This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Koeman: Sina Hakika kama Messi Atacheza Jumapili.
Kocha mkuu wa Barcelona Ronald Koeman hana ukakika kama Lionel Messi atapatikana katika fainali ya Supercopa de Espana siku ya Jumapili. Messi alikosekana katika ushindi wa mikwaju ya penati Jumatano …
Pochettino Abeba Taji Kwa Mara Ya Kwanza.
Mauricio Pochettino kwa mara ya kwanza amebeba kombe kwenye maisha yake ya kuwa kocha. Muagentina huyo ameondoa ukata baada ya PSG kuwaburuza Marseille jana usiku. PSG walikuwa wakichuana na Olympic …
Barcelona Wanahusishwa na Saini ya Aguero
Barcelona wanahusishwa na uhamisho wa nyota wa Manchester City na Argentina Sergio Aguero kwa mujibu wa vyanzo vya habari za michezo kutoka Uingereza. Mkataba wa nyota huyu kwa sasa na …
Juventus Wakamilisha Rasmi Usajili wa Dabo
Juventus wametangaza kukamilisha dili la kumsajili kinda Abdoulaye Dabo ambaye anaungana na kikosi cha vijana U23 cha Juventus. Winga huyu ambaye ni raia wa Ufaransa amekamilisha uhamisho wake wa mkopo, na …
Conte: Inter Wamestahili Kufuzu Robo Fainali
Meneja wa Inter Milan, Antonio Conte anasisitiza kuwa Inter walistahili kwa sifa zote kabisa katika robo fainali ya Coppa Italia na walikuwa na nafasi ya kuwachapa Fiorentina katika mda wa …
City Wanaunga Tela kwa Juve Saini ya Locatelli
Manchester City wanaripotiwa kuwa wamungana na Juventus kwenye mbio za kuiwania saini ya kiungo wa Sassuolo Manuel Locatelli kwa dau la €35m. Nyota huyu ambaye ni zao la akademi ya …
Madrid Yatenga Pauni 200 Mil. Kwaajili ya Mbappe.
Klabu ya Real Madrid iko tayari ‘kumpandilia dau Mbappe’ na ‘wako tayari kulipa pauni milioni 200’. Mpango wa muda mrefu wa Real Madrid wa kumnasa Kylian Mbappe kutoka Paris …
Neymar Arejea Mazoezini PSG.
Nyota wa Paris Saint-Germain, Neymar amerejea mazoezini Jumatatu hii ikiwa ni kuongeza nguvu kwa maandalizi ya Ligue 1 kwa pambano la Trophée des Champions na Marseille. Neymar anasemekana Kuwa …
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali.
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali Tarehe 13 January 2021. Ratiba: England – Premier League 21:00 Manchester City vs Brighton & Hove Albion 23:15 Tottenham Hotspur vs Fulham Netherlands – …
Dembele Kutangazwa Atletico Madrid.
Baada ya mshambuliaji Diego Costa kuamua kuondoka Atletico Madrid, majirani hawa wa Real Madrid walizirusha ndoano zao kule Ligue 1 wakimlenga Moussa Dembele wa Olympique Lyonnais. Usajili wa Dembele utakuwa …