This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Unaikumbuka Kesi Hii ya McGregor?
Mpiganaji wa ndondi mchanganyiko McGregor aliwekwa kizuizini na na polisi wa America baada ya kuripotiwa kuwa alipokonya na kuivunja kwa makusudi simu ya shabiki nje ya klabu ya usiku ya …
Son Kurejea Baada ya Mechi Za Kimataifa
Kocha wa Tottenham – Jose Mourinho, anategemea mchezaji wake Son Heung-min atarajea tena uwanjani baada ya michezo ya kimataifa mwezi ujao. Son alipata majeruhi katika mchezo wa EPL dhidi ya …
Safari ya Mo Ibrahim na Wimbo wa Mfalme
Ni mara chache sana Msanii kutoka Tanga akaja Mzizima kisha akaimba visivyoeleweka, niliwahi kumsikia Khamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ na mitaa ikamuita Choir Master, kabla hata ya Roma Mkatoliki, am happy …
Droo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
Kesho Oktoba 1 mosi itafanyika droo ya kupanga makundi kwa ajili ya msimu mpya wa klabu bingwa ulaya. Tukio hilo litafanyika huko Nyon Uswizi majira ya saa 11 jioni. Mabingwa …
Messi: Wote Tunatakiwa Kuungana
Baada ya sekeseke la kutaka kuondoka Barcelona, nahodha wa timu hiyo – Lionel Messi, amekubaliana na hali na sasa anawasihi watu wote kuungana na kuleta mafanikio kwenye timu hiyo. Mapema …
Schalke 04 Yawinda Kocha Mpya, Baum Apigiwa Upatu.
Baada ya kumuachisha kazi David Wagner Schalke 04 wanamtafuta kocha mpya kwa kasi ili kuendeleza msimu wa Bundasiliga ulioanza wiki mbili zilizopita. Anayepigiwa upatu ni kocha wa zamani wa Augsburg …
Lampard Akerwa na Matokeo dhidi ya Tottenham.
Frank Lampard, Kocha Mkuu wa Chelsea amesema kuwa kupoteza kwake mbele ya Tottenham Hotspurs kumemvuruga kwa kuwa walianza kushinda ndani ya dakika 45 za mwanzo. Mchezo huo wa Kombe …
French Open: Djokovic na Tsitsipas Wang’ara
Mashindano ya Roland Garos – French Open 2020 yanaendelea kutimua vumbi nchini Ufaransa. Mchezaji namba 1 kwa ubora duniani – Novak Djokovic na Stefanos Tsitsipas wanaendelea kung’ara katika mashindano haya. …
Bayern vs Dortmund Ndani ya DFL Super Cup.
Miamba ya kandanda ya Ujerumani Bayern Munich na Borussia Dortmund ziliangukia pua mwishoni mwa wiki katika mechi zao za ligi kuu Bundesliga lakini wana fursa ya kurejea tena haraka kwenye …
Tetesi za Soka Barani Ulaya.
Tetesi zinasema Mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich wamewasiliana na Brighton juu ya uwezekano wa makubaliano na beki wa kulia Tariq Lamptey, 19. Ofa ya Manchester United ya pauni milioni 91.3 …