Uchambuzi: Ni Janga Kubwa Sana!
Klabu ya Tottenham imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono unaowafanya waendelee kujizatiti kileleni mwa ligi hiyo hadi sasa kwa kuweza kuwapiga Fulham 2-1; ushindi unaowafanya wakae vizuri katika nafasi yao ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Klabu ya Tottenham imefanikiwa kuibuka na ushindi mnono unaowafanya waendelee kujizatiti kileleni mwa ligi hiyo hadi sasa kwa kuweza kuwapiga Fulham 2-1; ushindi unaowafanya wakae vizuri katika nafasi yao ya …
Barcelona wanaripotiwa kuwa wamejiandaa kumnasa nyota wa Sassuolo Kevin Prince Boateng. Klabu hii wanaripotiwa kuwa mazungumzoni ili waweze kumnasa Boateng kwa mkopo wakiwa na makubaliano ya kumnunua moja kwa moja. …
Ni kauli ya kocha mkuu wa klabu ya Tottenham, Pochettino akizungumzia sakata la kuumia kwa mchezaji wao tegemezi na sakata zima la mipango yao ya kuongeza nyota wapya kikosini hapo. …
Klabu ya Tottenham inaripotiwa wapo katika uchunguzi wa kina juu ya sakata linaloripotiwa kuwa ni ubaguzi wa rangi uliokithiri kwa baadhi ya wachezaji wao. Mashabiki wanatajwa kuwa ni chanzo kikubwa …
Hapa tunakuletea stori kuhusu usajili Jumapili hii. Hapa zipo zile zinazosemwa hadharani na vilabu husika, makocha, wachezaji na mawakala wao. Lakini pia zipo zile za nyuma ya pazia ambazo bado! …
Kutokana na utafiti uliofanywa hivi karibuni, zimetoka takwimu mpya za wachezaji wanaolamba hela nyingi kwenye klabu wanazochezea. Hii inatokana na mishahara yao wanayolipwa na gharama zao za kuuziana kuwa juu …
Baada ya mizunguko mingine kukamilika na washindi kupatikana; klabu nyingi zitakuwa zinaelekea kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika mzunguko unaofuata. Katika mechi hizo itashuhudiwa timu kubwa zikimegana na timu kubwa …
Dirisha la uhamisho la Januari hii lipo wazi kuanzia Januari 1 hadi Januari 31. Fununu mbalimbali juu ya klabu gani inamfukuzia nani, klabu ipi imemsajili nani zinaendelea kukolea siku hadi …
Dirisha dogo la usajili limefunguliwa leo huku kukiwa na majina ya wachezaji yanayotazamwa kwa jicho la pekee kutoka ligi mbalimbali duniani. Baadhi ya wachezaji wanalazimisha kuzihama klabu zao wakiwa na …
“Kuna timu moja ambayo ipo juu kuliko timu zote za EPL na timu hiyo ni Man City. Ni ngumu sana kuwafikia hawa Man City msimu huu maana wao ni bora …
Imefafanuliwa na AS kuwa wakali wa Hispania, Real Madrid wanakazana sana ili waweze kumshawishi mchezaji kiungo wa kati kutokea Hispania, Brahim Diaz kuwatosa City! Diaz mwenye umri wa miaka 19 …
Kwa mujibu wa ripoti za gazeti la Telegraph zinadai kwamba kocha mkuu wa klabu ya soka ya Tottenham, Mauricio Pochettino amedokeza juu ya malengo yake ya kubakia klabuni pale mpaka …
Imesemekana kwamba klabu ya Juventus inahangaika sana kuweza kumnunua mchezaji beki mwenye umri wa miaka 21 kutokea Serbia, Nikola Milenkovic anayedaiwa kufukuziwa na vilabu vya Tottenham na Manchester United pia! …
Mirror wanaripoti kuwa klabu ya soka ya Chelsea imempatia kiungo N’Golo Kante wa Ufaransa mkataba mpya ikiwa ni jitihada zao za kuhakikisha kwamba Kante anabakia Stamford Bridge kwani anasakwa na …
Imebainishwa na Sun kuwa mchezaji kiungo wa kati wa Ubelgiji mwenye umri wa miaka 31, Mousa Dembele yupo tayari kuachia mkataba wake wa Tottenham ili ahamie kwenye Ligi ya China …
Inawezekana mwezi Januari ukawa na sajili kadhaa kwa klabu ya soka ya Tottenham baada ya kushindwa kufanya hivyo wakati wa dirisha kuu majira ya kiangazi. Daily News wamebainisha kwamba klabu …
Mchezaji nafasi ya kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Manchester City, Kevin de Bruyne yupo katika maandalizi ya kurudi dimbani kwa sababu sasa ameshapona jeraha lake alilopata miezi …
Mchezaji mshambulizi wa klabu ya soka ya Genoa, Krzysztof Piatek anajua kwamba klabu pinzani ya Barcelona inahitaji kumsajili ila kumezuka fununu kwamba klabu ya Manchester City, Tottenham Hotspur na Liverpool …
Kwenye historia ya UEFA Champions League kuna timu mbili tu ambazo zimefanikiwa kupachika mabao 300 au zaidi kwenye hatua ya makundi: Real Madrid (324) na Barcelona (301) mpaka sasa. Man …
Mara baada ya Sun kuripoti kuwa meneja wa klabu ya soka ya Manchester City, Pep Guardiola amempa onyo winga Leroy Sane akitaka asipoteze mwelekeo wake nao Daily Star wanaripoti kuwa …