Ballon d\'Or - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Viungo Bora na Hatari Duniani

Football

Wapenzi wa soka duniani wanashuhudia soka bora kabisa kutokana na uwezo wa wachezaji ambao wamezaliwa na viwango vya aina yake. Baadhi ya nyota ambao wanasumbua vichwa mbalimbali vya habari hadi …

Nani Anastahili Kubaki?

Champions League

Kadri siku zinavyozidi kusogea basi umri, mikataba na mapendeleo ya wachezaji kiendelea kukaa ndani ya klabu wanazozitumikia yanafutika taratibu sana. Jambo hilo mara nyingi huongeza mgandamizo fulani kwa kikosi husika …

Magoli 100 ya Haraka PL

Daily News

Ligi kuu ya Uingereza imeshuhudia wachezaji wengi wakiweka historia ya kutikisa nyavu mara 100 wakiwa katika umri mdogo kabisa. Kama ilivyo ada kufikisha idadi hiyo ya magoli ni ndoto ya …

Pogba na Madrid

Champions League

Furaha ya mchezaji katika maisha yake ya soka ni kuona kwamba anatengeneza wasifu wa pekee ambao huweza kuwa tofauti na mtu mwingine kitu ambacho humfanya yeye kuwa na upekee fulani …

Viungo Bora na Hatari Duniani

Champions League

Wapenzi wa soka duniani wanashuhudia soka bora kabisa kutokana na uwezo wa wachezaji ambao wamezaliwa na viwango vya aina yake. Baadhi ya nyota ambao wanasumbua vichwa mbalimbali vya habari hadi …

Zidane Apata Baraka

Champions League

Huku mabishano yakiwa bado yanaendelea duniani juu ya yupi bora kati ya Messi na Ronaldo kuna wengine wanaendelea kulishikia nyundo jambo hilo kwa kuona kwamba hakuna haja ya kuendelea kuwazungumzia …

Messi ni Nyota wa Kizazi Hiki!

Champions League

Huku mabishano yakiwa bado yanaendelea duniani juu ya yupi bora kati ya Messi na Ronaldo kuna wengine wanaendelea kulishikia nyundo jambo hilo kwa kuona kwamba hakuna haja ya kuendelea kuwazungumzia …

Zidane Ametema Boko Kuhusu CR7?

Football

Meneja wa klabu ya Real Madrid, ambaye anaiongoza klabu hiyo baada ya kurejea mara ya pili amesema kuwa klabu hiyo hai ‘mmisi’ mchezaji kama Ronaldo. Real Madrid walishindwa kupeta na …

Messi Ahesabu Nyingine!

Champions League

Nyota raia wa Argentina na klabu ya Barcelona, Lionel Messi ameshinda tuzo nyingine ya Ballon d’Or baada ya kuwashinda wapinzani wake aliokuwa akichuana nao. Ikumbukwe kwamba kulikuwa na kundi kubwa …

Utabiri wa Drogba kwa Neymar na Mbappe

Football

Didier Drobga ana imani kuwa washambuliaji wa PSG, Neymar na Kylian Mbappe kwa pamoja watashinda tuzo ya heshima ya Ballon d’Or kwenye maisha yao ya soka. Wawili hawa wamekuwa wakitawala …

Mchezaji Bora wa Kiume FIFA

Champions League

Usiku wa kuamkia leo shirikisho la soka la dunia lilimtangaza mchezaji wao wa mwaka ambaye ameweza kutwaa tuzo ya kuwa mchezaji aliyeonesha mchango mkubwa ndani ya soka kwa msimu uliopita, …

Messi ni Mchezaji Huru!

Champions League

KWA sasa mambo yote hadharani juu ya nyota wa klabu ya Barcelona ambaye wengi wanaamini kwamba yeye ni mchezaji wa maisha yote ndani ya klabu hiyo na kwamba hana uwezo …

Nani Anastahili Kubaki?

Champions League

KADRI siku zinavyozidi kusogea basi umri, mikataba na mapendeleo ya wachezaji             kuendelea kukaa ndani ya klabu wanazozitumikia yanafutika taratibu sana. Jambo hilo mara nyingi huongeza mgandamizo fulani kwa kikosi …

1 2 3 12 13 14 15 16 17