Kwa mujibu wa Sky Sport Italia, NicolΓ² Zaniolo ameichagua Atalanta badala ya Fiorentina, hivyo klabu hiyo inajitahidi kukubaliana na Galatasaray.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia alitumia msimu huu kwa mkopo na Aston Villa, lakini timu hiyo ya EPL haikuchukua chaguo lao la kununua.
Pia alilazimika kukosa EURO 2024 kutokana na kupaya jeraha kwenye mguu wake, lakini atakuwa fiti kuanza kampeni mpya.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
Zaniolo amedhamiria kurejea Serie A na hadi sasa kumekuwa na kinyang’anyiro kati ya Atalanta na Fiorentina, huku pande zote zikimpigia upatu kupitia wapambe wake.



