EPL: Ratiba Nje Msimu Mpya 2019/20
Ratiba iko wazi msimu wa 2019/20. Msimu mpya wa Ligi Kuu ya Uingereza utaanza kwa Mabingwa wa Ulaya Liverpool kuwa wenyeji wa Norwich City Ijumaa ya Agosti 9 2019! Mbio …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Ratiba iko wazi msimu wa 2019/20. Msimu mpya wa Ligi Kuu ya Uingereza utaanza kwa Mabingwa wa Ulaya Liverpool kuwa wenyeji wa Norwich City Ijumaa ya Agosti 9 2019! Mbio …
Klabu ya Real Madrid ipo katika kipindi kizito cha kuangalia aina ya wachezaji ambao wataisaidia klabu hiyo kurejesha heshima ya kunyanyua mataji. Wakiwa katika hatua hiyo lazima waangalie sokoni kuna …
Eden Hazard amekamilisha uhamisho wake kutoka Chelsea kwenda Real Madrid, akiongeza orodha ya wchezaji wakali walioandika historia kutoka Premier League kwenda La Liga. Hazard anajiunga na mabingwa mara 13 wa …
Kwa mara ya kwanza katika historia klabu mbili kutoka Uingereza ziataumana ndani ya kombe hilo kubwa sana kwenye historia ambalo hukutanisha washindi wa vikombe viwili vya UEFA jambo ambalo huwa …
Vumbi la 2018/19 limeshatulia ndani ya ligi ya Uingereza sasa kilichobaki ni historia na nini kikatokea msimu ujao kwa klabu nyingine ambazo kwa hakika zimeonesha uwezo ambao hauendani na historia …
Uefa wametoa orodha ya kikosi chao cha UCL msimu wa mwaka 2018/19, Ronaldo amekuwa mchezaji pekee kutoka Serie A kuwakilisha kwenye kikosi hiki kinachowaunganisha mastaa kibao wa dunia. Watalamu wa …
Liverpool wametwaa Ubingwa wa Ulaya kwa mara ya sita, Baada ya miaka 14. Liverpool waliwalaza Tottenham Hotspurs bao 2-0 kwenye fainali ndani ya Madrid huku Alisson akitoa mchango mkubwa kufanikisha …
Wakati klabu ya Juventus wakiripotiwa kuwa mbioni kusaini mkataba na meneja wa Chelsea, Maurizio Sarri kuna taarifa kutoka vyanzo tofauti vikiripoti kuwa wakali hawa wanatarajia kuwauza mastaa wawili Joao Cancelo …
Liverpool wanaandaa mpango kabambe wa kuwazima Manchester City na kuanza kushinda mataji matatu kwa kila msimu! Liverpool, licha ya kuanza vyema na kujiimarisha kileleni, wamejikuta wakimaliza kwa kuwasindikiza Manchester City …
Mashindano ya Copa America yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi huku kila timu ambayo inatarajia kushiriki ikiita nyota wake ambao walikuwa na msimu mzuri kwenye vilabu vyao. Brazil ni miongoni mwa timu …
Nakuangushia baadhi ya rekodi matata zilizofikiwa na watu na timu tofauti kwenye Ligi Kuu ya Uingereza. Tiririka na rekodi zilizobamba EPL msimu wa 2018/19. Ole Gunnar ndani ya United: Ole …
Eriksen anaonekana kusema ndiyo juu ya dili lake na Madrid, inasemekana Madrid tayari wamepiga hatua kumnasa nyota na kiungo mchezeshaji wa Tottenham mwenye uwezo wa aina yake na tayari hatua …
Kama ripoti za Manchester City zitathibitika kwamba ni sahihi wanahusika na kitendo cha matumizi mabovu ya pesa kusajili kama kamati iliyopewa jukumu hilo itakiri wazi juu ya suala hilo basi …
Cristiano Ronaldo ni miongoni mwa wachezaji wanaohusishwa sana na matumizi makubwa ya kichwa chake katika kuzipa timu zake ushindi. Uwezo wake wa kuruka na kutumia kichwa chake unamfanya kukaa kwenye …
Nchi ya China ina vilabu vingi ambavyo vina lengo la kuleta heshima katika soka na vinaonelea mbali sana katika uendelezaji wa soka ndani ya taifa. Wamekuwa nyuma sana upande wa …
Baada ya miaka mingi ya kupuuzwa kwamba soka la Uingereza limeshuka na kupoteza hadhi yake sasa ni wakati wa kusema ile heshima ya soka la taifa hilo imerudi upya kwa …
Ni jambo la kihistoria sana ambalo ligi ya mabingwa Ulaya msimu huu imeweka. Imekuwa ni ligi ya kihistoria huku ikivunja zile zilikuwa zimezoeleka kwa timu nyingi na kwa mashabiki wengi …
Mafanikio ya Ajax msimu huu yanaweza kuwagharimu kwa namna fulani pamoja na faida watakayokwenda kuitengeneza kwa kuzalisha nyota wenye uwezo mkubwa ambao kwa hakika wamerushiwa macho na kila klabu kubwa …
Kocha wa Barcelona, Ernesto Valverde anaona kabisa mechi yake na Liverpool itakuwa ni miongoni mwa mechi ngumu atakazokutana nazo kwenye michuano ya klabu bingwa. Anaenda kukutana na Liverpool ambao kwa …
Kwa sasa ligi nyingi zipo kwenye hatua za mwisho kabisa kuhitimisha mizunguko yake katika ngazi zote za ndani ya ligi husika. Kukiwa katika hatua hiyo mara nyingi hupelekea klabu nyingi …