Usajili: Fununu Mbalimbali za Soka
Barcelona wameanza kuwachokonoa Chelsea kwa kuonesha nia ya kutaka kumsajili Willian kikosini mwao. Ripoti hizo za mchezaji huyo kuanza kuhusishwa na klabu hiyo zimeibua sura mpya hii ni baada ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Barcelona wameanza kuwachokonoa Chelsea kwa kuonesha nia ya kutaka kumsajili Willian kikosini mwao. Ripoti hizo za mchezaji huyo kuanza kuhusishwa na klabu hiyo zimeibua sura mpya hii ni baada ya …
Kutokana na utafiti uliofanywa hivi karibuni, zimetoka takwimu mpya za wachezaji wanaolamba hela nyingi kwenye klabu wanazochezea. Hii inatokana na mishahara yao wanayolipwa na gharama zao za kuuziana kuwa juu …
Aliyekuwa meneja wa Manchester United, Jose Mourimho anaendelea kuteka vichwa vingi vya habari licha ya kutokuwa na kibarua chochote kwa sasa. Mourinho anatawala vichwa kwa kuhusishwa na klabu mbalimbali zikiwemo …
Baada ya mizunguko mingine kukamilika na washindi kupatikana; klabu nyingi zitakuwa zinaelekea kutafuta nafasi ya kusonga mbele katika mzunguko unaofuata. Katika mechi hizo itashuhudiwa timu kubwa zikimegana na timu kubwa …
Sevilla wanaripotiwa kuvutiwa na nyota wa chelsea Alvaro Morata, lakini kuna ugumu uliopo katika jitihada za kuinasa saini yake klabuni hapo. Klabu hii ilitaka kumpata nyota huyu kwa mkopo kwa …
Klabu kubwa zimeendelea kufanya vizuri katika michezo iliyokwishachezwa kwa kuondoka na matokeo yanayowafanya waweze kusonga mbele zaidi. Ole Gunnar Solskjaer ameweza kuendeleza historia ya ushindi ndani ya kikosi hicho tangu …
Kila linapokaribia dirisha la usajili kila klabu huwa makini kuchunguza mapungufu na wachezaji wanaofanya vizuri katika timu pinzani ili waweze kuziba mapungufu yanayoonekana katika timu zao. Tukiwa tunaelekea dirisha la …
Inapokaribia Januari kunakuwa na maingizo mapya katika vikosi vya timu mbalimbali. Yafuatayo ni baadhi ya majina ya wachezaji yaliyowahi kusajiliwa Januari [kipindi cha nyuma] na kufanya vizuri sana katika ngazi …
Dirisha dogo la usajili limefunguliwa leo huku kukiwa na majina ya wachezaji yanayotazamwa kwa jicho la pekee kutoka ligi mbalimbali duniani. Baadhi ya wachezaji wanalazimisha kuzihama klabu zao wakiwa na …
Bayern Munich Kuweka bunda mezani kwa Callum Hudson-Odoi Bayern Munich wanaripotiwa kuwa tayari kutenga bunda la paundi milioni 13 kumsajili kinda wa chelsea anayecheza nafasi ya kiungo Callum Hudson-Odoi kwa …
Kati ya timu kubwa barani ulaya ambazo zinacheza na kupata ushindi kwa kudra za Mwenyezi Mungu, Madrid hakosi kwenye kundi hilo. Hadi sasa watakuwa wanawaza juu ya upepo alioondoka nao …
“Kuna timu moja ambayo ipo juu kuliko timu zote za EPL na timu hiyo ni Man City. Ni ngumu sana kuwafikia hawa Man City msimu huu maana wao ni bora …
Ligi kuu ya Uingereza -EPL ilikuwa imesimama kidogo wakati mivhuano ya Mataifa ya UEFA ikiwa imepamba moto. Mastaa wengi walirejea kutumikia vikosi vyao vya taifa na wengine wakapata majeraha huko …
Hii hapa ni orodha ya klabu kubwa za huko majuu Ulaya ambazo zinalipa pesa kubwa zaidi kwenye mishahara: FC. Barcelona – Hispania = €487m Real Madrid – Hispania = €395m …
Ni suala la subira! Meneja wa zamani wa Chelsea, Antonio Conte amefunguka na kusema kwamba atangojea mpaka msimu wa joto ili aanze kazi yake mpya kwa mujibu wa Rai Sport …
Calciomercato kupitia Sun wanakuja na ripoti kwamba klabu ya soka ya Fulham ina malengo ya kumsajili kiungo mchezaji wa Chelsea na Ufaransa, Tiemoue Bakayoko. Kwa sasa Bakayoko anacheza klabu ya …
Makocha wawili wa klabu ya Mashetani Wekundu na The Blues wamekuwa na maono juu ya kabumbu la mchezaji Edn Hazard kwa taarifa za kutoka Daily Star na Talksport. Msikilize Mourinho …
Wakati Jose Mourinho akiwa akiripotiwa yuko mbioni kupoteza kibarua chake kufuatia mwanzo mbaya wa msimu huu pale United, Real Madrid wanaripotiwa kuwa wanatazamia kumrejesha kocha huyo Real Madrid kuichukua nafasi …
Wes Browsn ambaye alikuwa ni mchezaji mlinzi wa klabu ya soka ya Manchester United amesema kwamba mchezaji wa Chelsea Eden Hazard anatumia mbinu kama zile za mchezaji staa Cristiano Ronaldo …
Mirror wanaripoti kuwa klabu ya soka ya Chelsea imempatia kiungo N’Golo Kante wa Ufaransa mkataba mpya ikiwa ni jitihada zao za kuhakikisha kwamba Kante anabakia Stamford Bridge kwani anasakwa na …