This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Milan Mazungumzoni na Mario Mandzukic
Wakurugenzi wa AC Milan, Paulo Maldini na Frederic Massara wanaripotiwa kuwa wanafanya mazungumzo na wakala wa aliyekuwa nyota wa Juventus Mario Mandzukic. Kwa mujibu wa chapisho la Calciomercato, mkurugenzi wa …
Rudiger na Hatma Yake Ndani ya Chelsea.
Beki wa Ujerumani, Antonio Rudiger Imeripotiwa kuwa hawezi kuruhusiwa kuondoka Chelsea majira haya ya baridi endapo fikayo Tomori ataondoka kwa mkopo. Hatma ya Rudiger kuondoka Kwa mkopo au jumla …
Bayern Munich Yatupwa Nje DFB-Pokal Cup.
Mshtuko wa Bayern Munich wa DFB-Pokal kupoteza kwa Holstein Kiel ulimwacha Hansi Flick “akiwa amekata tamaa” lakini kocha mkuu alisisitiza kwamba mabingwa wa Ujerumani na Ulaya lazima waendelee kusonga mbele. …
Ryan Garcia Ataka Pambano na Pacquiao.
Ryan ‘Kingry’ Garcia anasema anataka kupigana na Manny Pacquiao baada ya kumpiga Gervonta ‘Tank’ Davis mwaka huu. Ingawa Garcia mwenye rekodi ya (21-0, 18 KO) anasema anamheshimu bingwa wa zamani …
Lyon: Kwaheri Dembele, Karibu Slimani.
Klabu ya Lyon inayocheza ligi soka nchini Ufaransa – Ligue 1, imethibitisha kuondoka kwa Moussa Dembele na kumkaribisha Islam Slimani . Dembele amejiunga na Atletico Madrid kwa mkopo huku akitazamia …
Rasmi: Moussa Dembele Ajiunga na Atletico Madrid
Atletico Madrid imetangaza rasmi usajili wa Moussa Dembele kwa mkopo kutoka Lyon hadi mwisho wa kampeni za msimu wa 2020/21. Mfaransa huyo anajiunga na Los Rojiblancos kuziba pengo la …
Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema wawakilishi wa kiungo wa kati wa Manchester United na England Jesse Lingard, 28, wamefanya mazungumzo ya awali kuhusu uhamisho wake wa mkopo kwenda Nice, lakini mazungumzo rasmi …
Nuno Espirito Santo, Unasepa Wolves???
Wakala Jorge Mendes anatajwa kuwa kwenye harakati za kutafuta timu nyingine kunako EPL kwa ajili ya kocha Nuno Espirito Santo Hii ni habari ya kushtua kidogo kufuatia kocha huyo kusaini …
Manara Awakejeli Yanga kwa Kutwaa Mapinduzi Cup.
Msemaji wa Simba SC Haji Manara amewapongeza kwa kejeli Young Africans (Yanga SC) kwa kutwaa Kombe la Mapinduzi 2021. Yanga iliifunga Simba kwenye mikwaju ya penati baada ya kwenda sare …
Spanish Super Cup: Barca Kumsubiri Madrid au Bilbao.
Mambo yanazidi kunoga kunako ligi soka nchini Hispania. Vijana wa Catalunya – Barcelona FC wametinga fainali ya Spanish Super Cup kwa ushindi dhidi ya Real Sociedad. Barca anafuzu hatua ya …