Morata Hafai Kwenda Atletico -Schuster
Msakata kabumbu wa zamani ambaye kwa sasa ni meneja wa DL Yifang Bernd Schuster anaamini kuwa Alvaro Morata sio aina ya mchezaji ambaye anatakiwa kwenda Atletico Madrid. Morata ambaye anacheza …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Msakata kabumbu wa zamani ambaye kwa sasa ni meneja wa DL Yifang Bernd Schuster anaamini kuwa Alvaro Morata sio aina ya mchezaji ambaye anatakiwa kwenda Atletico Madrid. Morata ambaye anacheza …
Nigeria ina wachezaji nyota wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya mipaka ya nchi hiyo. Kwa sababu hiyo wana kipato kikubwa ambacho kinawafanya waweze kutimiza mahitaji yao ya kila siku. …
Duniani kuna aina fulani ya wachezaji ikitokea kuna mmoja wapo unamchukia yupo mwingine ambaye kwa namna youote ile lazima umpende. Hii ni kutokana na ushindani, uwezo au kuna wakati aliwahi …
Mshambuliaji wa Genoa, Krzysztof Piatek anatarajiwa kuingia AC Milan kuziba pengo lililoachwa na Gonzalo Higuain ambaye tayari anaripotiwa kwenda Chelsea kukamilisha dili lake la mkopo. Piatek anatarajiwa kuwafuata kwa paundi …
Cole [38] anaonekana kutaka kuungana na mchezaji mwenzake wa kipindi cha nyuma Lampard katika klabu ya Chelsea. Wachezaji hao waliachana kwa kitambo kidogo baada ya kustaafu soka la ushindani pale …
Liverpool wapo mbioni kufukuzia saini ya mchezaji kinda wa Benfica Joao Felix [19], lakini juhudi zao zinaonekana kutaka kugonga mwamba kutokana na klabu hiyo kuona bado inamhitaji mchezaji huyo katika …
Klabu hiyo wapo sokoni kwa sasa kutaka kumnasa mchezaji huyo raia wa Tanzania kwa udi na uvumba kutokana na uwezo wake. Samatta amekuwa akizungumziwa sana na klabu nyingi barani Ulaya …
Kila mtu huwa ni mpenzi wa aina fulani ya mchezo ambapo; hujisikia ufahari mkubwa hata anapochagua timu fulani ya kuishangilia katika aina hiyo ya mchezo. Mpira wa miguu pia upo …
Ni kauli ya kocha mkuu wa klabu ya Tottenham, Pochettino akizungumzia sakata la kuumia kwa mchezaji wao tegemezi na sakata zima la mipango yao ya kuongeza nyota wapya kikosini hapo. …
Imani ni kitu ambacho kipo nafsini mwa mtu mwenyewe, na hakuna mtu anayeweza kumlazimisha mwingine afanye kitu kingine bila hiari yake. Katika soka pia haya mambo yapo; mchezaji anayeamini katika …
Hapa tunakuletea stori kuhusu usajili Jumapili hii. Hapa zipo zile zinazosemwa hadharani na vilabu husika, makocha, wachezaji na mawakala wao. Lakini pia zipo zile za nyuma ya pazia ambazo bado! …
Barcelona wameanza kuwachokonoa Chelsea kwa kuonesha nia ya kutaka kumsajili Willian kikosini mwao. Ripoti hizo za mchezaji huyo kuanza kuhusishwa na klabu hiyo zimeibua sura mpya hii ni baada ya …
Kutokana na utafiti uliofanywa hivi karibuni, zimetoka takwimu mpya za wachezaji wanaolamba hela nyingi kwenye klabu wanazochezea. Hii inatokana na mishahara yao wanayolipwa na gharama zao za kuuziana kuwa juu …
Aliyekuwa meneja wa Manchester United, Jose Mourimho anaendelea kuteka vichwa vingi vya habari licha ya kutokuwa na kibarua chochote kwa sasa. Mourinho anatawala vichwa kwa kuhusishwa na klabu mbalimbali zikiwemo …
Baada ya mizunguko mingine kukamilika na washindi kupatikana; klabu nyingi zitakuwa zinaelekea kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika mzunguko unaofuata. Katika mechi hizo itashuhudiwa timu kubwa zikimegana na timu kubwa …
Sevilla wanaripotiwa kuvutiwa na nyota wa chelsea Alvaro Morata, lakini kuna ugumu uliopo katika jitihada za kuinasa saini yake klabuni hapo. Klabu hii ilitaka kumpata nyota huyu kwa mkopo kwa …
Klabu kubwa zimeendelea kufanya vizuri katika michezo iliyokwishachezwa kwa kuondoka na matokeo yanayowafanya waweze kusonga mbele zaidi. Ole Gunnar Solskjaer ameweza kuendeleza historia ya ushindi ndani ya kikosi hicho tangu …
Kila linapokaribia dirisha la usajili kila klabu huwa makini kuchunguza mapungufu na wachezaji wanaofanya vizuri katika timu pinzani ili waweze kuziba mapungufu yanayoonekana katika timu zao. Tukiwa tunaelekea dirisha la …
Inapokaribia Januari kunakuwa na maingizo mapya katika vikosi vya timu mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi ya majina ya wachezaji yaliyowahi kusajiliwa Januari [kipindi cha nyuma] na kufanya vizuri sana katika ngazi …
Dirisha dogo la usajili limefunguliwa leo huku kukiwa na majina ya wachezaji yanayotazamwa kwa jicho la pekee kutoka ligi mbalimbali duniani. Baadhi ya wachezaji wanalazimisha kuzihama klabu zao wakiwa na …