Tarehe 22 mwezi Novemba 1986 ndio siku ambayo Mike Iron Tyson alikuwa na umri wa miaka 20 ambapo alishinda ubingwa wa ndondi katika uzani mzito zaidi duniani akiwa na umri …
Makala nyingine
Baada ya janga la Corona kusimamisha msimu wa NBA, sasa ni rasmi Ligi hiyo ya kikapu Marekani inarejea tena Julai 30. Michezo yote iliyobakia kwa msimu huu itakuwa tofauti na …
Meneja wa klabu ya Manchester United Ole Gunnar Solskjaer anatumaini kwamba nyota na kiungo wa kati wa Man United Paul Pogba ataongeza mkataba mpya hapo Old Trafford. Pogba ambaye pia …
Arsenal wana nia ya kumsajili beki wa klabu ya Athletic Bilbao, Unai Nunez kwenye dirisha la uhamisho msimu huu wa joto, kwa mujibu wa ripoti ya AS. Mchezaji huyo mwenye …
Kocha mkuu wa klabu ya Barcelona amemwagia sifa mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchi ya Uruguay kwa kuingia kwenye orodha ya wafungaji bora wa muda wote baada ya kufungu bao la …
Mshindi mara mbili wa dunia katika mashindano ya kuteleza kwenye Barafu, Alex Pullin maarufu kama ‘Chumpy’ amefariki dunia akiwa anavua kwa kutumia mkuki nchini Australia. Pullin, 32, alipeperusha vizuri bendera …
Dereva Fernando Alonso anatarajia kurejea tena Formula 1 baada ya kutangaza kustaafu mwaka 2018. Staa huyu ambaye amewahi kuwa bingwa mara mbili wa dunia anatarajia kurejea kwa msimu wa mwaka …
Bingwa wa zamani wa dunia na bondia wa Uingereza, Ricky Hatton siku kama ya leo mwaka 2011 alitangaza kuachana na mchezo wa Masumbwi. Mwanandondi huyo aliyestaafu mwaka wa 2011, ambaye …
Pep Guardiola amesema kwamba anataka kumuona Messi akiwa Barcelona. Nyota wa Barcelona Lionel Messi anatarajia kumaliza mkataba wake ifikapo mwaka 2021, lakini kuna dalili za Mshindi huyo wa tuzo ya …
Bosi wa Barcelona Quique Setien amekuwa na tumaini la kushinda taji la LaLiga huku akiamini Real Madrid watapoteza alama kwenye michezo iliyo salia. Licha ya kuwa wanaongoza kwenye msimamo wa …
AC Milan leo siku ya Jumanne wataumana na Juventus, ambao watakuwa wakitafuta ushindi wa tano mfululizo tangu kurejea kwa Serie A. Juve wataelekea San Siro wakiwa wanaongoza ligi kwa tofauti …
Romelu Lukaku amefunga mabao 20+ ya ligi kwa msimu kwa mara ya pili tu kwenye maisha yake ya soka – Pia 2016-17, magoli 25 kwa Everton. Lukaku alifanikiwa kufunga goli …
James Maddison na Ben Chilwell wapo katika mashaka makubwa ya kuukosa mchezo siku Jumanne, Leicester City watakapo safiri kukabiliana na Arsenal kwenye mchezo wa Premier League, amesema Brendan Rodgers kocha …
Real Madrid wanapata penati nyingi sababu wana shambulia sana hii ni kwa mujibu wa kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone. Rais wa Barcelona Josep Maria Bartomeu na mlinzi wa Barcelona …
Kocha mkuu wa Napoli Gennaro Gattuso bado haja anza kuelekeza mawazo yake kunako ligi ya Mabingwa Ulaya, ambako anamchezo wa marudiano dhidi ya timu ya Barcelona, anataka kumalizana kwanza na …
David Alaba bado hajakubali kuongeza mkataba na Bayern Munich, lakini kocha Hansi Flick amesema itakuwa maalumu kama atamaliza kucheza soka lake akiwa Allianz Arena. Dili ya Mchezaji huyo wa kimataifa …
Michael Ballack ameunga mkono maamuzi ya mchezaji Timo Werner kuchagua kujiunga na Chelsea badala ya Liverpool, na kusema kwamba Mshambuliaji huyo wa zamani wa RB Leipzig atakuwa na mchango mkubwa …
Liverpool wanacheza mchezo wao wa kwanza wa nyumbani Anfield wakiwa MABINGWA wa Ligi. Kikosi cha Jurgen Klopp kilichezea kichapo kizito kwenye mchezo wake wa mwisho Alhamisi hii, kikipoteza 4-0 mbele …
Quique Setien amepuuzia kuwekwa kwenye mdaharo unaona muhusu Lionel Messi kufuatia taarifa za Messi kuondoka Barcelona mwaka ujao,ingawa kocha huyo alikasirika kwakua hajamsikia mchezaji huyo akiongea kuwa anataka kuondoka klabuni …
Historia inaonesha kuwa Michezo ya Olimpiki ilianza zaidi ya miaka 3,000 iliyopita katika mji wa Olympia, Kusini Magharibi mwa nchi ya Ugiriki. Madhumuni ya michezo hii ilikuwa ni tamasha la …