Barcelona Kupeleka Ofa ya Mwisho kwa Martinez.
Imeripotiwa kuwa klabu ya Barcelona ipo katika mpango wa kutuma ofa kwa Inter Milan ili wamsajili mshambuliaji Lautaro Martinez. Hii ni baada ya meneja wa sasa Ronald Koeman kumfahamisha mu-Uruguay, …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Imeripotiwa kuwa klabu ya Barcelona ipo katika mpango wa kutuma ofa kwa Inter Milan ili wamsajili mshambuliaji Lautaro Martinez. Hii ni baada ya meneja wa sasa Ronald Koeman kumfahamisha mu-Uruguay, …
Tetesi zinasema Paris St-Germain imeahidi kutoa pauni milioni 25 pamoja na pauni milioni 5 za ziada kwa beki wa kulia wa Arsenal Hector Bellerin, huku Bayern Munich na Juventus pia …
Tetesi zinasema Manchester City wanajiandaa kulipa kiasi cha pauni Milioni 450, ili kuweza kusajili Lionel Messi ikiwa ni mpango wa kumsajili kwa miaka mitano na sehemu ya mkataba huo kujiunga …
Tetesi zinasema Baba yake Lionel Messi amewasili nchini Uingereza kuzungumzia kandarasi ya miaka miwili na klabu ya Manchester City baada ya mshambuliaji huyo wa Argentina ,33, kusema kwamba anataka kuondoka …
Tetesi zinasema Manchester City wameingia kwenye kinyang’anyiro cha kumsaka kiungo wa kati wa Bayern Munich. Manchester United wamesitisha kwa muda biashara ya kuwahamisha wachezaji huku wakijaribu kusaini mkataba na winga …
Tetesi zinasema Chelsea inataka kuingiza pauni milioni 65 kwa kuwauza wachezaji wake ili kupata fedha za kumnasa mchezaji wa nafasi ya ulinzi anayekipiga West Ham Declan Rice. Wakati huo huo …
Tetesi zinasema Kiungo wa kati wa Southampton James Ward-Prowse,25, amekubali dili jipya ambalo litamfanya kusalia na kabu hiyo mpaka mwaka 2025. Winga wa Leicester City na timu ya taifa ya …
Tetesi zinasema Benfica imesitisha azma yake ya kumsaka mshambuliaji Edinson Cavani, 33, huku mchezaji huyo aliyekuwa Paris St-Germain akidai karibu pauni milioni 18 kwa kila msimu. Chelsea imekuwa ikimfuatilia mlinzi …
Tetesi zinasema Mshambuliaji wa Aston Villa raia wa Tanzania Mbwana Samatta, 27, huenda akaelekea Fenerbahce baada ya kushindwa kuiridhisha Villa Park tangu alipojiuga nao Januari. Chelsea imejitayarisha kutoa ofa kwa …
Mshambuliaji wa Barcelona Luis Suarez amekiri klabu hiyo imekubali kushindwa kwenye mbio za taji la LaLiga, sasa wanajipanga kupigania ndoo ya Ligi ya mabingwa. Sare 3 katika michezo yao tisa …
Luis Suarez. Staa wa soka wa timu ya taifa ya Uruguay ambaye kwa sasa anaichezea FC Barcelona ya Hispania, Ni moja ya wachezaji waliopitia msoto, akiwa na umri wa miaka …
Kocha mkuu wa klabu ya Barcelona amemwagia sifa mshambuliaji wa kimataifa kutoka nchi ya Uruguay kwa kuingia kwenye orodha ya wafungaji bora wa muda wote baada ya kufungu bao la …
Edinson Cavani na Thiago Silva wanajiandaa kuondoka Paris St-Germain kipindi hiki cha Kiangazi baada ya kumalizika kwa michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Agosti. Straika wa Uruguay, Cavani, 33, ameweka …
Leicester wamempatia kiungo wa kati wa Liverpool Adam Lallana, ofa ya mkataba wa kudumu. Mkataba wa kiungo huyo wa kimataifa wa England, Anfield unakamilika mwisho wa mwezi Juni. (Football Insider) …
Leicester wamempa ofa ya mkataba wa muda mrefu kiungo wa Liverpool Adam Lallana. Muingereza huyo mkataba wake na Anfield unamalizika Juni. Real Madrid hawajapokea ofa yoyote kumhusu Mshambuliaji wa Wales, …
Mwafrika gani hakusimama kuishangilia safari ya kwenda nusu fainali ile July ya tarehe 2 2010? Kila mtu alijua kazi imeisha. Kwa mara ya kwanza waafrika tunaenda nusu fainali. Mioyo yetu …
Uruguay ni wapambanaji haswa hawa jamaa kucheza nao unahitaji ujitoe mwili na akili , timu yao imekaa kipambanaji na sio kiufundi embu kumbuka kidogo ule msako waliofanyiwa na Ghana pale …
Tarehe 16/7/1950 ilianza kama siku nyingine tu , pale mitaani na vijiwe vingi Brazil stori ilikua moja tu fainali ya kombe la dunia dhidi ya Uruguay pale Estadio de Maracana …
Stori za El Classico! Kinachobamba kwenye mechi Real Madrid na Barcelona wanapokutana. _ Yule mtoto,Yule mbrazil, yule Vinicius Junior anastahili kuwa namba moja hapa kabisa. Msimu wa pili akicheza Madrid …
Chelsea watafungua mazungumzo na Freiburg juu ya mpango wa kumsajili mshambuliaji wao, Luca Waldschmidt, kulingana na ripoti huko Ujerumani. Nyota huyo mwenye umri wa miaka 23 amefunga mabao sita katika …