Makala mpya

Sterling na Enzo Wako Tayari Kuivaa Man City
Daily News

Wachezaji wawili wa klabu ya Chelsea ambao walikua majeruhi Raheem Sterling na Enzo Fernandez wameripotiwa kurejea mazoezini kuelekea mchezo wao wa nusu fainali wa kombe la Fa dhidi ya Man …

Soma zaidi
Ten Hag Ampongeza Sancho
Daily News

Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amempongeza mchezaji wake Jadon Sancho ambaye anakipiga kwenye klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani kwa mkopo. Kocha Ten Hag amempongeza Sancho …

Soma zaidi
CEO Bayern Leverkusen Anamuona Alonso Akiinoa Madrid
Bundesliga

CEO wa klabu ya Bayern Leverkusen Carro ameweka wazi kua anamuona kocha wa klabu hiyo Xabi Alonso akija kuifundisha klabu ya Real Madrid siku za mbeleni ila hajajua ni lini. …

Soma zaidi
Harry Kane Aikamia Arsenal
Champions League

Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane ameonekana kuikamia Arsenal kuelekea mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya utakaopigwa kesho katika …

Soma zaidi
MAYELE ANAIONEA WIVU YANGA
SOKA LA BONGO

Mwandishi na mchambuzi nguli wa soka nchini, Edo Kumwembe, amesema kuwa mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele, anawaonea wivu YANGA. Edo amesema: “Nadhani kuna tabia ambayo Mayele aliificha akiwa …

Soma zaidi
Ali Kamwe Hawachukulii Poa Simba
SOKA LA BONGO

UONGOZI wa Yanga kupitia kwa msemaji wao Ali Kamwe umebainisha kuwa unawatazama wapizani wao Simba kwa utofauti kutokana na uimara walionao hivyo wanawaheshimu kuelekea mchezo wao wa Kariakoo Dabi. Yanga …

Soma zaidi
KARIAKOO DABI IMEINGILIWA NA WAZEE
SOKA LA BONGO

MAMBO yameanza kuwa mengi kuelekea mchezo wa Simba na Yanga Jumamosi hii maarufu kama Kariakoo Dabi Ambapo kila upande Umefanyaa maandalizi ya utofauti. Pande zote mbili, zimeukabidhi mchezo huo Kwa …

Soma zaidi
Mbagala Queens Wababe wa Soka DSM
SOKA LA BONGO

Timu ya wanawake ya Mbagala Queens imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam baada ya kushinda mabao 3-1 dhidi ya Kinondoni Queens katika mchezo wa fainali uliochezwa …

Soma zaidi
Simba Yakutana, Mipango Yawekwa Kuikabili Yanga
SOKA LA BONGO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza ikiwa ni mchezo dhidi ya Yanga. Odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya …

Soma zaidi
Arsenal Wapokea Kichapo Nyumbani
Daily News

Klabu ya Arsenal imekubali kupokea kichapo cha mabao mawili kwa bila mbele ya klabu ya Aston Villa katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza uliopigwa leo katika dimba la Emirates. …

Soma zaidi
1 2 3 4 2,037 2,038 2,039