Magoli 100 ya Haraka PL
Ligi kuu ya Uingereza imeshuhudia wachezaji wengi wakiweka historia ya kutikisa nyavu mara 100 wakiwa katika umri mdogo kabisa. Kama ilivyo ada kufikisha idadi hiyo ya magoli ni ndoto ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Ligi kuu ya Uingereza imeshuhudia wachezaji wengi wakiweka historia ya kutikisa nyavu mara 100 wakiwa katika umri mdogo kabisa. Kama ilivyo ada kufikisha idadi hiyo ya magoli ni ndoto ya …
Kinda wa Chelsea, Callum Hudson-Odoi amepata shavu kwenye kikosi cha uingereza chini ya miaka 21 kwa mara ya kwanza wakati kikosi hicho kikiandaliwa kuvaana na Poland na Ujerumani kwenye Michuano …
Liverpool wamefanikiwa kumuadhibu Bayern katika mchezo wao wa klabu bingwa Ulaya pale walipokutana na mpinzani wao huko Ujerumani. Liverpool walionekana kama kuzembea kutafuta magoli lakini wakiwaruhusu Bayern wacheze mpira watakavyo …
Wiki ya 30 ya gemu za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) imeendelea kuonesha ushindani mkubwa sana huku ikiendelea kutoa picha ngumu ya nani hasa atatwaa taji hilo kwa miamba …
Stori kali kwa wapenda soka wa Hispania sasa ni nani atakuwa meneja wa Real Madrid kuchukua nafasi ya Santiago Solari? Wadau wengi wamekuwa wakimpa nafasi sana aliyekuwa meneja wa Manchester …
Ni ndani ya wiki nyingine ya mzunguko wa pili ligi ya mabingwa barani Ulaya ambapo timu nane zitashuhudiwa zikiumana viwanjani huku kila moja ikitafuta nafasi ya kufuzu kuelekea hatua inayofuata. …
Ni ndani ya wiki nyingine ya mzunguko wa pili ligi ya mabingwa barani Ulaya ambapo timu nane zitashuhudiwa zikiumana viwanjani huku kila moja ikitafuta nafasi ya kufuzu kuelekea hatua inayofuata. …
Tottenham wameshuhudia matumaini yao ya kutwaa taji la Ligi Kuu Uingereza yakiyoyoma baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Burnley na Chelsea kabla hawajalazimisha sare na Arsenal. Harry Kane anakubali kuwa …
Hali imekuwa sio Hali wakati matumaini ya Real Madrid kutwaa taji la LaLiga msimu huu yakitoweka. Baadhi ya wadau wamekuwa wakilaumu kuwa Bale hafanyi kazi ile ambayo anatarajiwa kufanya klabuni …
Mauricio Pochettino aliingia dimnani leo dhidi ya Arsenal akiwa ameshapoteza matumaini kabisa ya kutwaa taji msimu huu. Kabla ya gemu ya leo alisisitiza kuwa Spurs wanahitaji muujiza labda ili waweze …
Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …
Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …
Jumamosi hii inakuja na gemu kabambe sana katika ulimwengu wa soka. Hapa nimekuwekea gemu kali za wikiendi hii kutoka Ligi Kuu ya Uingereza. Tottenham v Arsenal Spurs wanamkaribisha Arsenal kwenye …
Ligi ya Uingereza ni kati ya ligi zinazofuatiliwa sana na watu ulimwenguni kote. Kitu hicho kinaifanya ligi hiyo iweze kuwa maarufu zaidi siku zote. Lakini pia inaheshimika kwa kuwa na …
Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoheshimika duniani hasa upande wa soka. Ina wachezaji wengi wenye vipaji na uwezo mkubwa sana. Pamoja na hilo kuna wachezaji ambao hawajawahi kugusa majina yao …
Klabu ya Juventus ipo kwenye orodha ya klabu ambazo zinamilikiwa na wamiliki matajiri zaidi. Klabu hii inashikilia nafasi ya 3 kwenye chati wakati wapinzani wao Inter Milan wakiwa nafasi ya …
Kiungo wa PSG Adrien Rabiot ameamua kufanya maamuzi magumu klabu gani ataenda wakati akiripotiwa anawavutia klabu za Arsenal, Liverpool, Tottenham na Barcelona. Nyota huyu ambaye anazivutia klabu kubwa zaidi Ulaya …
Baadhi ya wachezaji mikataba yao ya kuendelea kutumikia klabu husika inaelekea ukingoni kukiwa na walakini wa baadhi yao kuongezewa mikataba hiyo ili kuendelea kuhudumu katika klabu hizo zaidi. Baadhi yao …
Katika upangaji wa pacha uliofanyika siku ya jana umeweza kutoa pacha ambazo kila timu itakutana nayo kwenye hatua ya tano ya michuano hiyo. Zikiwemo na klabu nyingine lakini hawa wawili …
Wiki ya raundi ya 4 ya FA Cup imewaacha vichwa chini baadhi ya watabe wa Ligi Kuu ya Uingereza wakilazimika kuwa watazamaji tu. Baadhi ya timu bado zinakabiliwa na kibarua …