chelsea - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Wenye Pesa Ndefu kwa Sasa Uingereza

Daily News

  Ligi ya Uingereza inaendelea kusuka pesa za kutosha kwa sasa huku ikiendelea kuwalipa wachezaji wake vizuri ili kuwavuta waendelee kukaa katika vikosi vyao na kutoa huduma stahiki. Dili mbalimbali …

Kane Amesanda Kuwa Wamefeli

Daily News

Tottenham wameshuhudia matumaini yao ya kutwaa taji la Ligi Kuu Uingereza yakiyoyoma baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Burnley na Chelsea kabla hawajalazimisha sare na Arsenal. Harry Kane anakubali kuwa …

Nani Unampa Umeneja wa Mwezi Februari?

Daily News

Unampa Nani Umeneja wa Mwezi? Mameneja watatu wameingia kwenye kinyang’anyiro cha meneja bora wa mwezi kwenye Ligi Kuu ya Uingereza. Mameneja hawa ni Ole Gunnar Solskjaer wa Manchester United, Unai …

Majanga ya Pochettino

Daily News

Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …

Majanga ya Pochettino

Football

Tottenham wameendelea na majanga ya kupokea vipigo hivi karibuni baada ya kuoneshwa kazi ngumu na Chelsea ambao walimchezea mchezo ambao uliwafanya wapotee kabisa mchezoni na kuonekana kama hawapo kabisa mchezoni …

EPL: Gemu Kubwa Jumamosi Hii

Daily News

Jumamosi hii inakuja na gemu kabambe sana katika ulimwengu wa soka. Hapa nimekuwekea gemu kali za wikiendi hii kutoka Ligi Kuu ya Uingereza. Tottenham v Arsenal Spurs wanamkaribisha Arsenal kwenye …

Guardiola: Wakati Mgumu kwa Man City

Football

Pep Gualdiola anaamini kuwa klabu yake ipo kwenye wakati mgumu zaidi kushugulikia hali ya wachezaji klabuni hapo kufuatia shida ya majeraha. Wachezaji kama Aymeric Laporte, John Stones na Gabriel Jesus …

Historia Mbovu Ndani ya UEFA…

Bundesliga

Kuna baadhi ya mameneja hawajawahi kubahatika hata mara moja kunyanyua ndoo ya klabu bingwa Ulaya pamoja na historia nzuri waliyonayo katika soka hilo. Kama ilivyo historia ya michuano hiyo kwa …

Wapewe Heshima Zao…

Football

Ligi ya Uingereza ni kati ya ligi zinazofuatiliwa sana na watu ulimwenguni kote. Kitu hicho kinaifanya ligi hiyo iweze kuwa maarufu zaidi siku zote. Lakini pia inaheshimika kwa kuwa na …

Makombe Yenye Dau Nono!

Football

Mpira wa miguu ni miongoni mwa michezo rafiki sana duniani. Mchezo huu unapendwa, kuheshimiwa na idadi kubwa sana ya mashabiki. Kuna wakati mwingine huibua hisia nzito pale unapoona timu unayoishangilia …

Sintofahamu Kepa Kugomea Sabu kwa Sarri

News

Gemu ya fainali ya Carabao Cup imewaacha chelsea wakipoteza matumaini ya kunasa taji msimu huu huku kukiwa na ushindani mkubwa kwa gemu zote. Wakati gemu ikiwa ngumu na wababe wakichuana …

Nigeria: Ambao Hawajawahi Kucheza Huko

Football

Nigeria ni miongoni mwa nchi zinazoheshimika duniani hasa upande wa soka. Ina wachezaji wengi wenye vipaji na uwezo mkubwa sana. Pamoja na hilo kuna wachezaji ambao hawajawahi kugusa majina yao …

Sarri Anahusishwa Kwenda Roma!

Football

Klabu ya Chelsea imekuwa ikipata matokeo mchanganyiko siku za hivi karibuni huku kutoridisha kwa matokeo kukichukua nafasi kubwa. Sarri amekuwa akishikiwa kidedea na baadhi ya mashabiki kuwa asepe klabuni hapo, …

Rudiger Amkingia Kifua Sarri

Football

Mlinzi wa klabu ya Chelsea, Rudiger ameamua kutoa yake ya moyoni kuhusiana na taarifa zinazoendelea miongoni mwa mashabiki wa kikosi hicho kuhusu mwalimu wao na mfumo unaotumika kikosini hapo hadi …

Robo Fainali ya FA

Football

Baada ya mechi za awali kupigwa na matokeo kupatikana hatua inayoelekea kwa sasa ni robo fainali ambapo timu hizo zitaumana tena ili kupata timu zitakazoelekea hatua ya nusu fainali. Ndani …

Namba 4 za Ed Woodward

Football

Baada ya kipindi cha fungate cha kocha wa mpito wa United, Ole Gunnar Solskjaer kuisha kutokana na kupokea kichapo kutoka kwa mabingwa wa Ufaransa PSG katika hatua ya 16 bora …

Robben: Anfield ni Dimba Baya!

Football

Veterani anayekipiga katika klabu ya Bayern Munich Arjen Robben anasema kwa mtazamo wake Anfield ndiyo dimba baya zaidi kwake wakati wakifanya maandalizi kuelekea kwenye gemu na Liverpool dimbani hapo. Mabingwa …

1 2 3 179 180 181 182 183 184 185 186 187
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.