This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
United Yatupwa Nje Carabao Cup.
Manchester United wameendelea walipoishia 2020, hii ni baada ya kutolewa kwenye nusu fainali ya Carabao Cup. United wanapoteza mchezo wa 4 mfululizo kwenye hatua ya nusu fainali wakiwa chini ya …
Xherdan Shaqiri Hatarajiwi Kuondoka Liverpool Januari
Liverpool wanaripotiwa kuwa sasa hawataweza kutemana na Xherdan Shaqiri kwenye dirisha la uhamisho la mwezi Januari. Nyota huyu raia wa Switzerland alikuwa anatarajiwa kuwa yupo mbioni kuondoka Anfield mwezi huu …
Kumnasa Jack Grealish, United Watahitaji Takribani £90m
Manchester United wanahitaji kujiandaa kuwa tayari kutumia £90m kama wakihitaji kuinasa saini ya Jack Grealish kutoka Aston Villa. Nyota huyu mwenye uraia wa Uingereza bado anaendelea kuhusishwa na uhamisho wa …
Inter Miami Wawasiliana na Phil Neville
Inter Miami wanaripotiwa kuwa wamejaribu kufanya mawasiliano na meneja wa timu ya taifa ya wanawake ya Uingereza kwa ajili ya kibarua cha umeneja klabuni hapo. Taarifa zinasema kuwa mazungumzao ya …
Simba Yaichapa FC Platinum, Yafuzu Makundi
Mabingwa wa Tanzania, Simba SC wamefanikiwa kwenda hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ushindi wa 4-0 dhidi ya FC Platinums ya Zimbabwe leo Uwanja wa Benjamin …
Spurs Yatinga Fainali ya Carabao Cup.
Pengine huu ukawa na msimu mzuri kwa Tottenham Hotspurs wakiwa na Jose Mourinho. Ushindi dhidi ya Brentford umewavusha hatua ya nusu fainali. Spurs ametinga hatua ya fainali ya mashindano ya …
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali.
Ratiba ya Soka Leo Ligi Mbalimbali Tarehe 06 January 2021. Ratiba: England – EFL Cup 22:45 Manchester United vs Manchester City France – Ligue 1 21:00 Brest vs Nice 21:00 …
Norris Akutwa na Maambukizi ya COVID19.
Bado hali si shwari kutokana na wimbi la maambukizi ya COVID19 sehemu mbalimbali duniani. Dereva wa McLaren – Lando Norris amekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Lando ambaye kwa sasa …
Shevchenko Atajwa Kuchukua Mikoba ya Lampard Chelsea.
Baada ya kufanya vibaya katika mechi 5 zilizopita tetesi zinasema Legendi wa Chelsea, Andy Shevchenko anatajwa kuchukua mikoba ya Lampard endapo kocha huyo ataondoka klabuni hapo. Mmiliki wa klabu …
Slaven Bilic Ndani Ya Chinese Super League.
Baada ya kutimuliwa kwenye kikosi cha West Brom, kocha raia wa Croatia – Slaven Bilic amekabidhiwa kikosi cha timu ya Beijing Guoan. Zikiwa ni wiki 3 tu zimepita tangu aondolewe …