Tottenham - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Magoli 100 ya Haraka PL

Daily News

Ligi kuu ya Uingereza imeshuhudia wachezaji wengi wakiweka historia ya kutikisa nyavu mara 100 wakiwa katika umri mdogo kabisa. Kama ilivyo ada kufikisha idadi hiyo ya magoli ni ndoto ya …

Callum Hudson-Odoi Ndani ya England U21

Football

Kinda wa Chelsea, Callum Hudson-Odoi amepata shavu kwenye kikosi cha uingereza chini ya miaka 21 kwa mara ya kwanza wakati kikosi hicho kikiandaliwa kuvaana na Poland na Ujerumani kwenye Michuano …

UCL: Kweli Wamedhamiria!

Champions League

Liverpool wamefanikiwa kumuadhibu Bayern katika mchezo wao wa klabu bingwa Ulaya pale walipokutana na mpinzani wao huko Ujerumani. Liverpool walionekana kama kuzembea kutafuta magoli lakini wakiwaruhusu Bayern wacheze mpira watakavyo …

Kurudi kwa UEFA

Champions League

Ni ndani ya wiki nyingine ya mzunguko wa pili ligi ya mabingwa barani Ulaya ambapo timu nane zitashuhudiwa zikiumana viwanjani huku kila moja ikitafuta nafasi ya kufuzu kuelekea hatua inayofuata. …

Kurudi kwa UEFA

Football

Ni ndani ya wiki nyingine ya mzunguko wa pili ligi ya mabingwa barani Ulaya ambapo timu nane zitashuhudiwa zikiumana viwanjani huku kila moja ikitafuta nafasi ya kufuzu kuelekea hatua inayofuata. …

Kane Amesanda Kuwa Wamefeli

Daily News

Tottenham wameshuhudia matumaini yao ya kutwaa taji la Ligi Kuu Uingereza yakiyoyoma baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Burnley na Chelsea kabla hawajalazimisha sare na Arsenal. Harry Kane anakubali kuwa …

Bale Anawapa Hasara Real Madrid

Daily News

Hali imekuwa sio Hali wakati matumaini ya Real Madrid kutwaa taji la LaLiga msimu huu yakitoweka. Baadhi ya wadau wamekuwa wakilaumu kuwa Bale hafanyi kazi ile ambayo anatarajiwa kufanya klabuni …

Ngoma Droo Spurs Wamshindwa Mgeni

Daily News

Mauricio Pochettino aliingia dimnani leo dhidi ya Arsenal akiwa ameshapoteza matumaini kabisa ya kutwaa taji msimu huu. Kabla ya gemu ya leo alisisitiza kuwa Spurs wanahitaji muujiza labda ili waweze …

Majanga ya Pochettino

Daily News

Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …

Majanga ya Pochettino

Football

Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …

EPL: Gemu Kubwa Jumamosi Hii

Daily News

Jumamosi hii inakuja na gemu kabambe sana katika ulimwengu wa soka. Hapa nimekuwekea gemu kali za wikiendi hii kutoka Ligi Kuu ya Uingereza. Tottenham v Arsenal Spurs wanamkaribisha Arsenal kwenye …

Wapewe Heshima Zao…

Football

Ligi ya Uingereza ni kati ya ligi zinazofuatiliwa sana na watu ulimwenguni kote. Kitu hicho kinaifanya ligi hiyo iweze kuwa maarufu zaidi siku zote. Lakini pia inaheshimika kwa kuwa na …

Nigeria: Ambao Hawajawahi Kucheza Huko

Football

Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoheshimika duniani hasa upande wa soka. Ina wachezaji wengi wenye vipaji na uwezo mkubwa sana. Pamoja na hilo kuna wachezaji ambao hawajawahi kugusa majina yao …

Rabiot Ameamua Kuchagua Timu

Football

Kiungo wa PSG Adrien Rabiot ameamua kufanya maamuzi magumu klabu gani ataenda wakati akiripotiwa anawavutia klabu za Arsenal, Liverpool, Tottenham na Barcelona. Nyota huyu ambaye anazivutia klabu kubwa zaidi Ulaya …

Je, Wataongeza Mikataba Yao?

Football

Baadhi ya wachezaji mikataba yao ya kuendelea kutumikia klabu husika inaelekea ukingoni kukiwa na walakini wa baadhi yao kuongezewa mikataba hiyo ili kuendelea kuhudumu katika klabu hizo zaidi. Baadhi yao …

1 2 3 99 100 101 102 103 104