Kabasele Huru Baada ya Rufaa
Rufaa ya Waford kuhusu kadi nyekundu aliyoipata Christian Kabasele katika kombe la ligi kwenye gemu dhidi ya Tottenham Jumatano imefanikiwa. Staa huyu alioneshwa kadi nyekundu dakika ya 81, gemu ambayo …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Rufaa ya Waford kuhusu kadi nyekundu aliyoipata Christian Kabasele katika kombe la ligi kwenye gemu dhidi ya Tottenham Jumatano imefanikiwa. Staa huyu alioneshwa kadi nyekundu dakika ya 81, gemu ambayo …
Nyota wa Barca, Samuel Umtiti hataweza kucheza gemu dhidi ya Athletic Club Bilbao jumamosi kutokana na kusumbuliwa na jeraha la goti. Mfaransa huyu alikuwa tayari ameikosa gemu ya katikati ya …
Klabu za Manchester United na Arsenal zinamuwinda kwa udi na uvumba mchezaji nafasi ya kiungo Arne Maier wa kati wa kikosi cha chini ya umri wa miaka 21 wa klabu …
Klabu ya Liverpool inayoongozwa na meneja Jurgen Klopp ina imani kwamba watakuwa imara zaidi wakati wanapokwenda kumenyana na wapinzani wao wakubwa Tottenham ambayo ni mechi ya mapema zaidi leo hii …
Imedaiwa na Telegraph kwamba klabu ya soka ya Tottenham Hotspurs inamfuatilia mchezaji beki wa klabu pinzani ya Leicester City, Ben Chilwell. Beki huyu mwenye umri wa iaka 21 kwa sasa …
Raheem Sterling ambaye ni mchezaji kiungo cha mbele wa klabu ya Manchester City amejitoa kwenye kikosi cha Uingereza kwenye mechi dhidi ya Hispania na Uswis zitakazoanza karibuni! Sababu ni nini? …
Mkurugenzi wa Barcelona bwana Ariedo Braida amewapiga mkwara Inter Millan kuwa wasitegemee mteremko wowote katika kundi lao kwenye Ligi ya mabingwa Ulaya. Inter Millan na Barcelona wamepangwa katika kundi moja …
Mshike mshike wa Klabu bingwa Ulaya 2018 /2019 umefunguliwa rasmi! Pazia limefunguliwa katika droo ya makundi, makundi yako wazi. Kila timu sasa inajua inakutana na mbabe gani katika msimu huu …
Mchezaji wa Tottenham Danny Rose anapambana kuendelea kuwepo Spurs kutokana na mafanikio ya timu hiyo. Danny alikuwa anatarajiwa kujiunga kwa mkopo Paris Saint-Germain au Marseille. Danny sasa anakataa dili la …
Man utd anamkaribisha Tottenham wa Pochettino pale Old Trafford, wote wamecheza mechi mbili mpaka sasa. Wakati Spurs akianza vizuri kwa kushinda mechi zake zote dhidi ya Newcastle United na Fulham, …
Rekodi ya Alan Shearer ya jumla ya magoli 206 inaweza kuvunjwa na vijana maridadi wanoendelea kuonekana katika orodha ya wafungaji wenye magoli mengi kwenye Primier League. Ifahamu hapa orodha ya …
Tottenham Hotspur wametangaza rasmi kuwa gemu yao ya mwanzo Katika ligi ya mabingwa ulaya itafanyika katika uwanja wa Wembley kufuatia mazungumzo baina yao na UEFA kukamilika. Mwazoni klabu hiyo ilidai …
Jose Mourinho anatakiwa kumpiga bei beki mmoja wa kati ili asajili wakali wengine kwenye timu yake ya Manchester United inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza. Amesema kuwa anataka msimu ujao awe …
Klabu ya Uturuki, Fenerbahce imewasilisha maombi ya kumfanyia usajili mchezaji mshambuliaji wa klabu ya EPL Ligi Kuu ya Uingereza, Tottenham na Uholanzi, Vincent Janssen. Janssen ana umri wa miaka 24 …
Klabu mbili za soka, Newcastle United na Tottenham zinaonekana zitakuja kumkosa kabisa mchezaji mshambuliaji wa klabu ya Nice na Ufaransa, Alassane Plea wakati ambao msakata kabumbu huyo ambaye ana umri …
Hizi hapa ni mechi za kirafiki watakazocheza Tottenham Hotspurs kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa EPL mwaka 2018/2019: Tottenham Hotspur / Pre-season 2018/19 26-7-2018/ AS Roma vs Tottenham …
Hii inakuja ikiwa ni baada ya wao kukosa kupenya mwaka 2014 ambapo sasa timu ya taifa ya Denmark inakwaana na mataifa kadhaa kuhakikisha wanafanikiwa kwenye Kombe la Dunia. Mchezaji Eriksen …
Kwa mujibu wa mtandao wa Sun imeripotiwa kwamba klabu ya kule Ligi Kuu ya Uingereza, Manchester City watafanya juu chini ili kukamilisha mpango wa kumnasa beki Dani Alves juma hili! …