This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Zimbwe Jr, Bocco Bado Wapo Simba Mpaka 2023
Baada ya sokomoko la muda mrefu kuhusu hatima ya Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’, kuhusu mkataba wake kusalia na miezi miwili huku akihusishwa kuondoka klabuni hapo hatimaye aongeza mkataba kusalia klabuni …
Simba : FCC Ilikwamisha Mambo Mengi, Tuko Pazuri.
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Salim Abdallah ‘Try Again’ anaelezea namna mchakato umekwama kwa muda katika Tume ya Ushindani wa Biashara (FCC). “Tumekuwa tukifanya mazungumzo …
Iheanacho Aiweka Leicester Mgongoni
Kelechi Iheanacho amewasogeza karibu zaidi Leicester City kwenye mbio za kumaliza kwenye nne bora katika Ligi Kuu England baada ya kuwapa ushindi juzi. Leicester City walipata ushindi wa mabao 2-1 …
Simba Hatushuki Kileleni – Matola
Kocha Msaidizi wa Simba, Seleman Matola ameibuka na kutoa kauli ya kibabe kwa wapinzani wao kwamba watakachokifanya ni kutotoka katika nafasi ya kwanza waliyopo kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara …
Guardiola: Neymar Aliondoka na Mataji Barcelona.
Meneja Pep Guardiola anaamini Barcelona ingeshinda mataji mawili au matatu ya Ligi ya Mabingwa endapo wangeweza kumshawishi mshambuliaji wao Neymar asiondoke. Barcelona ilimsajili Neymar mwenye umri wa miaka 21 mnamo …
Bado Tunaimani Dhidi ya Chelsea – Zidane
Zinedine Zidane, Kocha Mkuu wa Real Madrid amesema kuwa kwa kuwa bado wanaishi wana imani watakwenda kupata matokeo chanya kwenye nusu fainali ya pili dhidi ya Chelsea katika UEFA Champions …
Usiku wa Torres Pale Camp Nou
Barcelona walikuwa wanaongoza mbili kwa moja dhidi ya Chelsea. Hapo John Terry ametolewa nje mapema sana. Kumbuka mechi ya kwanza darajani Chelsea walishinda kwa bao pekee la Didier Drogba. Kama …
Mikel Arteta Awaunga Mkono Wamiliki Arsenal.
Kumeendelea kuwepo na maandamano ya mashabiki wa klabu ya Arsenal kwa siku za karibuni wakishinikiza mmiliki wa timu hiyo kuondoka. Mikel Arteta ana picha ya tofauti. Tangu kuibuka kwa sakata …
Brendan Rodgers Aipiga Chini Spurs.
Kocha wa Leicester City, Brendan Rodgers amesema hana mpango wa kuzungumza kuhamia Tottenham kwa sasa kwa kuwa anaamini timu yake ipo katika nafasi nzuri ya kushiriki michuano mikubwa. Rodgers amekuwa …
Manchester: Ryan Giggs Akataa Mashtaka.
Kutoka jiji la Manchester, kocha wa timu ya Taifa ya Wales ambaye pia alikuwa mchezaji wa Man United, Ryan Giggs, amesomewa mashtaka dhidi yake na ameyakataa mashtaka hayo. Giggs anashtakiwa …