This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Griezmann Aomba Radhi Madai ya Ubaguzi
Nyota wa Barcelona Antoine Griezmann ameripotiwa kuwa ameomba msamaha kwa mabosi wanaoifadhili Barcelona baada ya utani alioufanya uliotafsiriwa kama ubaguzi. Griezmann na mwanatimu mwenzake Ousmane DembΓ©lΓ©wametokea katika video iliyozua utata …
Messi Aionya Argentina Kuhusu Neymar!
Nyota wa Barcelona na Argentina Lionel Messi amewatumia ujumbe wa onyo wachezaji wenzake wa timu ta Taifa juu ya Neymar kuelekea fainali ya Copa America. Messi na wanatimu wenzake walipenya …
Ramos Ashatimba Ufaransa, Tayari kwa Ligue 1
Sergio Ramos anaripotiwa kuwa tayari ameshawasili Paris, akijiandaa na kusaini mkataba na miamba wa Ligue 1 Paris Saint-Germain. Ramos kwa sasa ni mchezaji huru tangia alipomaliza mkataba wake mwanzoni mwa …
Manyama : Azam Walikuwa na Kisu Kikali.
Beki Edward Manyama amefunguka ilivyokuwa baada ya mikikimikiki ya usajili wake kuhusishwa mara kasaini Simba, Azam FC na kutakiwa na Yanga. βNi kweli nilifuatwa na Simba na Yanga, lakini …
Ndoto Ya Neymar Yatimia Copa America 2021
Hatimaye ndoto ya mchezaji wa PSG na Brazil, Neymar imetimia, baada ya timu yake ya Brazil kutinga fainali, Neymar alitangaza kwamba ndoto yake kubwa ni kucheza fainali dhidi ya Argentina …
Coutinho Awekwa Sokoni na Barcelona.
Klabu ya Barcelona inaripotiwa kuwa tayari kukubali ofa katika eneo la pauni milioni 20 kwa kiungo wa nje anayependelea zaidi Philippe Coutinho. Licha ya kuondoka Liverpool kwa pauni milioni 142 …
Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema,mchezaji wa Manchester City na England, Raheem Sterling yuko tayari kuondoka klabuni hapo. Lakini meneja Pep Guardiola anataka winga huyo mwenye umri wa miaka 26 kubakia Etihad, licha …
Pep Abwaga Manyanga Usaili wa Mshambuliaji
Ndio kusema Pep Guardiola amekata tamaa au City wameondolewa kwenye ramani ya kumpata mrithi wa Aguero msimu huu? Hakuna usajili wa mshambuliaji, 2021/22. Man City walikuwa sokoni kutafuta mrithi wa …
NBA Finals: Suns Waanza Kwa Ushindi
Ikiwa ni mara ya kwanza kwa Phoenix Suns kucheza fainali ya NBA toka 1993, Suns wameanza vyema mchezo wa kwanza kwa kuwafunga Milwaukee Bucks. Chris Paul baada ya miaka 16 …
Gareth Bale Kuachana na Soka, 2022.
Nyota wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Wales, Gareth Bale, anaripotiwa kuachana na soka la vilabu ifikapo Juni, 2022. Bale amerejea Madrid baada ya kumaliza msimu mmoja wa …