Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema Antonio Conte ana mpango wa kuwasilisha ombi la kumsajili mshambuliaji wa Manchester City na Argentina Sergio Aguero, 32, ambaye kandarasi yake inatarajiwa kukamilika mwisho wa msimu huu. Tetesi …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Tetesi zinasema Antonio Conte ana mpango wa kuwasilisha ombi la kumsajili mshambuliaji wa Manchester City na Argentina Sergio Aguero, 32, ambaye kandarasi yake inatarajiwa kukamilika mwisho wa msimu huu. Tetesi …
Mataifa ya Uhispania na Ureno yameingia mkataba maalumu wa kuunda muungano wa kujipigia chapuo kuandaa michuano ya kombe la dunia (FIFA WORLD CUP) mwaka 2030. Awali katika muungano huo pia …
Tetesi zinasema Mshambuliaji wa Barcelona Ousmane Dembele 23 hakuwa na hamu ya kujiunga na Manchester United kabla ya kukamilika kwa dirisha la uhamisho na sasa anataka kujiunga na Juventus msimu …
Tetesi zinasema Bayern Munich inafanya mazungumzo na Chelsea kuhusu kumchukua winga wa England Callum Hudson-Odoi kwa mkopo. Lakini Chelsea imekataa dili hilo lililokuwa na kipengele cha kumnunua kwa pauni milioni …
Tetesi zinasema Tottenham wamekataa ofa ya mkopo wa pauni milioni 1.5 kutoka Paris St-Germain kwa ajili ya Dele Alli na mchezaji huyo, 24, anajiandaa kuendelea kusalia kwenye klabu hiyo ya …
Inaendelea.. Lazima ndani ya Barcelona kuna umoja, ukaribu na urafiki. Lakini aina ya mashabiki ambao Suarez atawakumbuka na mazoea kama mwanadamu wa kawaida, hivyo ni lazima kumwaga chozi. Yote sawa, …
Tetesi zinasema Mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich wamewasiliana na Brighton juu ya uwezekano wa makubaliano na beki wa kulia Tariq Lamptey, 19. Ofa ya Manchester United ya pauni milioni 91.3 …
MAMA mzazi wa Luis Suarez aitwaye Sandra alikuwa ni mfagizi katika moja ya kituo cha mabasi katika kitongoji cha Tres Cruzes Jiji la Montevideo nchini Uruguay na hakuwahi kukata tamaa …
Arsenal wanajiandaa kuwasilisha ofa mpya ya £36.5million kwaajili ya kushawishi Olympique Lyon ya Ufaransa kumwachilia kiungo Houssem Aouar, 22, kutua Emirates msimu huu. Jean-Michel Aulas ambaye ni rais wa Lyon, …
Diego Simeone amevutiwa na kasi aliyoanza nayo Luis Suarez na amevutiwa zaidi na asisti aliyotoa kuliko goli mbili alizofunga kwenye ushindi wa 6-1 dhidi ya Granada siku ya Jumapili. Suarez …
Luis Suarez amesema kwamba anajivunia baada ya Lionel Messi kumtetea kufuatia kuondoka kwake Barcelona kwenda Atletico Madrid. Suarez, 33 amejiunga na klabu ya Atletico kwa dau la Euro milioni sita …
Diego Godin amekamilisha uhamisho wake akitokea klabu ya Inter kwenda klabu ya Cagliari. Beki huyo wa kati wa Uruguay ametumia msimu mmoja pekee akiwa na vijana wa Antonio Conte kabla …
Tetesi zinaasema Manchester United wiki ijayo itaweka mezani dau la mwisho la £90m kwa ajili ya kujaribu kumsajili winga wa England Jadon Sancho, 20, kutoka Borussia Dortmund. Tetesi zinasema Arsenal …
Barcelona wamekubali kumwachilia mshambuliaji Luis Suarez ajiunge na washindani wakuu katika Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga), Atletico Madrid. Suarez hatakikani kabisa kambini mwa Barcelona ambao kwa sasa wanatiwa makali …
Tetesi zinasema mlinzi wa Brazil Alex Telles, 27, anataka kuondoka klabu ya Porto na kujiunga na Manchester United, ambao wanajaribu kushawishi kupunguziwa dau lake la £36.6m. Liverpool wanatazamiwa kumtumia mshambuliaji …
Jose Gimenez amepima na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona, klabu ya Atletico Madrid Yathibitisha. Mlinzi huyo wa Uruguay alikuwa ni mchezaji pekee aliyegundulika kuwa bado anamaambukizi baada ya …
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Uruguay Luis Suarez ameshtumiwa na vyombo vya Uhamiaji nchini Italia kuwa aliingia kufanya mtihani wa Uraia akiwa na majibu. Kwa mujibu Sky Italia imeripoti kuwa Suarez …
Giorgio Chiellini amesema asingependa kuongeza neno katika uvumi unao endelea wa Suarez kutua katika klabu ya Juventus msimu mpya wa Serie A lakini hatoongeza uvumi wa Suarez kutua Juventus. Juve …
UNAKUBALI KUWA ASILI YA SOKA NI CHINA? Mchoro wa mchezo wa kandanda katika makumbusho ya Linzi Kufika sasa ni dhahiri kuwa China ilikuwa na vilabu vya soka, sheria, na …
Imeripotiwa kuwa klabu ya Barcelona ipo katika mpango wa kutuma ofa kwa Inter Milan ili wamsajili mshambuliaji Lautaro Martinez. Hii ni baada ya meneja wa sasa Ronald Koeman kumfahamisha mu-Uruguay, …