This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Naomi Osaka Hatashiriki French Open 2020
Mwanadada bingwa wa US Open, Naomi Osaka hatashiriki michuano ya French Open mwaka huu baada ya kupata jeraha. Mwanadada huyu, mmoja kati ya vijana wenye uwezo mkubwa kwenye tenisi akiwa …
Garner Ajiunga na Watford
Wakati ambapo hali ya sintofahamu inaendelea kutawala Old Trafford. Mchezaji kinda – James Garner amejiunga na Watford kwa mkopo. Garner ambaye amekuwa na msimu mzuri kwenye kikosi cha wachezaji wa …
Sancho Anaweza Kuwa Bora Kama Ronaldo.
Jadon Sancho ana viwango vyote kuja kuwa mchezaji mzuri kama Christiano Ronaldo, hii ni kwa mujibu wa mchezaji mwenzake wa Dortmund Raphael Guerreiro. Muingereza huyo wa kimataifa Sancho amejipatia umaarufu …
Fernandes: Ninaweza Kumsaidia Ronaldo
Kiungo wa Man United na timu ya taifa ya Ureno – Bruno Fernandes, amenukuliwa akisema anaweza kumsaidia Cristiano Ronaldo kuweka rekodi duniani. Fernandes na Cristiano Ronaldo wanacheza pamoja kwenye kikosi …
Uchambuzi: Bayern Munich vs Schalke.
Miamba ya Ujerumani Bayern wanampango wa kubeba Bundesliga mara ya tisa mfululizo kwa msimu 2020-21 na usiku wa leo watawakaribisha Schalke katika dimba la Allianz Arena. Mabingwa hao wa Ulaya …
Solskjaer: Haukuwa Muda Sahihi kwa Greenwood
Ole Gunnar Solskjaer hajapendezwa na uamuzi wa Gareth Southgate kumuita Greenwood kwenye kikosi cha timu ya taifa – Uingereza. Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa kwanza wa EPL …
Chiellini ni Nguzo ya Juventus -Vieri
Giorgio Chiellini ni nguzo ya Juventus! Nyota wa zamani wa Italia, bwana Christian Vieri anaamini kuwa kapteni wa Juventus Giorgio Chiellini ni sehemu muhimu mno ya kikosi cha Juventus. Kwa …
Emil Roback Aliwatema Arsenal Kujiunga Milan
Nyota kinda aliyesajiliwa na AC Milan hivi karibuni Emil Roback amebainisha kuwa aliitema klabu ya Arsenal na kuamua kujiunga na klabu hiyo. Nyota huyu mwenye miaka 17, ambaye ameenda kuungana …
Barca Watashinda LaLiga Lakini kwa Mbinde- Schuster.
Kiungo wa zamani wa Barcelona Bernd Schuster amesema anaweza akaona timu hiyo ikipambana kushinda taji la LaLiga msimu huu 2020-21 lakini kwa nafasi ndogo. Barca walimaliza msimu 2019-20 bila kushinda …
Farah Kukosa Mbio za Mita 5,000 za Olimpiki, Tokyo.
Bingwa mara nne wa Olimpiki, Mo Farah, amethibitisha kwamba hatakuwa sehemu ya wanariadha watakaonogesha mbio za mita 5,000 kwenye Michezo ya Olimpiki itakayoandaliwa jijini Tokyo, Japan mnamo 2021. Farah, 37, …