Tottenham - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

PSG Wawasukuma Madrid!

Football

Klabu ya Real Madrid ipo katika kipindi kizito cha kuangalia aina ya wachezaji ambao wataisaidia klabu hiyo kurejesha heshima ya kunyanyua mataji. Wakiwa katika hatua hiyo lazima waangalie sokoni kuna …

Nani Atamfuata Hazard La Liga?

Football

Eden Hazard amekamilisha uhamisho wake kutoka Chelsea kwenda Real Madrid, akiongeza orodha ya wchezaji wakali walioandika historia kutoka Premier League kwenda La Liga. Hazard anajiunga na mabingwa mara 13 wa …

Makocha Walio Safarini…

Champions League

Vumbi la 2018/19 limeshatulia ndani ya ligi ya Uingereza sasa kilichobaki ni historia na nini kikatokea msimu ujao kwa klabu nyingine ambazo kwa hakika zimeonesha uwezo ambao hauendani na historia …

Trippier Kuziba Pengo la Cancelo Juve!

Football

Wakati klabu ya Juventus wakiripotiwa kuwa mbioni kusaini mkataba na meneja wa Chelsea, Maurizio Sarri kuna taarifa kutoka vyanzo tofauti vikiripoti kuwa wakali hawa wanatarajia kuwauza mastaa wawili Joao Cancelo …

Mpango wa Liverpool Kuwazima City

Champions League

Liverpool wanaandaa mpango kabambe wa kuwazima Manchester City na kuanza kushinda mataji matatu kwa kila msimu! Liverpool, licha ya kuanza vyema na kujiimarisha kileleni, wamejikuta wakimaliza kwa kuwasindikiza Manchester City …

Watupwa Nje Copa America 2019

COPA America 2015

Mashindano ya Copa America yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi huku kila timu ambayo inatarajia kushiriki ikiita nyota wake ambao walikuwa na msimu mzuri kwenye vilabu vyao. Brazil ni miongoni mwa timu …

Fununu za Usajili

Daily News

Eriksen anaonekana kusema ndiyo juu ya dili lake na Madrid, inasemekana Madrid tayari wamepiga hatua kumnasa nyota na kiungo mchezeshaji wa Tottenham mwenye uwezo wa aina yake na tayari hatua …

Taarifa Nzuri kwa United?

Champions League

Kama ripoti za Manchester City zitathibitika kwamba ni sahihi wanahusika na kitendo cha matumizi mabovu ya pesa kusajili kama kamati iliyopewa jukumu hilo itakiri wazi juu ya suala hilo basi …

Rekodi za Wagonga Vichwa

Champions League

Cristiano Ronaldo ni miongoni mwa wachezaji wanaohusishwa sana na matumizi makubwa ya kichwa chake katika kuzipa timu zake ushindi. Uwezo wake wa kuruka na kutumia kichwa chake unamfanya kukaa kwenye …

Usajili wa Bei Mbaya China

Champions League

Nchi ya China ina vilabu vingi ambavyo vina lengo la kuleta heshima katika soka na vinaonelea mbali sana katika uendelezaji wa soka ndani ya taifa. Wamekuwa nyuma sana upande wa …

Hii UEFA ya ‘Come Backs’

Champions League

Ni jambo la kihistoria sana ambalo ligi ya mabingwa Ulaya msimu huu imeweka. Imekuwa ni ligi ya kihistoria huku ikivunja zile zilikuwa zimezoeleka kwa timu nyingi na kwa mashabiki wengi …

Ajax Kupoteza Nyota…

Champions League

Mafanikio ya Ajax msimu huu yanaweza kuwagharimu kwa namna fulani pamoja na faida watakayokwenda kuitengeneza kwa kuzalisha nyota wenye uwezo mkubwa ambao kwa hakika wamerushiwa macho na kila klabu kubwa …

Valverde Amhofia Klopp!

Champions League

Kocha wa Barcelona, Ernesto Valverde anaona kabisa mechi yake na Liverpool itakuwa ni miongoni mwa mechi ngumu atakazokutana nazo kwenye michuano ya klabu bingwa. Anaenda kukutana na Liverpool ambao kwa …

Fununu za Usajili

Daily News

Kwa sasa ligi nyingi zipo kwenye hatua za mwisho kabisa kuhitimisha mizunguko yake katika ngazi zote za ndani ya ligi husika. Kukiwa katika hatua hiyo mara nyingi hupelekea klabu nyingi …

1 2 3 99 100 101 102 103 104 105 106
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.