Kipaji mujaarabu cha Jack Wilshere kiliwashitua wengi ,kiliwaacha midomo wazi kina Xavi Hernandez na Andres Iniesta pale Emirates katika mechi ya UEFA Champions League . Kuanzia wakina Scott Parker , …
Makala nyingine
Mwenyekiti wa kamati ya matibabu wa UEFA anasema michuano inaweza kuanza tena licha ya mwenzake wa FIFA kusema haipaswi kuanza kabla ya Septemba. Mwenyekiti wa kitengo cha Matibabu cha Shirikisho …
Sote tunafahamu bondia Mike Tyson aliamua kustaafu rasmi mwaka 2005. Tangia hapo bingwa huyu hajapigana ndondi za kulipwa mpaka sasa. Lakini Tyson anataka sasa kurejea Ulingoni. Licha ya kustaafu, Mike …
Msimu wa Ligi kuu nchini Uholanzi maarufu kama Eredivisie kimsingi umekwisha, kufuatia tamko la waziri wa nchi kupiga marufuku michezo hadi mwezi Septemba. Shirikisho la Mpira wa Miguu la Uholanzi …
Kwa mara ya kwanza alipomtaarifu baba yake kuwa anataka kuwa mwanamasumbwi kama alivyokuwa yeye, Mohamed Ali, bingwa namba moja katika historia ya mchezo huo duniani alipatwa na fadhaa. Hakuwa …
Mnamo tarehe 24 Juni, 2019 tasnia ya filamu ulimwenguni iligubikwa na msiba mzito wa muigizaji mstaafu Billy Drago. Miaka 73 imetosha kwa Billy Drago kurudi kwa Muumba tuseme kuwa hakubakisha …
Tottenham yaanza mazungumzo ya wazi na aliyekuwa kocha wao wa zamani Mauricio Pochettino juu ya kupunguzwa kwa malipo ya mshahara wakati huu wa janga la COVID-19. Pochettino alifungashiwa virago mwezi …
Mwana michezo wa mchezo wa Tenisi mwenye Asili ya marekani Coco Gauff anapitia kipindi kigumu cha tatizo la kisaikolojia lililotokana na kukua gafla kwa umarufu wake wa haraka kwenye mchezo …
Lewis Hamilton ameweka wazi baadhi ya vitu ambavyo angependa kuvifanya baada ya kustaafu mbio za magari F1. Amefanikiwa kukusanya mataji 6 ya michuano ya madereva hadi kufikia msimu uliopita. Lewis …
Mwana masumbwi Frazer Clarke anajiandaa kua bingwa mwingine wa Dunia wa uzito wa juu kutoka Uingeleza kwenye mashindano ya Olimpiki, Lakini wa uzoefu juko nyuma sana kulinganisha na Antony Joshua. …
Siyo wanamichezo wote huwa maarufu kutokana na kile wanachokifanya. Wengine huwa maarufu kwa kipindi fulani tu lakini baada ya kutwaa tuzo hizo huweza kusahaulika hata ule uwepo wao; kwa maana …
Mwishoni mwa mwaka 2019 mwezi Desemba zilitolewa habari za kuenea kwa ugonjwa wa kuambukiza wa virusi vya Corona huko Uchina. Ugonjwa huo unaoenezwa kwa njia ya hewa ulileta taharuki kubwa …
Mwanandondi Anthony Yarde ametoa wito kwa watu kusalia majumbani kufyatia janga lilomfika baba yake. Wakati ulimwengu ukiwa unapambana vilivyo kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona, haikuwa bahati kwa babaye Anthony …
Kwa mujibu wa Waziri wa Michezo wa Ufaransa, michezo ya mbio za baiskeli za wanaume Tour de France ambazo hufanyika kila mwaka zinatazamiwa kufanyika bila kuwepo na mashabiki. Kutokana na …
Pambano la marudio kati ya mabondia waliochuana ulingoni mapema mwezi uliopita limeahirishwa kufuatia tishio la Virusi vya Corona. Pambano hili lilikuwa linatarajiwa kufanyia Julai 18 katika viunga vya Las Vegas. …
Janga la virusi vya Korona, kitaalamu likifahamika kama Covid19 limekwamisha shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii. Limegusa wadau wengi mno ulimwenguni kwote huku mamia ya watu wakipoteza maisha hasa barani …
Hayawi hayawi mara huwa, ndivyo wanavyoweza kusema wapenzi wengi wa masumbwi duniani. Deontay kumkabili Fury Ni lile pambano la uzito wa juu duniani upande wa masumbwi lililoacha watu na fadhaa …
KWENYE michuano ya ligi ndogo ya mabingwa [UEFA Europa] kila timu ilikuwa ikiwinda bafasi ya pekee sana ili kuweza kupata alama ambazo zitaisaidia kuweza kukua na kufanya vizuri kwenye michezo …
Nyota wa mbio za magari, Lewis Hamilton anasema halijamjia kichwani mwake wazo la kuachana na mchezo huo wa Formula One siku yoyote ile. Anachoangalia kwake kwa sasa ni ufanisi zaidi …
Tenisi ni aina ya michezo ambayo ina heshima kubwa sana katika mataifa kama Marekani, Hispania na Japan kutokana na pato ambalo michezo hiyo huingiza kwa wachezaji na hata nchi hizo. …