Koeman: Sina Hakika kama Messi Atacheza Jumapili.
Daily News

Kocha mkuu wa Barcelona Ronald Koeman hana ukakika kama Lionel Messi atapatikana katika fainali ya Supercopa de Espana siku ya Jumapili. Messi alikosekana katika ushindi wa mikwaju ya penati Jumatano …

Soma zaidi
Pochettino Abeba Taji Kwa Mara Ya Kwanza.
Daily News

Mauricio Pochettino kwa mara ya kwanza amebeba kombe kwenye maisha yake ya kuwa kocha. Muagentina huyo ameondoa ukata baada ya PSG kuwaburuza Marseille jana usiku. PSG walikuwa wakichuana na Olympic …

Soma zaidi
Barcelona Wanahusishwa na Saini ya Aguero
Football

Barcelona wanahusishwa na uhamisho wa nyota wa Manchester City na Argentina Sergio Aguero kwa mujibu wa vyanzo vya habari za michezo kutoka Uingereza. Mkataba wa nyota huyu kwa sasa na …

Soma zaidi
Juventus Wakamilisha Rasmi Usajili wa Dabo
Daily News

Juventus wametangaza kukamilisha dili la kumsajili kinda Abdoulaye Dabo ambaye anaungana na kikosi cha vijana U23 cha Juventus. Winga huyu ambaye ni raia wa Ufaransa amekamilisha uhamisho wake wa mkopo, na …

Soma zaidi
Conte: Inter Wamestahili Kufuzu Robo Fainali
Daily News

Meneja wa Inter Milan, Antonio Conte anasisitiza kuwa Inter walistahili kwa sifa zote kabisa  katika robo fainali ya Coppa Italia na walikuwa na nafasi ya kuwachapa Fiorentina katika mda wa …

Soma zaidi
City Wanaunga Tela kwa Juve Saini ya Locatelli
Champions League

Manchester City wanaripotiwa kuwa wamungana na Juventus kwenye mbio za kuiwania saini ya kiungo wa Sassuolo Manuel Locatelli kwa dau la €35m. Nyota huyu ambaye ni zao la akademi ya …

Soma zaidi
Madrid Yatenga Pauni 200 Mil. Kwaajili ya Mbappe.
Daily News

  Klabu ya Real Madrid iko tayari ‘kumpandilia dau Mbappe’ na ‘wako tayari kulipa pauni milioni 200’. Mpango wa muda mrefu wa Real Madrid wa kumnasa Kylian Mbappe kutoka Paris …

Soma zaidi
Neymar Arejea Mazoezini PSG.
Daily News

  Nyota wa Paris Saint-Germain, Neymar amerejea mazoezini Jumatatu hii ikiwa ni kuongeza nguvu kwa maandalizi ya Ligue 1 kwa pambano la Trophée des Champions na Marseille. Neymar anasemekana Kuwa …

Soma zaidi
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali.
Daily News

Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali Tarehe 13 January 2021. Ratiba: England – Premier League 21:00 Manchester City vs Brighton & Hove Albion 23:15 Tottenham Hotspur vs Fulham Netherlands – …

Soma zaidi
Dembele Kutangazwa Atletico Madrid.
Daily News

Baada ya mshambuliaji Diego Costa kuamua kuondoka Atletico Madrid, majirani hawa wa Real Madrid walizirusha ndoano zao kule Ligue 1 wakimlenga Moussa Dembele wa Olympique Lyonnais. Usajili wa Dembele utakuwa …

Soma zaidi