Maddison na Chilwell Shakani.
James Maddison na Ben Chilwell wapo katika mashaka makubwa ya kuukosa mchezo siku Jumanne, Leicester City watakapo safiri kukabiliana na Arsenal kwenye mchezo wa Premier League, amesema Brendan Rodgers kocha …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
James Maddison na Ben Chilwell wapo katika mashaka makubwa ya kuukosa mchezo siku Jumanne, Leicester City watakapo safiri kukabiliana na Arsenal kwenye mchezo wa Premier League, amesema Brendan Rodgers kocha …
Mchezo wa soka umeshika hatamu mwishoni mwa karne ya 19 katika miaka ya 1850 mpaka 1900. Ndio kipindi ambacho mchezo huu pendwa zaidi duniani ulianzishwa na vilabu vingi vikongwe duniani …
Borussia Dortmund wako mbioni kukamilisha dili la kumsajili mchezaji wa Birmingham city, Jude Bellingham kwa mkataba wa miaka mitano na Ada ya uhamisho euro millioni 21. Kinda hilo lililotimiza miaka …
Ole Gunnar Solskjaer anatarajia kuona magoli mengi yakifungwa na Marcus Rashford katika klabu ya Manchester United. Mchezaji huyo wa Uingereza amefunga magoli 22 katika timu ya Taifa na klabu kwa …
Valencia wanavutiwa na kumsajili kipa wa Chelsea, Kepa Arrizabalaga ambaye hatma yake huko Stamford Bridge Iko matatani huku Chelsea ikiendeleza juhudi zao kujaribu kumsajili Mlinda lango wa Kimataifa wa …
Valencia wanavutiwa na kumsajili kipa wa Chelsea, Kepa Arrizabalaga ambaye hatma yake huko Stamford Bridge Iko matatani huku Chelsea ikiendeleza juhudi zao kujaribu kumsajili Mlinda lango wa Kimataifa wa Cameroon, …
Baada ya kuifunga Norwich City hadi Extra time jana, Manchester United wamefika nusu fainali yao ya 30 ya Kombe la FA, ndio mara nyingi zaidi ya klabu nyingine yoyote kwenye …
Ulishawahi kujua viwanja vipi ni bora duniani vya soka Duniani? Unaweza kuwa ulifahamu baadhi ambavyo ulihisi ni bora zaidi. Hii hapa orodha ya viwanja bora duniani ambayo inakubaliwa na watu …
KLABU ya Borussia Dortmund itahitaji kulipwa pauni 115milioni ili kumuuza mchezaji wa England mwenye umri wa miaka 20 Jadon Sancho. (Telegraph) Winga wa Crystal Palace na Ivory Coast Wilfried Zaha, …
Kocha wa Stoke City Michael O’Neill amepima na kukutwa na maambukizi ya Covid-19 kwenye raundi ya kupima hivi karibuni. Mpango wa mechi ya kirafiki kati ya Stoke na Manchester United …
Meneja wa Stoke City, Michael O’Neill amepatikana na virusi vya Corona baada ya vipimo. Stoke City walikuwa kwenye maandalizi ya mechi ya kirafiki dhidi ya Manchester United. Mechi hii tayari …
Beki wa Watford, Adrian Mariappa amesema ni moja ya watu watatu walipatikana na virusi vya Corona kwenye klabu. Ikiwa ni siku kadhaa mchezaji mwenzake Deeney amekataa kurejea mazoezi kwa kuogopa …
Cantona? Henry? Kante? Unadhani ni nani kati ya mastaa wengi ambaye ametokea katika taifa la Ufaransa na akafanya vyema akiwa katika ligi kuu ya Uingereza, EPL? Jumla ya wanasoka 207 …
Mshambuliaj Wolves, Raul Jimenez, 28, amesema itakuwa ngumu kukataa ofa kutoka kwenye vilabu vya Hispania Real Madrid and Barcelona. Golikipa wa Manchester United, Dean Henderson, 23, ambaye ametumikia kwa mkopo msimu 2019.20 …
Straika wa Everton Moise Kean, 20, amehusishwa kujiunga na Napoli. Kean anaweza kuchukuliwa hatua za nidhamu na Everton baada ya kuvunja sheria serikali kuhusu Virusi vya Corona mapema wiki hii. …
Wakati ligi nyingi zikiwa zimesimsmishwa kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na kirusi cha Corona (COVID 19), ni kipindi ambacho makocha wa timu mbalimbali wanakitumia …
Mshambuliaji wa RB Leipzig na Ujerumani, Timo Werner, 24, yupo tayari kujiunga na Liverpool kama vinara hao wapo tayari kulipa £52m. Kiungo wa Chelsea na Brazil, Willian, 31, yupo kwenye …
Kiburi, jeuri na kujiona bora ndiyo maisha halisi ya mshambuliaji wa Kiitaliano mwenye asili ya Ghana, Mario Balotelli. Hapendi kujishusha, daima yeye hujiona yupo juu kuliko wengine, Wabongo tunasema kwamba …
Matajiri wa klabu ya Chelsea walionekanna kutokupendezwa na mwenendo wa klabu hiyo kutokana na kupokea vichapo mara kadhaa kitu ambacho kwao siyo cha kawaida kabisa. Kutokana na kelele hizo ikawa …
Wakati Argentina wanapewa uenyeji wa Kombe la dunia 1978 walihitaji utulivu mkubwa kwenye Jiji la Buenos Aires, ndipo Dikteta Juan Carlos Ongania aliagiza maskini wote watolewe katikati ya jiji na …