This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Messi: Nina Hamu Kubwa ya Kuendelea Kupambana
Baada ya kibarua cha kutumikia taifa lake kwenye michuano ya kufuzu Kombe la Dunia, Lionel Messi sasa yupo tayari kurejesha majeshi PSG akipania kumaliza mwaka kwa ubora mkubwa. Messi alikosa …
Hii ni Ofa ya Man City kwa Frenkie de Jong
Manchester City wameripotiwa kuwa wamewasilisha ofa rasmi ya €90m (£75m) kwa nyota wa Barcelona Franke de Jong. De Jong amekuwa mchezaji muhimu wa Barcelona tangia alipowasili klabuni hapo mwaka 2019. …
Chelsea Wanamtaka Gavi Darajani
Staa wa Barcelona Gavi Baada ya kuonyesha kiwango cha kuvutia akiwa na Barcelona na timu ya taifa ya Spain sasa kiungo huyo ameripotiwa kuhitajika na klabu ya Chelsea ya ligi …
Klopp Aikumbusha Arsenal, Wanacheza Anfield.
Wakali wa soka wanakwambia “mind games” ni mbinu ya mchezo. Jurgen Klopp, Solskjaer, Guardiola na Tuchel ni miongoni mwa makocha wanaotumia mbinu hiyo. Liverpool watakua uwanjani Jumamosi hii kuwaalika Arsenal. …
Simba Ingemvumilia Gomez tu, Kocha Mpya Ataweza?
Binafsi niseme tu Simba lazima wakubali kwamba sasa hivi ligi imebadilika na ligi ni ngumu haswaa maana ligi ina pesa sasa hivi wasitarajie wepesi maana kila timu unayokutana nayo sasa …
Eric Garcia: Ninamuona Guardiola kwa Xavi
Nyota Eric Garcia amemfananisha meneja mpya wa Barcelona Xavi Hernandez na Pep Guardiola na Luis Enrique. Eric Garcia amefanya kazi chini ya meneja Pep Guardiola akiwa Manchester City, ambao aliachana …
Real vs Juventus kwa Julian Alvarez!
Nyota wa River Plate Julian Alvarez emeingia kwenye rada za vilabu vya Juventus na Real Madrid. Nyota huyu amekuwa kinara kwenye klabu ya River Plate kwa sasa, na kwa mujibu …
Antonio Conte Kama Wengine Tu Kwa Ndombele.
Linapotajwa jina Tanguy Ndombele, ujue ni mchezaji ghali kuwahi kusajiliwa Tottenham Hot Spur. Antonio Conte ni kama makocha waliomtangulia kwenye hili. Ndombele amekuwa akizua gumzo kwa nafasi yake ndani ya …
Yanga SC Yatua Mtwara Kuwavaa Namungo FC.
Klabu ya Yanga SC imewasili mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa Jumamosi, Novemba 20 katika uwanja wa Ilulu. Yanga SC …
EPL na NBC Wasaini Dili Nono.
Habari njema kwa mashabiki wa EPL, Premier League imesaini dili nono na kituo cha televisheni cha NBC kwa miaka 6 ijayo. NBC ni kituo cha televisheni cha nchini Marekani ambacho, …