Moto Unawaka EPL! Kunani Mtaa wa 7?
Wiki ya 30 ya gemu za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) imeendelea kuonesha ushindani mkubwa sana huku ikiendelea kutoa picha ngumu ya nani hasa atatwaa taji hilo kwa miamba …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Wiki ya 30 ya gemu za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) imeendelea kuonesha ushindani mkubwa sana huku ikiendelea kutoa picha ngumu ya nani hasa atatwaa taji hilo kwa miamba …
Zinedine Zidane ameendelea kuzipa moto taarifa za yeye kuwa kwenye mazungumzo na klabu ya Juventus ambayo anatajwa kuwa namba moja kwenye nani atarithi kliti cha meneja wa klabu hiyo, inadaiwa …
Ligi ya Uingereza inaendelea kusuka pesa za kutosha kwa sasa huku ikiendelea kuwalipa wachezaji wake vizuri ili kuwavuta waendelee kukaa katika vikosi vyao na kutoa huduma stahiki. Dili mbalimbali …
All right. Well, take care yourself. I guess that’s what you’re best, presence old master? A tremor in the Force. The last time felt it was in the presence of …
Tottenham wameshuhudia matumaini yao ya kutwaa taji la Ligi Kuu Uingereza yakiyoyoma baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Burnley na Chelsea kabla hawajalazimisha sare na Arsenal. Harry Kane anakubali kuwa …
Unampa Nani Umeneja wa Mwezi? Mameneja watatu wameingia kwenye kinyang’anyiro cha meneja bora wa mwezi kwenye Ligi Kuu ya Uingereza. Mameneja hawa ni Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United, Unai …
Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …
Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …
Jumamosi hii inakuja na gemu kabambe sana katika ulimwengu wa soka. Hapa nimekuwekea gemu kali za wikiendi hii kutoka Ligi Kuu ya Uingereza. Tottenham v Arsenal Spurs wanamkaribisha Arsenal kwenye …
Pep Gualdiola anaamini kuwa klabu yake ipo kwenye wakati mgumu zaidi kushugulikia hali ya wachezaji klabuni hapo kufuatia shida ya majeraha. Wachezaji kama Aymeric Laporte, John Stones na Gabriel Jesus …
Kuna baadhi ya mameneja hawajawahi kubahatika hata mara moja kunyanyua ndoo ya klabu bingwa Ulaya pamoja na historia nzuri waliyonayo katika soka hilo. Kama ilivyo historia ya michuano hiyo kwa …
Ligi ya Uingereza ni kati ya ligi zinazofuatiliwa sana na watu ulimwenguni kote. Kitu hicho kinaifanya ligi hiyo iweze kuwa maarufu zaidi siku zote. Lakini pia inaheshimika kwa kuwa na …
Mpira wa miguu ni miongoni mwa michezo rafiki sana duniani. Mchezo huu unapendwa, kuheshimiwa na idadi kubwa sana ya mashabiki. Kuna wakati mwingine huibua hisia nzito pale unapoona timu unayoishangilia …
Gemu ya fainali ya Carabao Cup imewaacha chelsea wakipoteza matumaini ya kunasa taji msimu huu huku kukiwa na ushindani mkubwa kwa gemu zote. Wakati gemu ikiwa ngumu na wababe wakichuana …
Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoheshimika duniani hasa upande wa soka. Ina wachezaji wengi wenye vipaji na uwezo mkubwa sana. Pamoja na hilo kuna wachezaji ambao hawajawahi kugusa majina yao …
Klabu ya Chelsea imekuwa ikipata matokeo mchanganyiko siku za hivi karibuni huku kutoridisha kwa matokeo kukichukua nafasi kubwa. Sarri amekuwa akishikiwa kidedea na baadhi ya mashabiki kuwa asepe klabuni hapo, …
Mlinzi wa klabu ya Chelsea, Rudiger ameamua kutoa yake ya moyoni kuhusiana na taarifa zinazoendelea miongoni mwa mashabiki wa kikosi hicho kuhusu mwalimu wao na mfumo unaotumika kikosini hapo hadi …
Baada ya mechi za awali kupigwa na matokeo kupatikana hatua inayoelekea kwa sasa ni robo fainali ambapo timu hizo zitaumana tena ili kupata timu zitakazoelekea hatua ya nusu fainali. Ndani …
Baada ya kipindi cha fungate cha kocha wa mpito wa United, Ole Gunnar Solskjaer kuisha kutokana na kupokea kichapo kutoka kwa mabingwa wa Ufaransa PSG katika hatua ya 16 bora …
Veterani anayekipiga katika klabu ya Bayern Munich Arjen Robben anasema kwa mtazamo wake Anfield ndiyo dimba baya zaidi kwake wakati wakifanya maandalizi kuelekea kwenye gemu na Liverpool dimbani hapo. Mabingwa …