This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Man City Waunga Tela Kumfukuzia Lukaku!
Klabu ya Manchester City inatajwa kuwa na nia ya kumrejesha nyota wa Inter Milan, Romelu Lukaku kwenye ligi kuu uingereza katika dirisha hili la usajili. Nyota huyu amekuwa kwenye fomu …
Manchester United Wautaka Ubingwa Europa, Wapiga Roma 6
Timu ya Manchester United imeonesha nia yake ya kuutaka ubingwa wa Europa League baada ya kumpiga As Roma bao 6-2 katika mechi ya mkondo wa kwanza pale Old Trafford hapo …
Tanzania Kuingiza Timu 4 Mashindano ya CAF.
Tanzania inatarajiwa kuingiza timu nne katika mashindano ya CAF msimu ujao baada ya timu ya Simba SC kufanikiwa kutinga katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani afrika. …
Nabi wa Yanga Aipania Tanzania Prison FA.
Baada ya kutoka kichwa chini mbele ya Lambalamba Azam FC, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, ameanza mikakati mipya na safu yake ushambuliaji kutokana na kukosa umakini wa kutumia nafasi …
Mahrez Afikia Rekodi ya Brahimi Katika UEFA
Riyad Mahrez ameifikia rekodi ya Yacine Brahimi ya kuwa mchezaji bora wa Algeria katika historia ya Champions League kwa kufikisha mabao 8 baada ya kufunga bao la pili dhidi ya …
Simba :Ame Afungiwa Mechi 3 na TPLB.
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemfungia mchezaji wa Simba SC, Ibrahim Ame Mohamed michezo mitatu na faini ya Sh500, 000 kwa …
Kane:Nataka Kushinda Mataji Zaidi
Mchezaji wa Tottenham Hotspurs, Harry Kane amesema kwamba anatamani kuwa kwenye timu inayochukua mataji mengi. Kane aliyasema hayo katika mahojiano na chombo kimoja cha habari baada ya timu yake kupoteza …
Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema, Manchester United bado wanataka kufanya usajili wa winga wa kulia mwishoni mwa msimu, huku mchezaji nyota wa timu ya taifa ya England na klabu ya Borussia Dortmund, Jadon …
Marsch Achaguliwa Kuwa Kocha wa Leipzig Msimu Ujao
RB Leipzig imethibitisha kumchagua Jesse Marsch kuwa kocha mkuu mpya baada ya kuondoka kwa Julien Nagelsmann kwenda Bayern Munich. Nagelsmann ameachana na Leipzig na kutimkia kwa mahasimu wao wa Bundesliga …
Europa League: Takwimu Mechi ya Villarreal vs Arsenal
Siku ya Alhamisi meneja wa Villarreal na mshindi mara tatu wa Ligi ya Europa watakuwa na nafasi ya kupata nafasi kucheza na klabu yake ya zamani kwenye mashindano ambayo kwa …