chelsea - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Morata Hafai Kwenda Atletico -Schuster

Football

Msakata kabumbu wa zamani ambaye kwa sasa ni meneja wa DL  Yifang Bernd Schuster anaamini kuwa Alvaro Morata sio aina ya mchezaji ambaye anatakiwa kwenda Atletico Madrid. Morata ambaye anacheza …

Nyota Matajiri wa Nigeria…

Football

Nigeria ina wachezaji nyota wengi wanaocheza soka la kulipwa nje ya mipaka ya nchi hiyo. Kwa sababu hiyo wana kipato kikubwa ambacho kinawafanya waweze kutimiza mahitaji yao ya kila siku. …

Hapa Hamna Usiyempenda!

Football

Duniani kuna aina fulani ya wachezaji ikitokea kuna mmoja wapo unamchukia yupo mwingine ambaye kwa namna youote ile lazima umpende. Hii ni kutokana na ushindani, uwezo au kuna wakati aliwahi …

Piatek Mbioni Kuwafuata Milan

Football

Mshambuliaji wa Genoa, Krzysztof Piatek anatarajiwa kuingia AC Milan kuziba pengo lililoachwa na Gonzalo Higuain ambaye tayari anaripotiwa kwenda Chelsea kukamilisha dili lake la mkopo. Piatek anatarajiwa kuwafuata  kwa paundi …

Cole Kuungana na Lampard

Football

Cole [38] anaonekana kutaka kuungana na mchezaji mwenzake wa kipindi cha nyuma Lampard katika klabu ya Chelsea. Wachezaji hao waliachana kwa kitambo kidogo baada ya kustaafu soka la ushindani pale …

Fununu za Soka Ulaya

Football

Liverpool wapo mbioni kufukuzia saini ya mchezaji kinda wa Benfica Joao Felix [19], lakini juhudi zao zinaonekana kutaka kugonga mwamba kutokana na klabu hiyo kuona bado inamhitaji mchezaji huyo katika …

Cardiff Wanamtaka Samatta

Football

Klabu hiyo wapo sokoni kwa sasa kutaka kumnasa mchezaji huyo raia wa Tanzania kwa udi na uvumba kutokana na uwezo wake. Samatta amekuwa akizungumziwa sana na klabu nyingi barani Ulaya …

Watu Maarufu Kwenye Kabumbu

Football

Kila mtu huwa ni mpenzi wa aina fulani ya mchezo ambapo; hujisikia ufahari mkubwa hata anapochagua timu fulani ya kuishangilia katika aina hiyo ya mchezo. Mpira wa miguu pia upo …

Wanamichezo na Dini

Football

Imani ni kitu ambacho kipo nafsini mwa mtu mwenyewe, na hakuna mtu anayeweza kumlazimisha mwingine afanye kitu kingine bila hiari yake. Katika soka pia haya mambo yapo; mchezaji anayeamini katika …

Kuhusu Usajili Jumapili Hii!

Football

Hapa tunakuletea stori kuhusu usajili Jumapili hii. Hapa zipo zile zinazosemwa hadharani na vilabu husika, makocha, wachezaji na mawakala wao. Lakini pia zipo zile za nyuma ya pazia ambazo bado! …

Usajili: Fununu Mbalimbali za Soka

Football

Barcelona wameanza kuwachokonoa Chelsea kwa kuonesha nia ya kutaka kumsajili Willian kikosini mwao. Ripoti hizo za mchezaji huyo kuanza kuhusishwa na klabu hiyo zimeibua sura mpya hii ni baada ya …

Mkwanja: Wachezaji Wanaovuta Pesa Ndefu!

Football

Kutokana na utafiti uliofanywa hivi karibuni, zimetoka takwimu mpya za wachezaji wanaolamba hela nyingi kwenye  klabu wanazochezea. Hii inatokana na mishahara yao wanayolipwa na gharama zao za kuuziana kuwa juu …

Kuelekea Mzunguko wa Nne wa FA

Football

Baada ya mizunguko mingine kukamilika na washindi kupatikana; klabu nyingi zitakuwa zinaelekea kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika mzunguko unaofuata. Katika mechi hizo itashuhudiwa timu kubwa zikimegana na timu kubwa …

Ugumu Morata Kwenda Sevilla

Football

Sevilla wanaripotiwa kuvutiwa na nyota wa chelsea Alvaro Morata, lakini kuna ugumu uliopo katika jitihada za kuinasa saini yake klabuni hapo. Klabu hii ilitaka kumpata nyota huyu kwa mkopo kwa …

FA: Baada ya Baadhi ya Mizunguko…

Football

Klabu kubwa zimeendelea kufanya vizuri katika michezo iliyokwishachezwa kwa kuondoka na matokeo yanayowafanya waweze kusonga mbele zaidi. Ole Gunnar Solskjaer ameweza kuendeleza historia ya ushindi ndani ya kikosi hicho tangu …

Fununu za Soka Barani Ulaya

Football

Kila linapokaribia dirisha la usajili kila klabu huwa makini kuchunguza mapungufu na wachezaji wanaofanya vizuri katika timu pinzani ili waweze kuziba mapungufu yanayoonekana katika timu zao. Tukiwa tunaelekea dirisha la …

Sajili za Januari Zilizovunja Rekodi

Football

Inapokaribia Januari kunakuwa na maingizo mapya katika vikosi vya timu mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi ya majina ya wachezaji yaliyowahi kusajiliwa Januari [kipindi cha nyuma] na kufanya vizuri sana katika ngazi …

Kuelekea Dirisha Dogo la Usajili

Football

Dirisha dogo la usajili limefunguliwa leo huku kukiwa na majina ya wachezaji yanayotazamwa kwa jicho la pekee kutoka ligi mbalimbali duniani. Baadhi ya wachezaji wanalazimisha kuzihama klabu zao wakiwa na …

1 2 3 179 180 181 182 183 184 185