chelsea - matokeo ya utafutaji

Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena

Usajili: Fununu Mbalimbali za Soka

Football

Barcelona wameanza kuwachokonoa Chelsea kwa kuonesha nia ya kutaka kumsajili Willian kikosini mwao. Ripoti hizo za mchezaji huyo kuanza kuhusishwa na klabu hiyo zimeibua sura mpya hii ni baada ya …

Mkwanja: Wachezaji Wanaovuta Pesa Ndefu!

Football

Kutokana na utafiti uliofanywa hivi karibuni, zimetoka takwimu mpya za wachezaji wanaolamba hela nyingi kwenye  klabu wanazochezea. Hii inatokana na mishahara yao wanayolipwa na gharama zao za kuuziana kuwa juu …

Kuelekea Mzunguko wa Nne wa FA

Football

Baada ya mizunguko mingine kukamilika na washindi kupatikana; klabu nyingi zitakuwa zinaelekea kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika mzunguko unaofuata. Katika mechi hizo itashuhudiwa timu kubwa zikimegana na timu kubwa …

Ugumu Morata Kwenda Sevilla

Football

Sevilla wanaripotiwa kuvutiwa na nyota wa chelsea Alvaro Morata, lakini kuna ugumu uliopo katika jitihada za kuinasa saini yake klabuni hapo. Klabu hii ilitaka kumpata nyota huyu kwa mkopo kwa …

FA: Baada ya Baadhi ya Mizunguko…

Football

Klabu kubwa zimeendelea kufanya vizuri katika michezo iliyokwishachezwa kwa kuondoka na matokeo yanayowafanya waweze kusonga mbele zaidi. Ole Gunnar Solskjaer ameweza kuendeleza historia ya ushindi ndani ya kikosi hicho tangu …

Fununu za Soka Barani Ulaya

Football

Kila linapokaribia dirisha la usajili kila klabu huwa makini kuchunguza mapungufu na wachezaji wanaofanya vizuri katika timu pinzani ili waweze kuziba mapungufu yanayoonekana katika timu zao. Tukiwa tunaelekea dirisha la …

Sajili za Januari Zilizovunja Rekodi

Football

Inapokaribia Januari kunakuwa na maingizo mapya katika vikosi vya timu mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi ya majina ya wachezaji yaliyowahi kusajiliwa Januari [kipindi cha nyuma] na kufanya vizuri sana katika ngazi …

Kuelekea Dirisha Dogo la Usajili

Football

Dirisha dogo la usajili limefunguliwa leo huku kukiwa na majina ya wachezaji yanayotazamwa kwa jicho la pekee kutoka ligi mbalimbali duniani. Baadhi ya wachezaji wanalazimisha kuzihama klabu zao wakiwa na …

Dondoo za Usajili: Fabregas, Cahill

Football

Bayern Munich Kuweka bunda mezani kwa Callum Hudson-Odoi Bayern Munich wanaripotiwa kuwa tayari kutenga bunda la paundi milioni 13 kumsajili kinda wa chelsea anayecheza nafasi ya kiungo Callum Hudson-Odoi kwa …

Usajili: Kuelekea Januari

Football

Kati ya timu kubwa barani ulaya ambazo zinacheza na kupata ushindi kwa kudra za Mwenyezi Mungu, Madrid hakosi kwenye kundi hilo. Hadi sasa watakuwa wanawaza juu ya  upepo alioondoka nao …

Timu Kali; Msikie Sarri!

Football

“Kuna timu moja ambayo ipo juu kuliko timu zote za EPL na timu hiyo ni Man City. Ni ngumu sana kuwafikia hawa Man City msimu huu maana wao ni bora …

Gemu Kali za EPL Wikiendi Hii

Football

Ligi kuu ya Uingereza -EPL ilikuwa imesimama kidogo wakati mivhuano ya Mataifa ya UEFA ikiwa imepamba moto. Mastaa wengi walirejea kutumikia vikosi vyao vya taifa na wengine wakapata majeraha huko …

Anayeongoza Kumwaga Pesa Ndefu…

Football

Hii hapa ni orodha ya klabu kubwa za huko majuu Ulaya ambazo zinalipa pesa kubwa zaidi kwenye mishahara: FC. Barcelona – Hispania = €487m Real Madrid – Hispania = €395m …

Sikia ya Conte… Subira!

Football

Ni suala la subira! Meneja wa zamani wa Chelsea, Antonio Conte amefunguka na kusema kwamba atangojea mpaka msimu wa joto ili aanze kazi yake mpya kwa mujibu wa Rai Sport …

Bakayoko Kurudi Uingereza

Football

Calciomercato kupitia Sun wanakuja na ripoti kwamba klabu ya soka ya Fulham ina malengo ya kumsajili kiungo mchezaji wa Chelsea na Ufaransa, Tiemoue Bakayoko. Kwa sasa Bakayoko anacheza klabu ya …

Maono ya Makocha kwa Hazard…

Football

Makocha wawili wa klabu ya Mashetani Wekundu na The Blues wamekuwa na maono juu ya kabumbu la mchezaji Edn Hazard kwa taarifa za kutoka Daily Star na Talksport. Msikilize Mourinho …

Real Madrid Watamsubiri Mourinho?

Football

Wakati Jose Mourinho akiwa akiripotiwa yuko mbioni kupoteza kibarua chake kufuatia mwanzo mbaya wa msimu huu pale United, Real Madrid wanaripotiwa kuwa wanatazamia kumrejesha kocha huyo Real Madrid kuichukua nafasi …

Hazard Anamuiga Ronaldo!

Football

Wes Browsn ambaye alikuwa ni mchezaji mlinzi wa klabu ya soka ya Manchester United amesema kwamba mchezaji wa Chelsea Eden Hazard anatumia mbinu kama zile za mchezaji staa Cristiano Ronaldo …

Kante Kulamba Mkataba Mpya

Football

Mirror wanaripoti kuwa klabu ya soka ya Chelsea imempatia kiungo N’Golo Kante wa Ufaransa mkataba mpya ikiwa ni jitihada zao za kuhakikisha kwamba Kante anabakia Stamford Bridge kwani anasakwa na …

1 2 3 180 181 182 183 184 185
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.