Dondoo za Usajili: Fabregas, Cahill
Bayern Munich Kuweka bunda mezani kwa Callum Hudson-Odoi Bayern Munich wanaripotiwa kuwa tayari kutenga bunda la paundi milioni 13 kumsajili kinda wa chelsea anayecheza nafasi ya kiungo Callum Hudson-Odoi kwa …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Bayern Munich Kuweka bunda mezani kwa Callum Hudson-Odoi Bayern Munich wanaripotiwa kuwa tayari kutenga bunda la paundi milioni 13 kumsajili kinda wa chelsea anayecheza nafasi ya kiungo Callum Hudson-Odoi kwa …
Kati ya timu kubwa barani ulaya ambazo zinacheza na kupata ushindi kwa kudra za Mwenyezi Mungu, Madrid hakosi kwenye kundi hilo. Hadi sasa watakuwa wanawaza juu ya upepo alioondoka nao …
“Kuna timu moja ambayo ipo juu kuliko timu zote za EPL na timu hiyo ni Man City. Ni ngumu sana kuwafikia hawa Man City msimu huu maana wao ni bora …
Ligi kuu ya Uingereza -EPL ilikuwa imesimama kidogo wakati mivhuano ya Mataifa ya UEFA ikiwa imepamba moto. Mastaa wengi walirejea kutumikia vikosi vyao vya taifa na wengine wakapata majeraha huko …
Hii hapa ni orodha ya klabu kubwa za huko majuu Ulaya ambazo zinalipa pesa kubwa zaidi kwenye mishahara: FC. Barcelona – Hispania = €487m Real Madrid – Hispania = €395m …
Ni suala la subira! Meneja wa zamani wa Chelsea, Antonio Conte amefunguka na kusema kwamba atangojea mpaka msimu wa joto ili aanze kazi yake mpya kwa mujibu wa Rai Sport …
Calciomercato kupitia Sun wanakuja na ripoti kwamba klabu ya soka ya Fulham ina malengo ya kumsajili kiungo mchezaji wa Chelsea na Ufaransa, Tiemoue Bakayoko. Kwa sasa Bakayoko anacheza klabu ya …
Makocha wawili wa klabu ya Mashetani Wekundu na The Blues wamekuwa na maono juu ya kabumbu la mchezaji Edn Hazard kwa taarifa za kutoka Daily Star na Talksport. Msikilize Mourinho …
Wakati Jose Mourinho akiwa akiripotiwa yuko mbioni kupoteza kibarua chake kufuatia mwanzo mbaya wa msimu huu pale United, Real Madrid wanaripotiwa kuwa wanatazamia kumrejesha kocha huyo Real Madrid kuichukua nafasi …
Wes Browsn ambaye alikuwa ni mchezaji mlinzi wa klabu ya soka ya Manchester United amesema kwamba mchezaji wa Chelsea Eden Hazard anatumia mbinu kama zile za mchezaji staa Cristiano Ronaldo …
Mirror wanaripoti kuwa klabu ya soka ya Chelsea imempatia kiungo N’Golo Kante wa Ufaransa mkataba mpya ikiwa ni jitihada zao za kuhakikisha kwamba Kante anabakia Stamford Bridge kwani anasakwa na …
Eden Hazard amefichua kuwa alimtumia ujumbe Jose Mourinho akimuelezea masikitiko yake baada ya meneja huyo kutimuliwa kazi pale Chelsea mwaka 2015. Mourinho alitimuliwa kazi baada ya kuchapwa na Leicester City …
Cesc Fabregas ambaye ni mchezaji kiungo wa klabu ya soka ya Chelsea na timu ya taifa ya Hispania anategemea kupata mkataba mpya kwa Wanabluu hao. Mkataba wake unatarajiwa kumalizika mwishoni …
Mchezaji wa zamani wa Man Utd ameamua kuzungumzia kuhusu hali inayoendelea katika klabu ya Man Utd na kama Jose Mourinho atimuliwe kwenye klabu hiyo kwa sasa au nini kifanyike zaidi …
Mchezaji kiungo wa kati wa klabu ya soka ya Chelsea, Cesc Fabregas ana imani kwamba itakuwa ni vigumu sana kwa Wanabluu hao kuendelea kuwa na Eden Hazard mwenye umri wa …
Roman Abramovich ambaye ni mmililki wa klabu ya soka ya Chelsea anasema kwamba ili auze klabu yake inatakiwa si chini ya paundi bilioni 3 ndipo ataiachia klabu hiyo kwa mnunuzi …
Maurizio Sarri amelalamika kuwa Ligi Kuu –Premier League hawajawapa mda wa kutosha wao kufanya vizuri kwenye gemu waliyotoa sare ya 0-0 dhidi ya West Ham jana Jumapili. Chelsea wamekwama …
Boss wa Chelsea Maurizio Sarri ameingia katika historia kwa kuwa kuwa mmoja kati ya makocha 4 katika Premier League kushinda gemu zake tano za mwanzo, Pia amekuwa muitalia wa pili …
Klabu ya Sunderland wamevunja mkataba wa Papy Djilobodji ambaye alijiunga na klabu hiyo kwa ada ya paundi milioni 8. Klabu hiyo inadai sababu ya kuvunja mkataba huo ni Papy kurudi …
Aliyekuwa kiungo wa Napoli, Jorginho anasema anaikumbuka sana timu yake ya zamani, anaikumbuka seria A na anatumaini siku moja atarudi Serie A akitaja kutua kwa Ronaldo Seria A imekuwa faida …