Uruguay - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema Paris St-Germain imeahidi kutoa pauni milioni 25 pamoja na pauni milioni 5 za ziada kwa beki wa kulia wa Arsenal Hector Bellerin, huku Bayern Munich na Juventus pia …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema Manchester City wanajiandaa kulipa kiasi cha pauni Milioni 450, ili kuweza kusajili Lionel Messi ikiwa ni mpango wa kumsajili kwa miaka mitano na sehemu ya mkataba huo kujiunga …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema Baba yake Lionel Messi amewasili nchini Uingereza kuzungumzia kandarasi ya miaka miwili na klabu ya Manchester City baada ya mshambuliaji huyo wa Argentina ,33, kusema kwamba anataka kuondoka …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema Manchester City wameingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsaka kiungo wa kati wa Bayern Munich. Manchester United wamesitisha kwa muda biashara ya kuwahamisha wachezaji huku wakijaribu kusaini mkataba na winga …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema Chelsea inataka kuingiza pauni milioni 65 kwa kuwauza wachezaji wake ili kupata fedha za kumnasa mchezaji wa nafasi ya ulinzi anayekipiga West Ham Declan Rice. Wakati huo huo …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema Kiungo wa kati wa Southampton James Ward-Prowse,25, amekubali dili jipya ambalo litamfanya kusalia na kabu hiyo mpaka mwaka 2025. Winga wa Leicester City na timu ya taifa ya …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema Benfica imesitisha azma yake ya kumsaka mshambuliaji Edinson Cavani, 33, huku mchezaji huyo aliyekuwa Paris St-Germain akidai karibu pauni milioni 18 kwa kila msimu. Chelsea imekuwa ikimfuatilia mlinzi …

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Daily News

Tetesi zinasema Mshambuliaji wa Aston Villa raia wa Tanzania Mbwana Samatta, 27, huenda akaelekea Fenerbahce baada ya kushindwa kuiridhisha Villa Park tangu alipojiuga nao Januari. Chelsea imejitayarisha kutoa ofa kwa …

Cavani na Silva Kuondoka PSG

Daily News

Edinson Cavani na Thiago Silva wanajiandaa kuondoka Paris St-Germain kipindi hiki cha Kiangazi baada ya kumalizika kwa michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Agosti. Straika wa Uruguay, Cavani, 33, ameweka …

Tetesi za Usajili

Daily News

Leicester wamempa ofa ya mkataba wa muda mrefu kiungo wa Liverpool Adam Lallana. Muingereza huyo mkataba wake na Anfield unamalizika Juni. Real Madrid hawajapokea ofa yoyote kumhusu Mshambuliaji wa Wales, …

Chelsea Kumwania Waldschmidt

Bundesliga

Chelsea watafungua mazungumzo na Freiburg juu ya mpango wa kumsajili mshambuliaji wao, Luca Waldschmidt, kulingana na ripoti huko Ujerumani. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 23 amefunga mabao sita katika …

Tetesi za Usajili

Football

Inter Milan wanatarajia kumuomba mshambuliaji wa Ufaransa Antoine Griezmann, 29 kubadilishana na straika wao Lautaro Martinez kama Barcelona watajaribu kumsaini mchezaji huyo wa Argentina. Barca watajaribu kumsaini mshambuliaji wa Sweden, …

1 2 3 10 11 12 13 14