Manchester City - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Maddison na Chilwell Shakani.

Champions League

James Maddison na Ben Chilwell wapo katika mashaka makubwa ya kuukosa mchezo siku Jumanne, Leicester City watakapo safiri kukabiliana na Arsenal kwenye mchezo wa Premier League, amesema Brendan Rodgers kocha …

Jude Bellingham Kutua Rasmi Dortmund.

News

 Borussia Dortmund wako mbioni kukamilisha dili la kumsajili mchezaji wa Birmingham city, Jude Bellingham kwa mkataba wa miaka mitano na Ada ya uhamisho euro millioni 21. Kinda hilo lililotimiza miaka …

Viwanja Bora Duniani vya Soka

Champions League

Ulishawahi kujua viwanja vipi ni bora duniani vya soka Duniani? Unaweza kuwa ulifahamu baadhi ambavyo ulihisi ni bora zaidi. Hii hapa orodha ya viwanja bora duniani ambayo inakubaliwa na watu …

O’Neill Akutwa na Corona

Daily News

Kocha wa Stoke City Michael O’Neill amepima na kukutwa na maambukizi ya Covid-19 kwenye raundi ya kupima hivi karibuni. Mpango wa mechi ya kirafiki kati ya Stoke na Manchester United …

Mariappa na Corona

Daily News

Beki wa Watford, Adrian Mariappa amesema ni moja ya watu watatu walipatikana na virusi vya Corona kwenye klabu. Ikiwa ni siku kadhaa mchezaji mwenzake Deeney amekataa kurejea mazoezi kwa kuogopa …

Tetesi za Usajili

Bundesliga

Mshambuliaj Wolves, Raul Jimenez, 28, amesema itakuwa ngumu kukataa ofa kutoka kwenye vilabu vya Hispania Real Madrid and Barcelona. Golikipa wa Manchester United, Dean Henderson, 23, ambaye ametumikia kwa mkopo msimu 2019.20 …

Tetesi za Usajili

Football

Straika wa Everton Moise Kean, 20, amehusishwa kujiunga na Napoli. Kean anaweza kuchukuliwa hatua za nidhamu na Everton baada ya kuvunja sheria serikali kuhusu Virusi vya Corona mapema wiki hii. …

Tetesi za Usajili

Daily News

Mshambuliaji wa RB Leipzig na Ujerumani, Timo Werner, 24, yupo tayari kujiunga na Liverpool kama vinara hao wapo tayari kulipa £52m. Kiungo wa Chelsea na Brazil, Willian, 31, yupo kwenye …

Balotelli Amechagua Mwenyewe…

Champions League

Kiburi, jeuri na kujiona bora ndiyo maisha halisi ya mshambuliaji wa Kiitaliano mwenye asili ya Ghana, Mario Balotelli. Hapendi kujishusha, daima yeye hujiona yupo juu kuliko wengine, Wabongo tunasema kwamba …

Carlos Tevez- Nabii Anae Kubalika Kwao

Football

Wakati Argentina wanapewa uenyeji wa Kombe la dunia 1978 walihitaji utulivu mkubwa kwenye Jiji la Buenos Aires, ndipo Dikteta Juan Carlos Ongania aliagiza maskini wote watolewe katikati ya jiji na …

1 2 3 141 142 143 144 145 146
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.