This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Martinez: Ni Ngumu Kusema Lini Hazard Atakuwa Tayari
Eden Hazard alicheza dakika 10 tu katika mechi ya mwisho ya kirafiki ya Ubelgiji kabla ya Mashindano ya Euro 2020, lakini kocha Roberto Martinez alisisitiza kuwa lengo lao ni kumuona …
Paratici Kuwa Mkurugenzi wa Michezo wa Tottenham
Vyanzo vinaweza kuthibitisha kuwa Fabio Paratici atasaini makubaliano ya kuwa mkurugenzi mpya wa michezo wa Tottenham wiki hii. Paratici alitumia miaka 11 iliyopita akihudumu kama afisa mkuu wa mpira wa …
Mbappe: Hernandez Aliniambia Nijiunge na Bayern
Kylian Mbappe amezungumza juu ya Bayern Munich wakati akielezea kwamba Lucas Hernandez amemshawishi ajiunge na miamba ya Bundesliga. Mbappe amehusishwa sana na uhamisho wa pesa nyingi kwenda Real Madrid kabla …
FA Yapata Mwenyekiti Mwanamama Kwa Mara ya 1
Hatimaye zile harakati za kuhakikisha wanawake wanakuwa kwenye nyanja mbalimbali duniani zimeanza kuonekana kwenye michezo, hii ni baada ya mwanamama Debbie Hewitt kutangazwa kuwa mwenyekiti wa chama cha soka cha …
Donny Van De Beek Kuikosa Euro 2020.
Ni muendelezo wa msimu mbaya kwa kiungo wa Man United na timu ya Taifa ya Uholanzi, Donny Van De Beek. Majeruhi kumkosesha nafasi ya kucheza Euro 2020. Van De Beek …
Jesse Lingard, Uungwana ni Vitendo.
Mchezaji wa Man United, Jesse Lingard ambaye aliponesha kiwango safi baada ya kujiunga na West Ham United, ameonesha ukomavu katika soka. Ama hakika, uungwana ni vitendo. Lingard alimaliza msimu wa …
Liverpool Wawasilisha Ofa kwa Lorenzo Pellegrini
Liverpool wamewasilisha ofa ya awali ya £26m kwa nyota wa Roma Lorenzo Pellegrini, wakati wakitafuta mbadala wa Georginio Wijnaldum. Pellegrini amemvutia Jurgen Klopp kwa kufanya kwake vizuri msimu uliopita, Liverpool …
Vodacom Yajitoa Udhamini Ligi Kuu VPL
Wadhamini wakuu wa ligi kuu Tanzania bara, Vodacom wameamua kujitoa kwenye udhamini wa ligi hiyo kutokana na kinachosemakana kuwa wanapata hasara kubwa kwenye udhamini huo. Taarifa hiyo imekuja baada ya …
Harry Kane Ataondoka kwa Pesa Tu Spurs!
Nyota wa Harry Kane anatajwa kuwa ataruhusiwa kuondoka Tottenham Hotspurs ikiwa malipo yatakuwa ni taslimu pekee. Nyota huyu wa miaka 27 amekuwa akihusishwa zaidi na kuondoka London Kaskazini, huku kukiwa …
Novak Djokovic Aponea Kwenye Tundu La Sindano.
Kunako muendelezo wa Roland Garros, almanusura Novak Djokovic ayaage mashindano mbele ya kijana wa miaka 19 raia wa Italia. Djokovic alijitutumua kupindua matokeo yaliyomnusuru asiyaage mashindano ya French Open katika …