This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Taifa Stars Dimbani Leo dhidi ya Madagascar.
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ jioni ya leo itashuka uwanjani Madagascar katika mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya kombe la Dunia. Mchezo huo utakaopigwa kuanzia saa …
Mourinho Siyo Tatizo Roma – Francesco Totti
Jose Mourinho siyo tatizo kwenye klabu ya AS Roma, na klabu na mashabiki kwa pamoja wanapaswa kumuunga mkono. Kwa mujibu wa Francesco Totti Roma walimteua Mourinho kuwa meneja mwezi Mei, …
Gallagher Aitwa Kwenye Kikosi cha Uingereza Watano Waachwa
Kiungo wa crystal Palace Conor Gallagher ameitwa kwenye kikosi cha Uingereza kwa mara ya kwanza na anatarajia kuwepo kwenye mchezo wa kesho jumatatu dhidi ya San Marino kwenye mchezo wa …
Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema, Manchester United wako tayari kumuuza kiungo wa kati wa Uingereza Jesse Lingard kwa £10m mwezi Januari. Meneja mpya wa Barcelona, Xavi anataka klabu hiyo kumsajili tena kiungo …
Glazers Kumbania Ole Gunnar Bajeti ya Usajili
Wamiliki wa klabu ya Manchester United, Familia ya Glazers wanaripotiwa kuwa hawajajiandaa kumpatia meneja Ole Gunnar pesa kwa ajili ya usajili wa dirisha la mwezi Januari. Licha ya kutumia pesa …
Matokeo ya Michezo ya Kufuzu Kombe la Dunia Qatar 2022
Matokeo ya ya michezo ya kufuzu kombe la dunia hapo jana tulishuhudia bingwa wa dunia akitoa kipigo cha kikali cha goli 8-0 huku kinda nyota Kylian Mbappe akiweka nyavuni goli …
Gareth Bale Afikisha Millenium
Gareth Bale amekuwa mchezaji wapili kwenye timu ya taifa ya Wales kuweza kufikisha michezo 100 ya kimataifa baada ya Chris Gunter. Gareth Bale hakuonekana kwa takribani kipindi cha miezi miwili …
Jemedari Saidi Bin Kazumari ni Yanga au Simba ? Tuambie!
Jemedari Saidi Bin Kazumari, Jina hili huenda sio geni masikioni mwako ukiwani moja ya watu wanaofatilia soka la Tanzania na hasa upande wa uchambuzi, Moja ya vitu ambavyo watu wengi …
Sheria ya Usawa Kiushindani Inatarajiwa Kuanzishwa EPL
Ligi kuu ya England ipo kwénye mipango ya kutunga sheria mpya za matumizi ya fedha kwa vilabu ili kuzipunguzia nguvu za matumizi makubwa ya fedha kwa timu za Newcastle united …
Dybala: Nimeshindwa Kuvumilia Zaidi!
Fowadi wa Juventus Paulo Dybala ametajwa kumwambia mchezaji mwenzake wa Argentina Angel Di Maria kwamba hangeweza ‘kuvumilia tena’ baada ya mchaka mchaka dhidi ya beki wa Uruguay Joaquin Piquerez. Piquerez …