimu huu bado hajaanza kucheza mechi yeyote.

Staa huyu alikuwa tayari kurejea baada ya kumaliza kuuguza jeraha lake la enka, na lakini akapata jeraha jingine la msuli mazoezini lililomfanya aikose mechi dhidi ya Real Valladolid Jumatano.

Eden Hazard
Eden Hazard

Zidane anafahamu kuwa changamoto ya jeraha la pili imemuudhi sana Hazard, lakini hafahamu kwa mda gani ataendelea kuwa nje ya uwanja. Lakini anatumaini wakati huu haitakuwa mda mrefu.

“Amekuwa nje kwa mda mrefu, sidhani kama na sasa itakuwa mda mrefu lakini siwezi kusema ni mda gani hasa.” -Zidane

“Amekasirika, kwa sababu alikuwa safi kabisa. Tulizungumzia hilo kwenye taarifa ya maandalizi ya mechi. Lakini amepata changamoto na mambo haya hutokea.” -Zidane

Madrid wanamtembelea Levant Jumapili, baada ya kukusanya pointi 7 kwenye mechi 3 walizocheza.


 

Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

44 Komentara

    Hazard kweli ameanza vibaya na Madrid

    Jibu

    Jamani hazard inakuwaje tena

    Jibu

    Mwanzo mbaya huo

    Jibu

    duh hazard naye ana bahati mbaya kaanza msimu vibaya sana pole sana kwake

    Jibu

    Hazard ameanza vibaya sana msimu huu maana majeraha yamemuandama sana

    Jibu

    Mashabiki wanampa pole kwa mwanzo mbaya

    Jibu

    Hazard mzunguko wake kanzanao vibaya anabati mbaya sana

    Jibu

    Huo ni mwanzo tu

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Why??

    Jibu

    Jamani wampe mda kidogo mi naamini harzad yupo vizuri

    Jibu

    Duh

    Jibu

    Harzad inakuaje tena jaman

    Jibu

    Kwa nini

    Jibu

    duh pole yake hazard

    Jibu

    Hazard kiikweli kiwango chake kimeshuka sana

    Jibu

    Mwanzo mgumu

    Jibu

    Hazard kaanza vibaya

    Jibu

    Mwanzo wake haukua mzuri ila atakua sawa tuu!!

    Jibu

    Mwanzo mgumu

    Jibu

    Hazard hajapata bahati ya kuwa vizuri pale Madrid toka alivyohamia akitokea Chelsea,namuombea afueni mapema ila pale atafute sehemu nyingine ya kucheza

    Jibu

    Kwwli mwanzo mbovu

    Jibu

    Mmmh

    Jibu

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Asante kwa nakala

    Jibu

    Duh noma

    Jibu

    Majelaha yatauwa soka lake

    Jibu

    Mwanzo mgumu ila atakaa sawa

    Jibu

    Jamani

    Jibu

    Good

    Jibu

    Duh Hazard ameyumbaa

    Jibu

    Zidane anafahamu kuwa changamoto ya jeraha la pili imemuudhi sana Hazard, lakini hafahamu kwa mda gani ataendelea kuwa nje ya uwanja. Lakini anatumaini wakati huu haitakuwa mda mrefu.

    Jibu

    Mwanzo mgumu kwa Hazard

    Jibu

    Daah! Wasiwasi lazima uwepo kwa zidane kutokana na hayo majeraha yanayomsumbua mchezaji wake.

    Jibu

    Mbadala wa hazard alikua bale lazima zidane hapate wasi wasi ukiangalia hazard toka ligi hianze hajapata bahati ya kuwa vizuri

    Jibu

    Kwan bado anaumwa

    Jibu

    Hazard tok ajiunge na Madrid anakuwah mtu wa majerah Sana waswahil husema Hana bahati na madrid

    Jibu

    Mwanzo mgumu

    Jibu

    Afya kwanza ni muhimu zaidi .

    Jibu

    Hazard amekuwa kiwango cha chini.sana

    Jibu

    Afya kwanza

    Jibu

    Hazard kweli ameanza vibaya

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Hazard ameanza vibaya sana msimu huu maana majeraha yamemuandama san

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.